Offline User
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 3,828
- 2,393
Zitto alikua wapi kuyasema haya kabla? Huo ndo usaliti na unafiki!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungejibu kwanza kuliko kuuliza swali ungeona nini Nataka kusema!
Naamini kua Mimi na wewe Hatuwezi kua na mawazo au mitazamo sawa! Na ndio maana mtu anakua madarakani kwa vipindi ili kuwapisha Na wengine!
Kwa hoja ya Machali Km swala la uongozi ndio shida hapo lazima kuangalia Hayo mambo kwa kina na kwa pande zote mbili! Siasa na vyama vya Siasa na mashindano ya kisiasa ni vita! Kuna mbinu nyingi tu zinatumika za maendeleo ya chama au kuua chama! Au wanasiasa kujikuza kisiasa!
Mbowe ni mtu Wa kujenga chama kitu ambacho wapinzani wake wasingependa kuona anaendelea kuongoza! Tunaona maendeleo aliyofanya ktk chama!
Siwezi mzungumzia sn ZZK lkn kwa uchache Ni mtu aliejijenga yeye binafsi!
Kwakua kamwe watu Hawawezi kulingana mawazo na mitazamo hapo ndipo unapata tofauti za Hawa watu!
Mtu anataka madaraka kwa ajili ya kuua chama na mtu anataka kubaki madarakani kwaajili ya kujenga chama! Hiyo ndio shida!
Mh Machali angeliangalia na hili swala sio kusema jujuu tu!
Kwani ni lazima uwe kiongozi wa juu ndo ujenge chama? Nani kakwambia na kukuaminisha mbowe anajenga chadema kuliko zitto?Mbowe ni mtu Wa kujenga chama kitu ambacho wapinzani wake wasingependa kuona anaendelea kuongoza!
huwezi mzungumzia mana unafam ni mzalendo anayetafuta demokrasia katikti ya madictator wa chambowe[cdm]Siwezi mzungumzia sn ZZK lkn kwa uchache Ni mtu aliejijenga yeye binafsi!
utofauti upo ila kuelezana kwa matendo pasipo na maneno mengi hufikia kuelewana kwa pande mbili,yan zzk kutaka madaraka ndo kukiua cdm?nini kinakuaminisha ivo?au ni kelele za TL na slaa?Kwakua kamwe watu Hawawezi kulingana mawazo na mitazamo hapo ndipo unapata tofauti za Hawa watu!
Mtu anataka madaraka kwa ajili ya kuua chama na mtu anataka kubaki madarakani kwaajili ya kujenga chama! Hiyo ndio shida!
Umerukwa na akili!""kama kingekuwepo chama kingine imara ningekipa nchi nikainyang'anya ccm lakini sasa sioni chama cha kukipa nchi yangu herikubaki tu na ccm mpaka pale vyama vingine vitakapokuwa IMARA"" ni mtazamo tu! NAPITA....
Pumba 2pu!Kwani ni lazima uwe kiongozi wa juu ndo ujenge chama? Nani kakwambia na kukuaminisha mbowe anajenga chadema kuliko zitto?
huwezi mzungumzia mana unafam ni mzalendo anayetafuta demokrasia katikti ya madictator wa chambowe[cdm]
utofauti upo ila kuelezana kwa matendo pasipo na maneno mengi hufikia kuelewana kwa pande mbili,yan zzk kutaka madaraka ndo kukiua cdm?nini kinakuaminisha ivo?au ni kelele za TL na slaa?
Je ZZK katamka neno CHACHA WANGWE!??? Au unaropoka!????
Wakuu, inasemekana Zitto Kabwe ali-post facebook hii kitu halafu aka-edit later.
Original post:
Revised Post:
Kutoka Gazeti la Raia Tanzania
heeeee.MBOWE vipi tena?unasema tatizo si kupewa bali umepewa kwa sababu ipi,sasa hizo tuhuma za zitto kupewa magari hazijaweka wazi alipewa kwasababu ipi,kama zitto akitakiwa ajibu tuhuma na wewe mbowe jibu zako,majibu yako ni mepesi mno..INAELEKEA CHADEMA KUNA MADUDU MNO
kaolewa!Sasa ninaelewa na kuamini kwa nini wanazimbabwe huwa wanaamua kubaki na ZANU PF yao.
mkuu rudi usome hiyo post au nenda kwenye facebook page yake kunamajibu ya hili unalolidai.
""kama kingekuwepo chama kingine imara ningekipa nchi nikainyang'anya ccm lakini sasa sioni chama cha kukipa nchi yangu herikubaki tu na ccm mpaka pale vyama vingine vitakapokuwa IMARA"" ni mtazamo tu! NAPITA....
mkuu huwezi jua siri ya mke na mume mpaka watakapo talakianaZitto alikua wapi kuyasema haya kabla? Huo ndo usaliti na unafiki!
""kama kingekuwepo chama kingine imara ningekipa nchi nikainyang'anya ccm lakini sasa sioni chama cha kukipa nchi yangu herikubaki tu na ccm mpaka pale vyama vingine vitakapokuwa IMARA"" ni mtazamo tu! NAPITA....
Mpaka huu ukurasa wa tatu, hakuna hata mwanasiasa mmoja ndaninya CHADEMA ametajwa kuwa ni msafi
Uwe fair ndugu, zitto hajakosea kujibu maana kama kuanzisha mambo haya wameanza akina lisu ya kusema eti kapewa magari mawili, ivyo alichofanya zitto ni safe defense maana nae amedhihirisha anajua mengi ila kwa ukomavu wake wa kisiasa alikaaa kimya ampaka walipomchokoza ndipo kawatoa kamasi kwa kumwaga makubwa, tena inabidi aendelee kuleta zaidi maana inawezekana yako mengi mabaya kabisa na ya kushtua
Zitto alipewa magari na fedha nyingi kumrubuni mgombea wa CHADEMA Musoma Vijijini/Kupunguza kasi ya CHADEMA Musoma Vijijini na kazi nyingine maalumu zenye lengo la kudhoofisha CHADEMA.
Kwani ni lazima uwe kiongozi wa juu ndo ujenge chama? Nani kakwambia na kukuaminisha mbowe anajenga chadema kuliko zitto?
huwezi mzungumzia mana unafam ni mzalendo anayetafuta demokrasia katikti ya madictator wa chambowe[cdm]
utofauti upo ila kuelezana kwa matendo pasipo na maneno mengi hufikia kuelewana kwa pande mbili,yan zzk kutaka madaraka ndo kukiua cdm?nini kinakuaminisha ivo?au ni kelele za TL na slaa?
Nimekuingizia sana au?kama vip ongea nichomoe japoPumba 2pu!