Obamamtoto1983
Member
- Aug 10, 2013
- 26
- 5
Yah hapo ndpo ngoma imenoga acha 2one nini kitatokea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ambavyo Kawe na Ubungo zinavyoongozwa na wazawa.
Naona pamoja na wajumbe kufungwa macho na fisadi Mbowe, sasa nadhani watafunguka na kumjadili kwa pesa ambazo amekuwa akipokea toka CCM, pia Dr. Slaa ambaye hata kadi ya CCM hajarudisha.
Tulishasema hawa ndo wasaliti wana wasingizia wengine, mengi tu yatakuja hapa. Hivi inakuwaje unamwomba Baba yako akupe hela umpelekee Mama yako halafu unamwambia Mama nakukopesha pesa hii na kweli Mama yako bila kujua anatafuta huku na kule anakulipa.
Jamani Mbowe uwe na hofu ya Mungu, utakufa vibaya sana. Pesa za Mkono kapewa yeye anakuja kuwakopesha CHADEMA, kwani alipewa zake binafsi au alipewa za Chama?
Hivi hiki chama kina akaunti kweli au inatumika ya Mbowe?
tunahitaji utetezi wa hizi tuhuma otherwise tuna haki ya kuamini kua ni kweli...
Well noted! Zitto tumemrushia tuhuma za kutosha na binafsi sina mjadala tena juu ya usaliti wa Zitto.
Lakini hizi za Mbowe nazo ni tuhuma.Zijibiwe tupime!
Sheria msumeno tunataka Wapinzani sio Wakinzani!!
Chacha Wangwe died I wont-by zzk
Zzk hata kwa shetani hakubaliki kwa hiyo ni zaidi ya lucifer
NATAMANI ZZK AFANYE MKUTANO WOWOTEEEEEE WA HADHARA TUONE KAMA KALE KA KAULI KA TL KATAFANYA KAZI HAHAHAHAA...!!!
Nawasilisha.
NATAMANI ZZK AFANYE MKUTANO WOWOTEEEEEE WA HADHARA TUONE KAMA KALE KA KAULI KA TL KATAFANYA KAZI HAHAHAHAA...!!!
Nawasilisha.
Ana magari mawili Freelander na carina tu,hizo gari alizopewa na nkono ni propaganda tuZitto hajajibu mashtaka kwake kuhusu magari aliyopewa na Mkono. Two wrongs do not make a right.
Kabla ya ku deflect mashtaka kwa kuibua uozo wa mpinzani wako, jibu mashtaka kukuhusu wewe. Hata kama ni kwa kukubali tu.This deflection is one of the oldest tricks in the playbook.
Kwa wazoefu wa habari hizi, usipojibu tuhuma maana yake umekubali ni kweli. Kwa hiyo Zitto kakubali kwamba ni kweli kapewa magari na mkono, lakini anasema wanaomtuhumu nao wana yao kama hayo.
Hili saga linathibitisha yale niliyokuwa naandika hapa kitambo.
Hakuna Zitto wala uongozi wa CHADEMA, wote ni wale wale tu.
Katika siku amabazo MODDS wa JF wametenda haki (Fair play) ni hii ya kuacha huu uzi uendelee.Hakuna kupendelea upande wowote. Wapi Ben saanane, Yericko Nyerere? waje wamsaidie Mr Chairman kwenye hii tuhuma.
Mbowe maji shingoni,kumbe hata ile bilicanas danguro lake ni la kifisadi??
eti anasema kupewa pesa na CCM sio tatizo ishu unapewa kwa nia gani??
CCM si mafisadi hawa??unapokea pesa zao kwanini??wewe una haja gani na pesa ya FISADI KAMA CCM??
KUMBE HII YOTE KELELE ZOTE,SIJUI MC4 KUMBE KUGANGA NJAA TUH??
KISHA YERICKO MLA MBWA NA BEN MREMBO NAMBA NANE WANATAKA KUPAMBANA NA ZITTO WATAMUWEZEA WAPI??
ZITTO ANAMUITA LISU KIFARANGA,SASA BEN NA YERICKO WAJICHAGULIE WENYEWE MAJINA NA WAJIPIMIE,
CHADEMA KIMESHAKUFA TAYARI,HAPA TUFANYE MAMBO MENGINE TUH,HIKI CHAMA WACHAGA WAMEAMUA KUKIZIKA WENYEWE,WAENDE ZAO KUZIMU HUKO