Nyerere mwenyewe alikuwa malaya na ilikuwa ni ngumu sana kuvujisha siri za serikali.
alilala na wew?au unataka kuhalalisha upuuzi wenu kupitia jina ilo?idiot
 
Ana magari mawili Freelander na carina tu,hizo gari alizopewa na nkono ni propaganda tu

Kwa nini hajasema hivyo? Na unajuaje kwamba hakupewa magari na kuyauza au kuyatoa kwa watu wake?

The fact kwamba ana magari mawili tu haimaanishi kwamba hajapewa magari na Mkono.

Nilitegemea kama hajapewa magari na Mkono, aseme "sijawahi kupewa magari na Mkono, kama una uthibitisho uweke wazi". Hii ndiyo kauli mtu mwenye uhakika kwamba hajawahi kupewa magari na Mkono anatakiwa kuitoa.

Sijaona kauli kama hii kutoka kwa Zitto, kama umeiona naomba utusaidie hapa.

La, kwa kutoweka wazi habari hii ya kupewa magari na Mkono, wengine tunaona anakwepa kujibu suala kwa sababu alipewa kweli.

Walatini wanasema "Qui tacit consentire", that means "silence implies consent".

Ukishutumiwa, usipojibu shutuma ila na wewe kuanza kutoa shutuma dhidi ya aliyekushutumu, wasomi wa mambo haya wanaojua tricks of the game wanapata nafasi ya kuamini kwamba zile shutuma ulizoshutumiwa awali, maadam hazijajibiwa, ni za kweli.

Na labda hazijajibiwa kwa sababu ni za kweli, hazina jibu zaidi ya kukubali hatia.

Na Zitto kaona bora kutojibu kuliko kukubali hatia.
 
jamani lazima tufahamu kuwa ukimfadhiri binadamu utahambulia matusi ,ni bora ukamfadhiri mbuzi utakula nyama utapata mbolea .utapata ngozi.binadamu ni mzito sana.haya ya kabwa ni marudio ya matukio mengi yaliyowahi kutokea hapo nyuma simnakumbuka ya mzee kolimba ?kuna tofauti nahaya ya kijana zitto? kuwatukana baba zake waliomlea kwenye chama ,leo hii anamtukana mwenyekiti wake ,anawaita viongozi wake vifaranga ,anataja kashfa siku zote alikua wapi? namshauri kijana wangu zitto aachane na siasa zimemshind aache kueleza upuuzi kama kwamba chacha wangwe aliuliwa na chadema its foolish language to zitto,acha ujinga wako.usitake urahisi kwa nguvu,nasikia unataka kuanzisha chama nakinakafulila
nibora ukafanya hivyo kuliko kuondoka nakashfa.tulia anza upya mambo yako.ach ujinga wako.
 

Pole sn! Endelea na msimamo wako huo huo!

Rejea maneno ya Mbunge Wa ccm Mafia aliyoyatoa akichangia ripoti ya Ya tume ya Lembeli!

Adui Wa ccm sio wapinzani Bali ni watendaji Wa serikali yenyewe!

Sasa Km unaelekeza nguvu kuiua Cdm unapotea njia. Adui ni wewe mwenyewe! Kwahiyo kusema Cdm inaelekea kufa wakati adui ni wewe mwenyewe Na hauwajibiki mbele ya wananchi ni kujidanganya kabisa!

Ccm hamkubaliki ktk Jamii ni nguvu tu ndio inayowafanya muendelee kutawala!
 
Mada kuu ni ZZK kusaliti chama chake, hayo ambayo amepost kwenye ukurasa wake ni kama kujikosha machoni mwa wanachadema. Amekuwa pale muda wote asiyaseme mpaka yalipomkuta. Chadema hawamtaki ajiunge na CCM ili agombee ubunge au awe anaende kwenye msafara kama Shonza na Mwampamba.
 
Mbowe ni mwizi tu,
Tena wizi ameanzia bot.

Angalia hata midomo yake imekaa kilaghai laghai tu.

Nawashangaa huu ujasiri wa kuwafukuza wenzie kwenye chama
anaupata wapi.


