Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe
Zitto is worthless politician, Ahsante Mungu tumejua mapema hivi huyu ndo alitaka aje kuwa Rais?
Binafsi nilianza kuwa ant zitto since 2008 wengi wakaona kama chuki binafsi but always the truth prevail, Pumzika mahali pema peponi Zitto.
 
Last edited by a moderator:
Mungu futilia mbali huu mgogoro usiokuwa na tija.
Wasamehe wote wenye makosa ktk huu mgogoro.
Fungua mioyo yao watubu kwa imani zao.
Amsha ari ya wanachama na wananchi wote wazidi kukiamini hiki chama.
Kura zote zipigwe kwa CDM.
AMEN
 
hv inawezekana mpinzani akakusaidia ili umshinde?????sidhan kama inaingia akilini ni sawa yanga iwape msaada simba ya kununua wachezaji bora ilihali ikijua ndio wapinzani wao wakuu....et pesa zitoke ccm kwenda chadema kwa nia ya kukiendeleza chama mmmmh Lema eleza kiundan tukuelewe
 
Busara na hakima ni mojawapo ya sifa kubwa za kiongozi. kwa hali hii Zitto mwisho wake 2014..hata 2015 haifiki atakuwa amepotea kwenye siasa ya Tanzania. Mpaka sasa ndio naanza kuamini huyu jamaa alikuwa amekula deal la kuirudisha CDM nyuma. Kwa kiasi flani atafanikiwa ila na yeye atakuwa amepotea kwenye ramani ya siasa. Chadema walichemka kugundua hili deal mapema kwa hiyo waanze kujipanga kwa ajili ya 2020. Maana hapa Zitto na CCM wamefanikiwa kwa 100% kukidhoofisha chama.
 
Naona pamoja na wajumbe kufungwa macho na fisadi Mbowe, sasa nadhani watafunguka na kumjadili kwa pesa ambazo amekuwa akipokea toka CCM, pia Dr. Slaa ambaye hata kadi ya CCM hajarudisha.

Tulishasema hawa ndo wasaliti wana wasingizia wengine, mengi tu yatakuja hapa. Hivi inakuwaje unamwomba Baba yako akupe hela umpelekee Mama yako halafu unamwambia Mama nakukopesha pesa hii na kweli Mama yako bila kujua anatafuta huku na kule anakulipa.

Jamani Mbowe uwe na hofu ya Mungu, utakufa vibaya sana. Pesa za Mkono kapewa yeye anakuja kuwakopesha CHADEMA, kwani alipewa zake binafsi au alipewa za Chama?

Hivi hiki chama kina akaunti kweli au inatumika ya Mbowe?

sijui itakuwaje, ila ukweli sisi wananchi 2likuwa 2namatumaini na Chadema,ila kwa hali hii inakatisha tamaa,kwa upande wangu nimevunjika moyo na nipo Dillema. Mungu ibariki Tanganyika
 
tunahitaji utetezi wa hizi tuhuma otherwise tuna haki ya kuamini kua ni kweli...

hupendi kagame unausifia uozo wa zzk, unajua zzk katumwa na nani? Saidia taifa katika hili kama wewe ni mzalendo kweli wa nchi hii!
 
Mbowe maji shingoni,kumbe hata ile bilicanas danguro lake ni la kifisadi??

eti anasema kupewa pesa na CCM sio tatizo ishu unapewa kwa nia gani??

CCM si mafisadi hawa??unapokea pesa zao kwanini??wewe una haja gani na pesa ya FISADI KAMA CCM??

KUMBE HII YOTE KELELE ZOTE,SIJUI MC4 KUMBE KUGANGA NJAA TUH??

KISHA YERICKO MLA MBWA NA BEN MREMBO NAMBA NANE WANATAKA KUPAMBANA NA ZITTO WATAMUWEZEA WAPI??

ZITTO ANAMUITA LISU KIFARANGA,SASA BEN NA YERICKO WAJICHAGULIE WENYEWE MAJINA NA WAJIPIMIE,

CHADEMA KIMESHAKUFA TAYARI,HAPA TUFANYE MAMBO MENGINE TUH,HIKI CHAMA WACHAGA WAMEAMUA KUKIZIKA WENYEWE,WAENDE ZAO KUZIMU HUKO
 
Well noted! Zitto tumemrushia tuhuma za kutosha na binafsi sina mjadala tena juu ya usaliti wa Zitto.

Lakini hizi za Mbowe nazo ni tuhuma.Zijibiwe tupime!

