Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe
ukabila mbaya sana ona unavyoharibu chama

Slaa ni Muiraq...... mimi ni Maasai. Wote ni CDM. Ukabila upi unazungumzia wewe mwaenye nia mbaya kuiharibu TZ.
kafie distance.
 
Zitto ni mwanasiasa hewa tena mnafiki na lengo lake ni kuvuruga chama, anapaswa kujibi tuhuma zinazomkabili na sio kutoa tuhuma juu ya tuhuma.. kweli maji yamemfika shingoni kama vp ajikatae chadema hatumtaki.
 
Mtendahaki hujui hata nini kinajadiliwa hapa. Hatuijadili cdm hapa tunaangalia perfomance ya zzk kipindi chake cha kisiasa na misimamo yake ilivyotetereka
 
Kwa hiyo Zitto akijua uchafu wao tufanyeje? Biblia inasemaje kuhusu uzinifu? Tupe jina la kitabu, haya na mstari kama una akili. Ukimaliza tueleze kwa nini Zitto macho yake yanaona uchafu wa viongozi wa CDM tu. Yakienda Uswiz yanaona dollar. Ukieleza hayo, nta debate na wewe. Vinginevyo huna hoja.

Wewe ni matunda ya zinaa; soma waraka wa Mtume Paulo kwa Wakorintho na Wagalatia! Huwezi kuwa na hoja tangu lini nyie waganga njaa mkaja na hoja humu JF zaidi kutetea njaa zenu; mwenyekiti wako amekiri kupokea chochote kutoka kwa Rostam mtuambaye Chadema mlijijnegea umaarufu kwa kudai yeye ni fisadi kumbe kwa mlango wa uawani mlikuwa mnapokea posho!
 
Yaani its better wababaishaji ccm kuliko wababaishaji wa chadema....... Ni bora wamalizane mapema bt hii vuta nikuvute ya kutupiana maneno mabaya ya waheshimiwa ndio itawakipoteza chama, coz hii habari iliyozuiliwa mahakamani kwa taratibu itaenda hadi 2016
 
Heri yangu sina chama

Heri yako mkuu,maana watu hapa wanajitoa akili kabisa ili wasione uchafu wa Wakombozi waliowaamini na kumbe wenzao wapo kifedha zaidi..

Kuna watu hapa kama wangejua pesa wanazochanga mikutano haziendi popote bali mifukoni mwa wachangishaji basi wangejizira kabisa..
 
Hahahahaha daa ndugu zang hapa tz hamna mzarendo wa kweri wote hao ni wanafiki.heb 2 bebe majembe 2kalime

Bahati mbaya kuna watu hawana mpango wa kujikomboa wanasubiri Wakombozi wa Kuchora wawakomboe,watasubiri sana..
 
Zitto anayo mengi kifuani kwake. Ngoma inogile
Kidema ni wasanii wakubwa.wamuulize kaka yao Mleama.Matawi ya kidema ni ya chini tu.hivi Mzito ni mwanasheria hadi afanye internalship kwa Mh Mkono?ukweli Kidema kiondoe ndoto za Mjengoni.wananyiana uhaini sasa wakiwa vivuli je niwatu wa kuaminiwa?
 
kwa hiyo mbio zetu zoote za pipo power ndio zinaishia hapa??? kweli???
Hebu tuendeleze chama jamani, miradi mingi ya CCM inapamba moto sasa hivi kwa sababu wanajua wakilegea wananchi wana option nyingine come 2015...
CDM ikifa leo tutarudi kule kule kwenye list za mikakati, mipango madhubuti na michakato kama ilivyokuwa miaka 10 iliyopita....kwa sababu hakutakuwa na accountability wala mtu wa kuwa nyooshea vidole.
tunahitaji uwepo wa CDM na sio lazima muende ikulu leo, bungeni tu na mtaani panatosha sana kuwawajibisha CCCM, huko ikulu mnaweza kwenda baadae

Eti Eeeh......
 