Acha kuongea kama taahira, ulisikia kawaita nyumbani kwake akawafukuza au ni ktk vikao vya chama????
 

Leo mbowe mwenyewe kakiri kuwa alipokea milioni 20 na badae 200m lakini hakua na lengo la kusaliti chama wewe unazunguka sanaaaa una hangaika na Zitto tu
 

Utanataka tusimwamini Zitto ila tumwamini Mbowe!? Mbona wote wamepewa hela na fisadi Mkono!
 
Tukisema chadema ni chama ndugu moja na mafisadi na wauaji twaonekana ooh nyie buku 7 oh njaa n.k . Ila taratibu mwenye njaa atajulikana muda si mrefu kama ambavyo tumeshaanza kuona huyu jambazi mkabaji Mbowe alivyodhalilika na atakavyodhalilika. Ni muda tu. Anayedhani Zitto atashuka simple simple ni m.------- kwani huyu hakutaka tu uenyekiti bali alishaona chama kinaongozwa na mafisadi kama alivyo fisadi na mhujumu nchi Edward Lowasa.
 
Haka kajamaa kajinga sana kalidhan kataendelea kufanya ujinga wake bila kujulikana, sasa ujanja kushnei na bado kukatema kabisa, pumbav kabisa
 
Jamani hii ni kali, siku zote ukiona mtu anahama kwenye mada na kushambulia mtu uje mambo ni mazito kwake.
Mambo mengi mh zzk ameongea, ni vema akitupasha kuhusu kifo cha marehemu Wangwe naona kama anakitu vile!
Tutayapata mengi sijui ndo mfa maji au vp... Tusubiri tutafahamu punde.
 
amejibu Kaka tembelea acc. yake ya FB

Unajuaje kama nina Facebook? Unajuaje kama hata nikiwa na Facebook Zitto ni mmoja wa watu walio katika network yangu?

Kama una access na majibu weka vitu hapa, wengine hatufagilii Facebook.

Mimi nina subscribe WallStreetJournal.com, kamwe siwezi kukujibu kwamba "habari hii utaipata WallStreetJournal.com huko" ambako kunahitaji subscription, kwa sababu sijui kama una access na subscription ya WSJ.

Naomba uweke majibu kwa faida ya wote na rekodi kwa jamii hapa.
 
The show is just begining..!! Watu walizani zzk ataondoka kimya kimya kama kina kitila..!! By the way hizi tuhuma mpya hazipo kwenye tuhuma alizoandikiwa azijibu so ni mipasho tu na mipasho hujibiwa kwa mipasho na sio vinginevyo..!!! Usitegemee mtu aje kujibu mipasho with scientific facts...!!! so for me its soo fine..!!

Na 2015 rostam na mkono watawapa tena hela za compaign cdm sio...??? hehehehehehehehee hivi umeona wapi duniani mtu anakupa sumu ukamnyweshe ngombe wake ambaye ndo anamtegemea kwa maziwa..!!!!! kweli siasa ya bongo ni uchafu mtupu..!!!
 
Dhambi ya ubaguzi haitawaacha salama Chadema baada ya kuwafukuza kina Kitila, Zitto, Mwigamba, sasa mtageukiana wenyewe.

Mtaanza kubaguana tena wa Kibosho, Marangu, Machame, Rombo, Mwika, Kishumundu.

Daima mtaendelea kuteseka.
 
“Mimi ni mbunge, bungeni
nimekuwa nikichangia watu
mbalimbali mimi kama Freeman,
si ajabu watu wengine
kunichangia. Hapa jambo la msingi
ni kwamba unapewa pesa kwa sababu gani, kwa nia ipi? Kupewa
pesa na Kikwete au CCM si tatizo
lakini unapewa pesa kwa sababu
zipi, kwa malengo gani?” alihoji
Mbowe.
 
This is so juvenile!


I suspect the real condition is even worse. The laws of such engagements necessitates witholding the worst attacks for the last battles, as a sort of insurance.

So whatever is coming to light right now is just the tip of the iceberg, the inner innuendos of the cajoling cabal that is CHADEMA and that anti-pope apogee aspirant are deeper than the Mariana Trench.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…