Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe
cdm has lost direction and they are exposing their weakest side. tunapata ushahidi kwamba na wao ni wasanii tu,.. they dont walk the talk and perhaps will never but talk the walk only. Mungu tunusuru 2015 sijui tutapata wapi mesiah!
 
manake ni kweli anakubalina kupokea pesa kutoka ccm si kosa utapokeaje pesa kutoka kwa maadui zako za nini kama mbowe ni msafi?
 
Kumbe kweli huyu jamaa mjinga ee! alikuwa wapi asiyaseme haya!! kama aliona no tatizo?? anazidi kujiumbua tu!

Ninyi ndiyo wajinga mmeshindwa kuelewa. Huyu kajibu tuhuma walizomtuhumu. Na wao walikuwa wapi siku zote kumtuhumu kwa haya wanayomtuhumu leo??? mbona ktk zile tuhuma 11 hili la kuhongwa gari halikuwepo??? Msiwe misukule wa ku support upande mmoja kwa interest zenu tu. Jaribuni kuwa fair kwa wote. Mbowe naye mwizi tu. Chezea mchaga weye mbele ya pesa!!!
 
kama zzk alikuwa mwadilifu kwanini hakuyasema haya mapema kwa masrahi ya wana cdm na watz kwa ujumla?kwanini makosa anayodai yalifanyika toka miaka ya 2005 ayaseme leo?nafikiri cdm wameset precedence nzuri,personality haiwezi kuwa juu ya chama hats sikumoja.

Ulitaka hayo maovu zito, akaya semee wapi? Si bado angesomeka msaliti Kama ilivyo sasa? Go go zito kabwe...
 
yote yanayomgusa zitto anayolilia na usaliti wake unafki wake sawa ila kwa hili la kifo cha wangwe hana msaada wowote kwani wakati wa kifo na hata katika mazishi alikuwepo pia zitto ndiye aliruhusiwa kuingia katika chumba cha upasuaji baada ya wananchi wa tarime kukataa kuzika na zitto baada ya kutoka ktk chumba cha upasuaji alikili kwa wananchi kwamba kifo cha wangwe hakihusiani na risasi na zito hakuwahi kutoa ufafanuzi zaidi kwa kutumia jina la wangwe na ulafi wake haiwezekani yeye afe kivyake
 
manake ni kweli anakubalina kupokea pesa kutoka ccm si kosa utapokeaje pesa kutoka kwa maadui zako za nini kama mbowe ni msafi?

Misukule ya cdm haioni kama hilo nalo ni la kuhoji, badala yake yanamkandamiza ZZK. Ngoja zito atoke then wataanza kumtafuta mchawi mwingine tena
 
Kaka siri ya ndoa siku zote inatoka nje pale ndoa inapoyumba hivyo si kitu cha ajabu siri za viongozi wa Chadema kutoka nje sasa maana ndoa ya Zitto na Chadema iko katika hati hati.

Hapa swala la alikuwa wapi siku zote halina maana yoyote tunachotakiwa kujua kama wanayosema ni kweli au si kweli. Tunaojua tumeshajua kuwa wote ni wakweli. Kazi kwenu CDM bora yangu niliyeamua kubaki CCM pamoja na kuwa kimevamiwa na mafisadi lakini bado kina misingi imara na nina imani siku moja tutapata kiongozi wa kufukuza mafisadi wote.
Wengine sie hatuna chama tumebaki kuwa washabiki wa chama ambacho kitaonekana kina dalili ya kuongeza upinzani wa kweli ili kupata idadi ambayo inashabihiana kwenye vyombo vya maamuzi ili kuitia joto serikali isilale
 
Vizuri!

Lkn Mkuu ata Km unafatilia Siasa za Tz na kimataifa ndio ulinganishe Cdm na NCCR? Nina Mashaka na ufatiliaji wako Wa Siasa!

Cdm wako vizuri kuliko vyama vya upinzani vyote Tz! Sio Km naongelea mapenzi hapana!

Tulikua na NCCR MAGEUZI. Haikudumu na mpk saizi sielewi Km wanamkakati ata Wa kuja kuongoza nchi!

Cuf na wao wakaja, kosa Alofanya Morgan Tsavangirai Wa Zimbabwe ndo wamefanya Cuf kwa upande Wa Znz! Na wamekosa nguvu Na ukosoaji Wa serikali Kwakua na wao ni miongoni mwa serikali!

Cdm wamefanya kazi kubwa sn! Ni chama ambacho kimewafanya watz angalau kujua haki zao na kuweza kutoa maoni Yao kwa uhuru bila wonga! Ni chama ambacho kina uwezo Wa kushika dola na kuongoza nchi!

Sasa ukiniambia kua uongozi ni Wa Cdm ni shida na ndio wametutoa chini mpk hapa nashindwa kukuelewa!

mkuu cdm wanajua kuchagiza tu,hawajui kuongoza na kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi,
ni maamuzi machache sana yanakuwa sahihi,sasa tukiwapa nchi si wataiuza?
 