Wakubwa unajua haya mamboyanaumiza hasa unapotegemea kitu kizuri ulichonacho.nakukipenda.kukidhamini.nakukiamini af mwisho wa sikuunakuja kujua hatahicho kizuri kumbe ni kichafu na kimejaa kila aina ya uovu.......af ukiwa makini utajagunduakuwa hawo viongoz wote wapokifedha.mbona mwanzo haukusema kuwa hawo jamaa wamekunja ml 200.au mlikula wote?hii nchi imekuwa kama KISIWA CHA GININGI...
 
Kidema ni wasanii wakubwa.wamuulize kaka yao Mleama.Matawi ya kidema ni ya chini tu.hivi Mzito ni mwanasheria hadi afanye internalship kwa Mh Mkono?ukweli Kidema kiondoe ndoto za Mjengoni.wananyiana uhaini sasa wakiwa vivuli je niwatu wa kuaminiwa?

From: Zitto Zuberi Kabwe <zitto.. gmail.com>
To: wana.. GOOGLEgroups.com
Sent: Sat, October 17, 2009 1:03:36 AM
Subject: [wanabidii] Re: Zitto Arudi Ugerumani Kuendelea na PHD


Naomba nisahihishe tafadhali.

I am currently writing a PHD proposal and my admission depends on my the submission of it by May 2010 at WHU-Otto Beisheim School of Management. I am not a PHD candidate yet. At the time i am doing a second post graduate on Law and Business at Bucerius Law School in Hamburg and expecting to write on Fiscal stability clauses in mining agreements.

My PHD proposal so far is on Why Tanzania is yet to benefit from 10 years extraction of its mineral resouresces - testing the backward linakages (energy, transport and agri sectors).


So bado sana kujiita mwanafunzi wa PHD. Nanoa bongo tu kwa sasa!

Zi

 
Hakuna atakayepata kura yangu mwaka 2015! yawe MACCM au Chadema. NASUBIRI MKOMBOZI WA KWELI
 
Wakuu, inasemekana Zitto Kabwe ali-post facebook hii kitu halafu aka-edit later.

Original post:

Revised Post:


Kutoka Gazeti la Raia Tanzania

mkuu kitwange acha kupotosha jamii chadema iko makin tofauti na ulivyo edit hii post kwa manufaa yako kumbuka huu si mgogoro ni kujaribu kujenga demokrasi ndani ya chama watu wapate fursa ya kutoa ya moyoni kuelekea 2015
 
Huu ndo ukweli,kwanza katika hali ya kawaida utoe Rushwa halafu unawezaje kusema hadharani?
TL mbowe kakupoteza na hiwezi siasa
ZZK siku akianza mipasho mtakimbiana CDM kwa sababu anazijua issue zenu kuanzia A to Z

Zitto amebaki anapiga porojo na mipasho. Yeye alipotuhumiwa na TL kuhusu kuhongwa magari 2 na Nimrod, tuhuma ilikuja kutibitishwa na Nimrod mwenyewe kwamba kweli alimpa Zitto magari 2 japo hajaeleza sababu hasa ya kutoa hayo magari kwa ZZK na si kwa mtu mwingine. Sasa tunasubiri Nimrodi aje athibitishe tuhuma za ZZK kwamba Mbowe kwa nyakati tofauti alipokea maburungutu ya pesa kutoka kwake. Hili lisipothibishwa na Nimrod mwenyewe sisi tutachukulia ni mipasho ya kike kutoka kwa ZZK baada ya aibu ya kuhongwa magari.
 
Mungu mkubwa maana mlikuwa mnaenda kushika Dora coz watz turi wa trust.xaxa si mnge2maliza wote kwa uozo huwo.asante mwenyez
 
Ukisubiri mkombozi utakufa masikini Fanya jitihada za kujikomboa af mkomboz akukute njiani.au kaka butora unademaje?
 
Ni pale alipotoa hoja hiyo wakati wa bunge la Sitta na akafungiwa kuhudhuria bunge sikumbuki ni kwa siku ngapi alifungiwa.

Ni baada ya hapo CDM kupitia Mbowe ambaye ni mwenyekiti wake kipindi hicho... wakamzungusha nchi nzima na kumpa umarufu mkubwa.

Leo Zitto anatukana mbowe na Dr slaa je amesahau mbeleko ilombeba.

Nipeni mawazo.
 
Zitto hajitambui msaliti mwanachama wa Rushwa kubwa ccm itamulinda mpaka kufa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom