Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe
zzk tuliza kichwa, mbona izo tuhuma zako ulizopost kama vile umepanic au ulikuwa unakimbizwa..!!! jbu hoja na izo tuhuma ndyo na wewe utoe tuhuma zako ili zijibiwe..na ulikuwa wap siku zote na wakati wote ndyo uje utoe izo tuhuma leo?! nana wasiwasi na wewe n kama mfa maji tu...ebu jiondoe chadema na ukanzishe chama chako na wewe tuone utakavyokiendesha..
 
Pole sn! Endelea na msimamo wako huo huo!

Rejea maneno ya Mbunge Wa ccm Mafia aliyoyatoa akichangia ripoti ya Ya tume ya Lembeli!

Adui Wa ccm sio wapinzani Bali ni watendaji Wa serikali yenyewe!

Sasa Km unaelekeza nguvu kuiua Cdm unapotea njia. Adui ni wewe mwenyewe! Kwahiyo kusema Cdm inaelekea kufa wakati adui ni wewe mwenyewe Na hauwajibiki mbele ya wananchi ni kujidanganya kabisa!

Ccm hamkubaliki ktk Jamii ni nguvu tu ndio inayowafanya muendelee kutawala!
me sio ccm wala chama chochote bali ninafuatilia siasa za Tz kwa ukaribu sana na siasa za Kimataifa kidogo.
ccm sio wazuri wanamapungufu yao,ndio maana unaona kunamabadiliko wanapokosea,
sasa hakuna chama kinachoaminika kwa sasa baada ya cdm kutokuwa na mantiki katika maamuzi mengi wanayofanya.
cdm ninafaa kiwe chama cha upinzani milele,mana kunajua namna ya kuchagiza chama tawala lakini hakijui namna ya kuongoza!
cdm hakini misingi ya kumwajibisha m2 na nicha wa2 wachache wanaofanya maamuzi.
ni bora ata NCCR washike dola kuliko cdm
 
Jamaani mi naona Mh Zitto ana tatizo kubwa la kisaikolojia na kijamii pia katika kipindi hiki. Matatizo hayo ni Fatalistic ambalo ndo kubwa sana, mengine ni anomic na ego; matatizo haya liwe mojamoja au kwa pamoja huwa ni sababu kubwa za binadamu kucomit suicide (Emile Durkheim)..! Na dalili zake huwa ni hizi tunazoziona kwa Mh Kabwe; Hivyo nawashauri waliokaribu naye wampe msaada wa kisakolojia (counceling ya hali ya juu_acop na situation/akubali anachokiona) pia asiachwe peke yake mda mrefu. Hii itasaidia tusimpoteze kaka yetu; Mungu awabariki.
 
Migogoro inasaidia kujua uwezo wa wanasiasa kifikra badala ya sifa wanazojazwa kwa maneno yao ya kinafiki.
Mipasho inayoendelea ni uthibitisho kuwa ni wapumbavu tu waliobahatika kuchaguliwa na wananchi!
Eti wanawaitwa waheshimiwa na wasomi wenye akili za kuongoza jamii!
 
Nyinyi Wafuasi wa Mbowe mnashangaza sana kwakweli,Hivi mara hii mshasahau kuwa Zitto alianza kutuhumiwa kwanza na Lissu na yeye ikambidi ajibu mapigo?Nani asiyejua kuwa Mbowe yupo nyuma ya yote haya yanayomtokea Zitto akiwatumia vibaraka wake?Kwahiyo msichukie sana jiandaeni kusikia uozo mwingi kuhusu huyo Mungu wenu na safari asiposimama Mahakamani sijui!

Kwa nini unasema mimi ni mfuasi wa Mbowe wakati nishauchanachana vibaya sana uongozi wote wa CHADEMA, kuanzia Mwenyekiti Mbowe, Katibu Mkuu Slaa mpaka Mwanasheria wa Chama Tundu Lissu kwa kuachana na misingi ya katiba ya chama kulikopelekea Zitto kwenda mahakamani?

Hivi mtu ukimchana Zitto tu automatically unakuwa mfuasi wa Mbowe?

Kuna watu hatuangalii mtu, tunaangalia principle. Nishawachana wote, Zitto, Mbowe, Slaa, Tundu Lissu, at different times, depending on the issues.

And before you say I am CCM, CCM nao nishawachana vibaya tu, depending on the specifics of the issues.

Sasa hii one track mind ya "if you are not for Zitto, then you must be for Mbowe" unaitoa wapi?

Taratibu, Kiranga may be not overly complex, but he is surely not that much of a simpleton.
 
I suspect the real condition is even worse. The laws of such engagements necessitates witholding the worst attacks for the last battles, as a sort of insurance.

So whatever is coming to light right now is just the tip of the iceberg, the inner innuendos of the cajoling cabal that is CHADEMA and that anti-pope apogee aspirant are deeper than the Mariana Trench.

I think we haven't even scratched the surface.
 
Ok! Ngoja nizifuatilie hizo post zako might be nimekukosea.

Nimekuelewa mkuu unajua haya majitu ya ccm yanatia hasira sana hadi wakati mwingine waweza kuta Unakosea mtu wa kum quote ukajikuta ume mquote mzalendo watu wanahangaika na maisha gharama zinapanda kila siku wanyonge wanahangaika na maisha halafu mijitu inakuja huku kukaza misuli kudanganya watu huku mibosi yao ikiwa imetunisha vitambi kwenye viyoyozi inakula jasho la mlala hoi sorry,mkuu inatia hasira sana hii serikali ya ccm.
 
