Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe
Majungu yameanza dhidi ya ZZK, Walitulia kidoogo wakati wa mchakato wa CCM kumpata mgombea, Sasa kama kawaida mashambulizi dhidi ya ZZK yameanzishwa upya
 
Leo ni nani wa kuyapinga haya:

[h=2]Sunday, January 5, 2014[/h] Zitto Kabwe auanika Ufisadi wa Freeman Mbowe... Adai Tundu Lissu ni kifaranga, hivyo anamtaka mama kifaranga....Amegusia pia kifo cha Chacha Wangwe

Akizungumza katika press conference ya CHADEMA na waandishi wa habari iliyofanyika leo, Mwanasheria mkuu wa Chadema, Mh.Tundu Lisu alisema kuwa mkakati wa kuwachafua viongozi ni wa siku nyingi ambapo Chama kimefanikiwa kunasa mawasiliano ya Zitto tangu mwaka 2009 alipokuwa akiwasiliana na akina Denis Msack wa Mwananchi.

Lissu alisema njama hizi ndio zilizopelekea mpaka mashtaka ya Ugaidi ambapo katika mahojiano yake ya Star Tv akiwa na akina Mwigulu Nchemba Zitto hakukanusha, pia aliandika kwenye mitandao kuwa Chadema imtose Wilfred Lwakatare

Lissu aliongeza kuwa Zitto mpaka sasa ana magari mawili ya Nimrod Mkono na Mkono mwenyewe ndiye amewaambia taarifa hizo. Mkono amewaambia kuwa amempa Zitto hela nyingi sana na Zitto alishiriki moja kwa moja kumzuia mgombea wa Chadema katika Jimbo la Nimrod Mkono .


====Huu ni ujumbe wa Zitto Kabwe kujibu mapigo ya Tundu Lissu===
**
Lissu anasema nimepewa magari 2 na Mzee Mkono. Anasema kaambiwa na Mkono. Naamini Mkono alimwambia pia mwaka 2005 alimpa Freeman Aikaeli Mbowe tshs 40m ili Mbowe asifanye kampeni Musoma vijijini.

Nadhani alimwambia pia mwaka 2008 (baada ya orodha ya mafisadi kutangazwa 2007) Mkono alimpa Freeman tshs 20m za uchaguzi wa Tarime na Freeman akasema kwenye chama ametoa mkopo na akalipwa.


Nadhani alimwambia pia kuwa Mwaka 2010 Mkono alimpa Mbowe tshs 200m za kampeni ya Slaa. Pia hakusahau kumwambia kuwa Rostam Aziz alimpa Mbowe tshs 100m za kampeni. Lissu anajua kuwa gazeti la Tanzania Daima limeanzishwa na fedha za chama kutoka Conservative party?


Nimefanya internship yangu kwa Mkono and Company Advocates kuhusu masuala ya mikataba. Mzee Mkono ni Mzee wangu na alisaini petition ya kumtoa Waziri Mkuu Pinda.


Lissu awaambie waliyemtuma wamwambie ukweli wote. Lissu ajue yeye ni kifaranga tu, Mimi namtaka mama wa kifaranga ajitokeze. Aeleze aliingia deal gani na Kinana na Sumaye mwaka 2005 kufuatia deni lake NSSF. Aweke wazi mkataba kati yake na NHC kuhusu nyumba ya Umma ilipo Club Bilicanas.


They must know I am not a push over. Chacha died, I won't.


Mtu ambaye hawezi kuheshimu mke wake aliyemzalia watoto hawezi kunyooshea mtu kidole kuhusu maadili.