Sheria msumeno tunataka Wapinzani sio Wakinzani!!

Kuna siku niliku - quote nikikwambia kwa style yako ya kuuliza uliza utakuja kuitwa msaliti pia.

Siku tukikaa vizuri tukaufikiria huu mgogoro tutakuja kuelewa kwa nini Zitto ameondoka, na tutakuja kuona kumbe kuna wengine waliobaki wanaotakiwa kuondoka.

Najaribu kujiuliza vitu 2:
1. Ni kweli Mbowe hakwenda Musoma vijijini?

2. Ni kweli kuhusu hizo Mil 20 za uchaguzi Tarime? Imagine ni kweli, yaani Mkono alizitoa zisaidie Chama (CDM) halafu baadae Mbowe akakidai chama eti amekikopesha! Kama ni kweli alizichukua, ni ngapia kama hizi amejirudishia?

Tukiacha subjectivity tutaweza kuona tatizo lilipo.
 
Katika siku amabazo MODDS wa JF wametenda haki (Fair play) ni hii ya kuacha huu uzi uendelee.Hakuna kupendelea upande wowote. Wapi Ben saanane, Yericko Nyerere? waje wamsaidie Mr Chairman kwenye hii tuhuma.
 
Zzk hata kwa shetani hakubaliki kwa hiyo ni zaidi ya lucifer

Babu ndio kama shetani, kaacha kufanya upadri kwa uaminifu. ataweza kuwatumikia wananchi kwa uaminifu?
2010 mlituchota mawazo ila 2015 haiwezekani, kila uovu wa CHADEMA uko hadharani.
 
NATAMANI ZZK AFANYE MKUTANO WOWOTEEEEEE WA HADHARA TUONE KAMA KALE KA KAULI KA TL KATAFANYA KAZI HAHAHAHAA...!!!

Nawasilisha.

mwaandalie huo mkutano we si messenger wake? !!!
 
Tulieni wajamen musifanye haraka angalieni drama hiyo very interesting mambo ya TZ hayo
 
Zitto hajajibu mashtaka kwake kuhusu magari aliyopewa na Mkono. Two wrongs do not make a right.

Kabla ya ku deflect mashtaka kwa kuibua uozo wa mpinzani wako, jibu mashtaka kukuhusu wewe. Hata kama ni kwa kukubali tu.This deflection is one of the oldest tricks in the playbook.

Kwa wazoefu wa habari hizi, usipojibu tuhuma maana yake umekubali ni kweli. Kwa hiyo Zitto kakubali kwamba ni kweli kapewa magari na mkono, lakini anasema wanaomtuhumu nao wana yao kama hayo.

Hili saga linathibitisha yale niliyokuwa naandika hapa kitambo.

Hakuna Zitto wala uongozi wa CHADEMA, wote ni wale wale tu.
Ana magari mawili Freelander na carina tu,hizo gari alizopewa na nkono ni propaganda tu
 
Katika siku amabazo MODDS wa JF wametenda haki (Fair play) ni hii ya kuacha huu uzi uendelee.Hakuna kupendelea upande wowote. Wapi Ben saanane, Yericko Nyerere? waje wamsaidie Mr Chairman kwenye hii tuhuma.

mkuu hali mbaya sana, hoi bin taabani
 
Mbowe maji shingoni,kumbe hata ile bilicanas danguro lake ni la kifisadi??

eti anasema kupewa pesa na CCM sio tatizo ishu unapewa kwa nia gani??

CCM si mafisadi hawa??unapokea pesa zao kwanini??wewe una haja gani na pesa ya FISADI KAMA CCM??

KUMBE HII YOTE KELELE ZOTE,SIJUI MC4 KUMBE KUGANGA NJAA TUH??

KISHA YERICKO MLA MBWA NA BEN MREMBO NAMBA NANE WANATAKA KUPAMBANA NA ZITTO WATAMUWEZEA WAPI??

ZITTO ANAMUITA LISU KIFARANGA,SASA BEN NA YERICKO WAJICHAGULIE WENYEWE MAJINA NA WAJIPIMIE,

CHADEMA KIMESHAKUFA TAYARI,HAPA TUFANYE MAMBO MENGINE TUH,HIKI CHAMA WACHAGA WAMEAMUA KUKIZIKA WENYEWE,WAENDE ZAO KUZIMU HUKO

Waliambiwa watumie BUSARA wakagoma....acha tuyasikie mengi ili watokwa mapovu wa siasa wakome.
 
Back
Top Bottom