Wanasiasa kutoka ccm wakifukuzwa ktk chama hua hawaendi wakitoa siri au kuwashambulia viongozi wao! Yani hua wanakaa kimya sn! Sasa tujiulize Huyu anapata wapi huu ujasiri Wa kuyasemsa haya? Au anatumika?[/QUOTE
Nimekuelewa mkuu unajua haya majitu ya ccm yanatia hasira sana hadi wakati mwingine waweza kuta Unakosea mtu wa kum quote ukajikuta ume mquote mzalendo watu wanahangaika na maisha gharama zinapanda kila siku wanyonge wanahangaika na maisha halafu mijitu inakuja huku kukaza misuli kudanganya watu huku mibosi yao ikiwa imetunisha vitambi kwenye viyoyozi inakula jasho la mlala hoi sorry,mkuu inatia hasira sana hii serikali ya ccm.
 
Nimekuelewa mkuu unajua haya majitu ya ccm yanatia hasira sana hadi wakati mwingine waweza kuta Unakosea mtu wa kum quote ukajikuta ume mquote mzalendo watu wanahangaika na maisha gharama zinapanda kila siku wanyonge wanahangaika na maisha halafu mijitu inakuja huku kukaza misuli kudanganya watu huku mibosi yao ikiwa imetunisha vitambi kwenye viyoyozi inakula jasho la mlala hoi sorry,mkuu inatia hasira sana hii serikali ya ccm.

Usijari kamanda!

Hawa ni wakwenda nao taratibu!
 
Asante! Rudi usome Utaona msimamo wangu ukoje! Na huenda tukawa na mtizamo sawa!

Nimekuelewa mkuu unajua haya majitu ya ccm yanatia hasira sana hadi wakati mwingine waweza kuta Unakosea mtu wa kum quote ukajikuta ume mquote mzalendo watu wanahangaika na maisha gharama zinapanda kila siku wanyonge wanahangaika na maisha halafu mijitu inakuja huku kukaza misuli kudanganya watu huku mibosi yao ikiwa imetunisha vitambi kwenye viyoyozi inakula jasho la mlala hoi sorry,mkuu inatia hasira sana hii serikali ya ccm.
 
Nimekuelewa mkuu unajua haya majitu ya ccm yanatia hasira sana hadi wakati mwingine waweza kuta Unakosea mtu wa kum quote ukajikuta ume mquote mzalendo watu wanahangaika na maisha gharama zinapanda kila siku wanyonge wanahangaika na maisha halafu mijitu inakuja huku kukaza misuli kudanganya watu huku mibosi yao ikiwa imetunisha vitambi kwenye viyoyozi inakula jasho la mlala hoi sorry,mkuu inatia hasira sana hii serikali ya ccm.
Hasira zako mpelekee MBOWE aliye chamba 20m za Mkono na kwenda kuzikopesha kwenye sacos yenu kwa jina lake.
 
Kwa nini hajasema hivyo? Na unajuaje kwamba hakupewa magari na kuyauza au kuyatoa kwa watu wake?

The fact kwamba ana magari mawili tu haimaanishi kwamba hajapewa magari na Mkono.

Nilitegemea kama hajapewa magari na Mkono, aseme "sijawahi kupewa magari na Mkono, kama una uthibitisho uweke wazi". Hii ndiyo kauli mtu mwenye uhakika kwamba hajawahi kupewa magari na Mkono anatakiwa kuitoa.

Sijaona kauli kama hii kutoka kwa Zitto, kama umeiona naomba utusaidie hapa.

La, kwa kutoweka wazi habari hii ya kupewa magari na Mkono, wengine tunaona anakwepa kujibu suala kwa sababu alipewa kweli.
Walatini wanasema "Qui tacit consentire", that means "silence implies consent".

Ukishutumiwa, usipojibu shutuma ila na wewe kuanza kutoa shutuma dhidi ya aliyekushutumu, wasomi wa mambo haya wanaojua tricks of the game wanapata nafasi ya kuamini kwamba zile shutuma ulizoshutumiwa awali, maadam hazijajibiwa, ni za kweli.

Na labda hazijajibiwa kwa sababu ni za kweli, hazina jibu zaidi ya kukubali hatia.

Na Zitto kaona bora kutojibu kuliko kukubali hatia.
Nianona kuwa main characters wanafahamiana sana; wanafahamu kipi kikisemwa au kutendwa upande mwingine reaction yake itakuwaje. Nafikiri Tundu Lissu kauli yake ililenga reaction itakayowafungua watu tabia na matendo ya wachezaji Wakuu wa movie hii. Ndiyo maana watu husema ukitaka kuwa mwanasiasa mzuri Pima kauli zako. You do not react 'reactionary' for every statement you hear or for every action yo see.

Hata hivyo ninachokiona katika yote haya ni juhudi ya kutaka kuua agenda ya ufisadi Kama ajenda ya kisiasa. Wanataka kuonyesha kuwa CCM na wapinzani wao wote ni sawa tu inapokuja kwenye suala la ufisadi. Na hii imefanyika kitambo sasa na ninaona inafanikiwa. Je ni akina nani wanafanya haya.
 
Hasira zako mpelekee MBOWE aliye chamba 20m za Mkono na kwenda kuzikopesha kwenye sacos yenu kwa jina lake.

Huna hoja wewe kima unabwabwaja tu unashikia hizo hela ulikuwepo? Au ndo uongo
 
Back
Top Bottom