Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe kweli huyu jamaa mjinga ee! alikuwa wapi asiyaseme haya!! kama aliona no tatizo?? anazidi kujiumbua tu!
kama zzk alikuwa mwadilifu kwanini hakuyasema haya mapema kwa masrahi ya wana cdm na watz kwa ujumla?kwanini makosa anayodai yalifanyika toka miaka ya 2005 ayaseme leo?nafikiri cdm wameset precedence nzuri,personality haiwezi kuwa juu ya chama hats sikumoja.
manake ni kweli anakubalina kupokea pesa kutoka ccm si kosa utapokeaje pesa kutoka kwa maadui zako za nini kama mbowe ni msafi?
Wengine sie hatuna chama tumebaki kuwa washabiki wa chama ambacho kitaonekana kina dalili ya kuongeza upinzani wa kweli ili kupata idadi ambayo inashabihiana kwenye vyombo vya maamuzi ili kuitia joto serikali isilaleKaka siri ya ndoa siku zote inatoka nje pale ndoa inapoyumba hivyo si kitu cha ajabu siri za viongozi wa Chadema kutoka nje sasa maana ndoa ya Zitto na Chadema iko katika hati hati.
Hapa swala la alikuwa wapi siku zote halina maana yoyote tunachotakiwa kujua kama wanayosema ni kweli au si kweli. Tunaojua tumeshajua kuwa wote ni wakweli. Kazi kwenu CDM bora yangu niliyeamua kubaki CCM pamoja na kuwa kimevamiwa na mafisadi lakini bado kina misingi imara na nina imani siku moja tutapata kiongozi wa kufukuza mafisadi wote.
Vizuri!
Lkn Mkuu ata Km unafatilia Siasa za Tz na kimataifa ndio ulinganishe Cdm na NCCR? Nina Mashaka na ufatiliaji wako Wa Siasa!
Cdm wako vizuri kuliko vyama vya upinzani vyote Tz! Sio Km naongelea mapenzi hapana!
Tulikua na NCCR MAGEUZI. Haikudumu na mpk saizi sielewi Km wanamkakati ata Wa kuja kuongoza nchi!
Cuf na wao wakaja, kosa Alofanya Morgan Tsavangirai Wa Zimbabwe ndo wamefanya Cuf kwa upande Wa Znz! Na wamekosa nguvu Na ukosoaji Wa serikali Kwakua na wao ni miongoni mwa serikali!
Cdm wamefanya kazi kubwa sn! Ni chama ambacho kimewafanya watz angalau kujua haki zao na kuweza kutoa maoni Yao kwa uhuru bila wonga! Ni chama ambacho kina uwezo Wa kushika dola na kuongoza nchi!
Sasa ukiniambia kua uongozi ni Wa Cdm ni shida na ndio wametutoa chini mpk hapa nashindwa kukuelewa!
Jinsia yako ni ipi?Tumemwambia Dr. Slaa atuachie nyie VISEBENGO sisi ndo wadogo wenzenu, uwezo wa kuwaingilia hadi chooni tunao. Hamkatizi ni Kick tu kwa kwenda mbele mpaka mkamwambie yule mbunge kwa tiketi ya Mahakama kuwa mmekoma. CHOO CHA JELA we!
huwezi kuwa CCM ukawa siyo fisadi!
Chadema chama cha walarushwa.
Chama cha wazinzi.
Chama cha kifisadi.
Majungu.
Chuki.
Kidini.
Kikabila.
Kikanda.
Malaya.
N.k.
Jinsia yako ni ipi?