me sio ccm wala chama chochote bali ninafuatilia siasa za Tz kwa ukaribu sana na siasa za Kimataifa kidogo.Pole sn! Endelea na msimamo wako huo huo!
Rejea maneno ya Mbunge Wa ccm Mafia aliyoyatoa akichangia ripoti ya Ya tume ya Lembeli!
Adui Wa ccm sio wapinzani Bali ni watendaji Wa serikali yenyewe!
Sasa Km unaelekeza nguvu kuiua Cdm unapotea njia. Adui ni wewe mwenyewe! Kwahiyo kusema Cdm inaelekea kufa wakati adui ni wewe mwenyewe Na hauwajibiki mbele ya wananchi ni kujidanganya kabisa!
Ccm hamkubaliki ktk Jamii ni nguvu tu ndio inayowafanya muendelee kutawala!
Nyinyi Wafuasi wa Mbowe mnashangaza sana kwakweli,Hivi mara hii mshasahau kuwa Zitto alianza kutuhumiwa kwanza na Lissu na yeye ikambidi ajibu mapigo?Nani asiyejua kuwa Mbowe yupo nyuma ya yote haya yanayomtokea Zitto akiwatumia vibaraka wake?Kwahiyo msichukie sana jiandaeni kusikia uozo mwingi kuhusu huyo Mungu wenu na safari asiposimama Mahakamani sijui!
I suspect the real condition is even worse. The laws of such engagements necessitates witholding the worst attacks for the last battles, as a sort of insurance.
So whatever is coming to light right now is just the tip of the iceberg, the inner innuendos of the cajoling cabal that is CHADEMA and that anti-pope apogee aspirant are deeper than the Mariana Trench.
Ok! Ngoja nizifuatilie hizo post zako might be nimekukosea.
iyo imeingia tayari?ndo mana mawazo yako yanafanana na iyo avatar yakoKisebengo jike!
Ok! Ngoja nizifuatilie hizo post zako might be nimekukosea.
Wanasiasa kutoka ccm wakifukuzwa ktk chama hua hawaendi wakitoa siri au kuwashambulia viongozi wao! Yani hua wanakaa kimya sn! Sasa tujiulize Huyu anapata wapi huu ujasiri Wa kuyasemsa haya? Au anatumika?[/QUOTE
Nimekuelewa mkuu unajua haya majitu ya ccm yanatia hasira sana hadi wakati mwingine waweza kuta Unakosea mtu wa kum quote ukajikuta ume mquote mzalendo watu wanahangaika na maisha gharama zinapanda kila siku wanyonge wanahangaika na maisha halafu mijitu inakuja huku kukaza misuli kudanganya watu huku mibosi yao ikiwa imetunisha vitambi kwenye viyoyozi inakula jasho la mlala hoi sorry,mkuu inatia hasira sana hii serikali ya ccm.
iyo imeingia tayari?ndo mana mawazo yako yanafanana na iyo avatar yako
ukiambiwa usiropoke,uwe unatafakari kwanz
Nimekuelewa mkuu unajua haya majitu ya ccm yanatia hasira sana hadi wakati mwingine waweza kuta Unakosea mtu wa kum quote ukajikuta ume mquote mzalendo watu wanahangaika na maisha gharama zinapanda kila siku wanyonge wanahangaika na maisha halafu mijitu inakuja huku kukaza misuli kudanganya watu huku mibosi yao ikiwa imetunisha vitambi kwenye viyoyozi inakula jasho la mlala hoi sorry,mkuu inatia hasira sana hii serikali ya ccm.
Asante! Rudi usome Utaona msimamo wangu ukoje! Na huenda tukawa na mtizamo sawa!
Mkuu comment zako zina niua kinoma.Mwenyekiti kanitia aibu yaani sijui nitaficha wapi uso wangu kwa jinsi nilivyokuwa najidai na CHADEMA yangu!
Nimefadhaika sana!
Mtu ambaye hamuheshimu mke wake aliyemzalia watoto,hawezi kumnyooshea kidole mtu mwengine kuhusu maadili..."ZZK"
Hasira zako mpelekee MBOWE aliye chamba 20m za Mkono na kwenda kuzikopesha kwenye sacos yenu kwa jina lake.Nimekuelewa mkuu unajua haya majitu ya ccm yanatia hasira sana hadi wakati mwingine waweza kuta Unakosea mtu wa kum quote ukajikuta ume mquote mzalendo watu wanahangaika na maisha gharama zinapanda kila siku wanyonge wanahangaika na maisha halafu mijitu inakuja huku kukaza misuli kudanganya watu huku mibosi yao ikiwa imetunisha vitambi kwenye viyoyozi inakula jasho la mlala hoi sorry,mkuu inatia hasira sana hii serikali ya ccm.
Nianona kuwa main characters wanafahamiana sana; wanafahamu kipi kikisemwa au kutendwa upande mwingine reaction yake itakuwaje. Nafikiri Tundu Lissu kauli yake ililenga reaction itakayowafungua watu tabia na matendo ya wachezaji Wakuu wa movie hii. Ndiyo maana watu husema ukitaka kuwa mwanasiasa mzuri Pima kauli zako. You do not react 'reactionary' for every statement you hear or for every action yo see.Kwa nini hajasema hivyo? Na unajuaje kwamba hakupewa magari na kuyauza au kuyatoa kwa watu wake?
The fact kwamba ana magari mawili tu haimaanishi kwamba hajapewa magari na Mkono.
Nilitegemea kama hajapewa magari na Mkono, aseme "sijawahi kupewa magari na Mkono, kama una uthibitisho uweke wazi". Hii ndiyo kauli mtu mwenye uhakika kwamba hajawahi kupewa magari na Mkono anatakiwa kuitoa.
Sijaona kauli kama hii kutoka kwa Zitto, kama umeiona naomba utusaidie hapa.
La, kwa kutoweka wazi habari hii ya kupewa magari na Mkono, wengine tunaona anakwepa kujibu suala kwa sababu alipewa kweli.
Walatini wanasema "Qui tacit consentire", that means "silence implies consent".
Ukishutumiwa, usipojibu shutuma ila na wewe kuanza kutoa shutuma dhidi ya aliyekushutumu, wasomi wa mambo haya wanaojua tricks of the game wanapata nafasi ya kuamini kwamba zile shutuma ulizoshutumiwa awali, maadam hazijajibiwa, ni za kweli.
Na labda hazijajibiwa kwa sababu ni za kweli, hazina jibu zaidi ya kukubali hatia.
Na Zitto kaona bora kutojibu kuliko kukubali hatia.
Hasira zako mpelekee MBOWE aliye chamba 20m za Mkono na kwenda kuzikopesha kwenye sacos yenu kwa jina lake.