Chanzo: Zitto Kabwe auanika Ufisadi wa Freeman Mbowe... Adai Tundu Lissu ni kifaranga, hivyo anamtaka mama kifaranga....Amegusia pia kifo cha Chacha Wangwe | MPEKUZI
 
Mbowe ndiye aliyemwokota na kumpandisha kisiasa yaani tunaita Godfather,hizo ni dalili za kukata tamaa na utovu wa nidhamu na kukosa shukrani
 
Kwa nini upinzani kwa upinzani?kuna namna hapo sio bure maana hata hizo gari za mkono zitto hazikanushi ...ooooh tanzania yetu na vyama vyetu ni balaa
 
Ndg yng zitto kabwe na yy naona anaenda kwenye anguko maana cjui hata kama ubunge atapata
 
Jikumbushe ujibu kama unaweza.
Zitto ni member humu, ni wakati muafaka mkamuweka kiti moto. Au unaogopa?

Kama Mbowe alikiuza chama kwa Edo alifanya la maana kwa sababu hawa masikini wenzetu kina Muhogo mchungu walikuwa na tamaa kwa hiyo kusingekuwa na mabadiliko bila kupata jitu lisilonunulika kama EDLOW.Ndio maana walionunulika wote wapo hadharani mpaka sasa.
 
Last edited by a moderator:
Mwizi ni mwizi tu. Angalia alivyo iuza chadema kwa bei cheeeee. Miaka 20 umekijenga chama unakuja kukiua kwa kuuza kwa bei cheeee.

Siku zote nimekuwa nikisema chadema si chama, ni biashara ya Mtei na mkwewe Mbowe.

Walichokiuza ni zaidi ya chama, wameuza utu wao na wa wote wale waliokuwa wanadhani wanashabikia chama, masikini wanaodanganywa wasiojijuwa.

Niliwahi kumuasa Zitto zamani sana kabla ya kung'olewa kupitia hapa hapa JF, kuwa hao watakugeuka.

Niliwahi kumuasa Slaa, tena nilitumia utani kumwambia wewe ni Mwarabu (kabila lake nijuavyo ni mu Iraqw). Hao wachagga hawawezzi kukuthamini hata kidogo - Sasa yametimia.

Pia nimemuasa mara kadhaa Mohamedi Mtoi, sijuwi hatima yake ni nini, maanaa naona yuko kimya sana siku hizi.

Sasa nnamuasa pia yule kijana wa Kiunguja Salum, atatumiwa kama nanihii, ikiisha kazi yake wanaupilia mbali tena bila haya wala hisani. Ni watu waovu kabisa.

Siku hizi simsikii kabisa Naibu Mwenye kiti yule Muunguja, sijuwi na yeye wamesha kick-out kimya kimya?

Chadema si chama cha kisiasa, ni maslahi ya kuchuma pesa kwa njia yoyote ile kwa Mbowe na Mtei.
 
Last edited by a moderator:
Kama Mbowe alikiuza chama kwa Edo alifanya la maana kwa sababu hawa masikini wenzetu kina Muhogo mchungu walikuwa na tamaa kwa hiyo kusingekuwa na mabadiliko bila kupata jitu lisilonunulika kama EDLOW.Ndio maana walionunulika wote wapo hadharani mpaka sasa.

apo ndipo unazidi kuniaminisha kuwa CCM ni chama bora.

Huyo Lowassa wanamjuwa na anaijuwa CCM vizuri sana kwa miaka mingi sana lakini kashindwa kuinunuwa, hakukidhi vigezo na fedha zake zote, katemwa.

Wajanja, fedha zake wamekula na kumtema wamemtema, lakini kwa uchu wake wa madaraka hajakoma! Sasa analiwa tena huko na Ikulu atsikia kwenye redio tu.

Mbowe ni mchagga na mchagga aziachie pesa zimpite? Si atachekwa.

Mbowe anajuwa wazi chadema haiwezi kutowa Rais, lakini Urais waukose na pesa wazikose? Na zimejileta zenyewe? Hata kama ni mimi ningemwambia "ahlan wasahlan".

Nnaowasikitikia ni wale "wapumbavu na malofa" wanaofikiri kuwa watashinda.

Slaa nae masikini ya mungu, wachagga mshiko hawajampa kakasirika anabwabwaja hovyp, lakini ni safi kwetu, wacha watafunane wenyewe kwa wenyewe. Vita vya panzi...

Wajinga Ndiyo Waliwao.
 
Back
Top Bottom