trust me chadema wakishindwa kuikanusha hii thn zile show na mbwembwe nyingi za chadema Kule bungeni na kwenye majukwaa ndo zimefikia mwisho...
 
Bwatuka ZZK tangu enzi hizo leo ndo umepata mwanya wa kusema..POLE kwa yaliyokusibu ...You are no longer as man of action as before.
 
Kabla sijachangia kwa mapana naomba kwanza Zitto aje atuhakikishie maneno haya
 
Last edited by a moderator:
We kweli muathirika hivi unafikiri mbowe ni sawa na papuchi mwenzio zito? Nani anamda wa kujitu hekaya kama hizi?yaani zitto anatabia kama za watoto ukimuudhi anaaza kudai alicho kupa, huo ni utoto na umama wa huyo mwenzenu,,na ccm mlivo majinga ya kufikiri utakuta mnaona kama hii bonge ya hoja!wakati wenzenu wanajua ni mafa maji tu huyo anatapatapa
 
Penye jambo kubwa hasa linaloigusa jamii, kila mmoja ataibuka na hoja yake ili mradi tu na yeye aonekane anajua kuchangia. Mada ilyotolewa haina mashiko.
 
Mfa maji haachi kutapatapa, huyo Zitto wako haaminiki tena mbele ya jamii, hata angeimba mashairi mazuri kiasi gani, hasikilizwi ng'o, labda nyie mliyeyeajiliwa kwa kazi hiyo.
 
ninapata wasiwasi kuwa tutahama kwenye ajenda za mhim itakuwa cdm na zito,hv mnajua kwa huu mgogolo wa cdm n kias gan cha fedha kimeibiwa? maana vyombo vya habr vyote vmehamia kwa cdm vs zito! plz let change our ajenda wakuu!
 


Taratibu na mdomo wako huo wa kunywea gongo mama mdogo . Mmeshikwa pabaya mlidhani zitto ni akili ndogo ? Chadema ndio inapasuka hivyo........
 
mpaka sasa,hakuna mbadala wa ccm,vyama hivi ni vyama vya ruzuku tu
 

Ni wakati wa Watanzania kumfahamu Mbowe sasa hata mkijifanya misukule sugu wa Mheshimiwa lakini ukweli lazima usemwe juu yake!!
 

hvi waweza amini tuhuma bila ushahdi?
 
Taratibu na mdomo wako huo wa kunywea gongo mama mdogo . Mmeshikwa pabaya mlidhani zitto ni akili ndogo ? Chadema ndio inapasuka hivyo........

Mtahaha sana mijusi nyie mmebanwa na mlango sasa mapovu yana watoka hovyohovyo ba bado nyoooooo!mnafikiri chadema inalea wabakaji na wauza unga kama chama chako?haya kibaraka wenu huyo nendeni mkakae nae lumumba ,hela kawaliza na kazi haijafanyika mhata robo ,ona mnavo weweseka hala hala pumpus ni kwa jili ya watoto tu sasa nyie watu wazima mnao jiharishia sijui mtatumia nini sasa pole weeeee!
 
Jaji hatende haki leo nifanye shererhe ya mwaka mpya,Maana kwangu mwaka ndo utakuwa umeanza rasmi.
 
Wasaliti wote hawatapona safari hii hata kama mkijaribu kututoa kwenye mada ya maliza wasaliti na masalia wote warudi LUMBUMBA wakasubiri posho zao za wiki... Shame on them.
 
Dhaifu wewe unaanza kuzuga na stori za kimama hapa, hutupati kampokeeni kijana wenu kishanuka mahakamani..
vp bbako amerudisha kadi yke fikra dhaifuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!
 
CHADEMA hakifanyi kazi kwa maelekezo ya wahuni na majangili. Hakiendeshwi kwa remote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…