CDM kwa uyu kijan lazima historia iandikwe
1503847_764062473623618_1168335137_n.jpg
 
Tumemwambia Dr. Slaa atuachie nyie VISEBENGO sisi ndo wadogo wenzenu, uwezo wa kuwaingilia hadi chooni tunao. Hamkatizi ni Kick tu kwa kwenda mbele mpaka mkamwambie yule mbunge kwa tiketi ya Mahakama kuwa mmekoma. CHOO CHA JELA we!
Jinsia yako ni ipi?
 
Kwenye matatizo magumu ndio huwa rahisi kuijua hekima ya mtu. Zitto Kabwe anachokifanya sasa cha kubwabwaja ovyo ni kwamba anajianika alivyo. Ni mtu asiye na staara hata kidogo. Huyu eti ndo anaweza kuwa mwenyekiti wa chama jamani!! Ni muda tu bado kidogo tutamjua Zitto ni mtu wa namna gani. Wahenga wa Kinyamwezi husema " Nzoka wayipizya kuwupi ilasuva ilakuluma magulu" Tafsiri yake ni kuwa " nyoka ukimwokoa asiungue moto porini baadae atakuja akuume mguuni" Hiyo ndo shukrani ya Zitto kwa chama na viongozi. Nadhani kwa kukosa hekima ya kunyamaza Zitto anajitengenezea anaongeza urefu wa kaburi lake kisiasa. Hata CCM watamuona hafai maana anaumbua chama na kutukana viongozi. huko ndio watamvumilia? ZITTO ANATAKIWA KUTAFAKARI UPYA!!!!!!!!!!
 
huwezi kuwa CCM ukawa siyo fisadi!

Ndugu yangu sikatai kuwa CCM hakuna ufisadi hupo tena sana lakini ufisadi uliopo ktk vyama vya siasa tena vinavyokuwa ruzuku ni mkubwa sana. Haya unayoyasikia ni madogo tusubiri makubwa yanakuja na kifo cha CDM kinakaribia
 
Mkuki kwa nguruwe. Akina Lissu kumtukana Zitto sawa, lakini yeye akijibu ana matatizo. Pwaaa.

Tumejua. Kumbe mnapokea hela kutoka kwa akina Rostam, halafu kwenye majukwaa mnawaita mafisadi. Tuna kazi upinzani nchi hii.
 
Guys wachaga wanaona wivu dogo anapiga ela mbaya mbele yao, mchaga na pesa utamtaka! Lazima akutoe roho. Ishu ni pesa mengine nyongeza hakuna waraka wala nyaraka kudadadek!
 
Lazima ifikie hatua tujue kamwe watu.hawawezi kuongozwa na malaika. Watu wataongozwa na watu na katika hao watu hakuna mkamilifu hata mmoja wote tunayo madhaifu yetu lakini, inapoonekana mmoja miongoni amevuka udhaifu wa kawaida wa kuweza kuchukuliana naye, haina jinsi inabidi kumwondoa. Naamini Mbowe ana personal weakness hata za chumbani anaweza kuwa nazo, kwasasa anachukulika na anao uwezo wa kuongoza watu wa namna mbalimbali kwa elimu zao, dini zao, kabila zao, ideology zao bila kuwabagua, haina maana kwamba ZZK hawezi, huenda anaweza pengine kuliko Mbowe maana hajapata huo mwanya, lakini kwa jaribu hili lililompata ZZK limemwonyesha kama mtu aliyejaa UNAFIKI mwingi ambaye anasubiri yatokee ndio alete hoja, SIKU ZOTE UKITAKA kujua mwanasiasa #MCHOVU aliyefilisika kisiasa basi ni yule mwenye kudhani kwamba siasa za Chumbani zinaweza kufanya kazi kwenye majukwaa. Mwanasiasa wa hivi kafilisika hata kama angelikuwa na uwezo wa namna gani hafai kuongoza watu wenye ideology tofauti maana yeye anadhani anaongoza malaika,ZITTO alikuwa mzuri kuongoza na kuongozwa lakini kwa sasa hawezi tena kuongozwa wala kuongoza na anachokifanya si kwamba hajui matokeo anajua tu ila anafanya makusudi, CHADEMA mmefanya kazi nzuri hadi hapa tulipo,tunaelekea kupata katiba mpya kwasababu ya MBOWE na wenzake waliokuwa radhi kuonekana ajinga mbele ya Raisi bungeni, kuliko Zitto ili tu katiba yenye utaifa wa Tanzania ipatikane, hapo hakukuhitajika siasa za chumbani kufikikisha ujumbe kwa wahusika, ZZK akajiona muungwana na kukaa kando wenzake wakaenya, ni dhahiri kwamba kijana huyu aliyejijengea heshima kwa utendaji wake hapo nyuma heshima yake ameiharibu mwenyewe hata kabla hajafika kilele cha ndoto zake
 
Nilijua atakakataa kuhongwa hayo magari, nashukuru ameuthibitishia umma kuwa ni kweli alihongwa, ijapo amekubali kwa kumpaka mtu mwingine matope, anawatilia aibu wana Kigoma.
 
Back
Top Bottom