Kweli wewe ni waruwaru wa kupindukia. Najua fika kuwa umetumwa na unataka kuivuruga CDM na unafikiri kwa mawazo yako unaweza kuivuruga CHADEMA. Mmejaribu mbinu mbalimbali za Udini, ukabila, ukanda etc zimeshindikana na sasa mmeachana na Agenda iliyopo ya Kumpiga risasi shekhe Ponda mnakuja na chokochoko kwenye uongozi wa CHADEMA na haya yote ni yaleyale ya kutaka kuivuruga CDM.
kweli CCM imejaa uozo.
Mzee bado unaamini katika "Zidumu fikra bora za Mwenyekiti"?
Kama unafanya maamuzi kwa reasoning hii basi una tatizo kubwa.
By the way,CHADEMA ni mfumo,ni taasisi.Sauti ya umma ndiyo ya mwisho.
Sasa hivi ajenda ya wananchi ndiyo ajenda kuuu na muda huu tunapoongea viongozi wanaowajibika kwa wananchi wanakusanya maoni yao mikoani kuhusu maoni ya katiba.Tunajenga Chama kwanza.Uenyekiti hauji kwa silver plate
....astonishing Ignorance ! ! !
Hapo penye red pana mushkeli bwana ben. si kweli kuwa wananchi au wanachama ndani ya chadema ndo wenye maamuzi. mbona 2010 Ni FREEMAN MBOWE pekee ndiye aliyetamka kuwa Dr Slaa atakuwa mgombea urais na ikawa hivyo tena bila hata ya kushauriana na mhusika. kama hiyo haitoshi, tarehe 30 Desemba 2012, Mbowe katamka akiwa Karatu kuwa ni Dr Slaa pekee ndiye atakayegombea urais kwenye uchaguzi mkuu wa 2015. hapo sauti ya watu ipo wapi?
hamy-d anachokoza tu anajua kitu kama hicho hakiwezekani ndani ya chama cha wana wa kaskazini. Ni heri nassary akapata hiki cheo kuliko huyu kijana mwenye uwezomkubwa wa kukwepa kuwekewa sumu. Wakimshindwa watamuondoaje?
Kila nikiangalia kibichwa chako nalinganisha na akili yako ya mtindio wa akili
HAMY-D anachokoza tu anajua kitu kama hicho hakiwezekani ndani ya chama cha wana wa Kaskazini. Ni heri NASSARY akapata hiki cheo kuliko huyu kijana mwenye uwezomkubwa wa kukwepa kuwekewa sumu. Wakimshindwa watamuondoaje?
Au Ben akisema sauti ya watu uwa ana maanisha sauti ya Mbowe?
WanaJF!
Binafsi nina amini katika 'uongozi' na sio hali ya taasisi, hii ni kwa kumaanisha kuwa endapo akipatikana kiongozi bora, basi hata taasisi iwe hoi namna gani itanyooka tu na kuwa yenye tija na yenye manufaa makubwa kwa umma.
Nina yasema haya kwa kutambua kuwa hivi karibuni una tarajiwa kufanyika uchaguzi wa ndani ya CHADEMA ambao umekuwa ukifanyika kwa kila baada ya miaka mitano, hivyo mimi kama mwananchi mpenda amani, haki na usawa, nimeona nitoe yaliyo moyoni kuhusu uchaguzi huo.
Zitto ni kijana ambae amehusika kwa kiasi kikubwa katika haya mabadiliko tunayo yaona hivi sasa kwa CHADEMA na taifa kwa ujumla wake, ni kijana ambae amejitoa kuhakikisha haki ina tolewa, usawa una kuwepo na sheria zinafuatwa, na hayo amekuwa akihakikisha yanafanywa na kuonekana kufanyika.
Zitto ndiye amekuwa tanuru la vuguvugu lenye kutoa hamasa na ujasili kwa vijana kuamka na kuhoji juu ya mambo mbalimbali yanayogusa mstakabali wa taifa letu, kwani itakumbukwa vijana wengi walijiunga na CHADEMA kwa kuvutiwa na ushawishi wa Zitto, uwezo wa kujenga hoja na uzalendo wake.
Aidha, itakumbukwa kuwa Zitto ndiye aliye ifyeka njia na kuwaandalia mazingira ya kuaminiwa na wananchi hawa wabunge wapya wa CHADEMA, kwani ni Zitto ndiye aliyekuwa akiibua mambo mbalimbali ya kifisadi serikalini, hii ilijenga imani kuwa ya wananchi kwa kijana huyu na kupelekea CHADEMA kujulikana nchini.
CHADEMA (nikiwa na maana ya wanachama) kama itajivika ujasiri na kukataa hali ya kuendeshwa na kikundi cha watu wachache na ikathubutu kumpa ridhaa ndugu Zitto nafasi ya uenyekiti wa chama hicho, binafsi nitatoa kura zangu kuanzia ya urais, ubunge mpaka udiwani kwa CHADEMA bila kujali ni nani aliye simamishwa kugombea nafasi hizo (soma aya ya kwanza).
ANGALIZO: USHABIKI WA ITIKADI ZA KISIASA NI KIKWAZO KWA MAENDELEO YA NCHI.
hahahaaaa, we kama unamwona HAMY-D ana utindio wa ubongo. wakubwa zako akina slaa wanamhara sana na sasa wanahangaika kumfahamu. kuna bajeti kubwa imetengwa ili apatikane kwa malengo yasiyojulikana
Udini, udini, udini, udini, udiniiiiiii!Mbona Zitto hamumshirikishi?, maana jimboni Hai hamkumpa fursa na sasa Tarime hivyo hivyo.
Ponda anaendeleaje?Mkuu, nina ushawishi kwenye jamii, hivyo sio tu mimi ambae nitapigania CHADEMA ishinde (endapo Zitto akiwa mwenyekiti), bali hata vijana na wazee watajumuika na mimi kuhakikisha hilo linafanikiwa.
Mbona Zitto hamumshirikishi?, maana jimboni Hai hamkumpa fursa na sasa Tarime hivyo hivyo.
hahahaaaa, we kama unamwona HAMY-D ana utindio wa ubongo. wakubwa zako akina slaa wanamhara sana na sasa wanahangaika kumfahamu. kuna bajeti kubwa imetengwa ili apatikane kwa malengo yasiyojulikana
Huna kinachokusukuma kwa Zitto zaidi udini wewe,nani asiekujua wewe mdini,juzi Zitto bila kujua akiwashutumu askari kumua Shekhe Ponda at the same Ben Sir8 akaonyeshwa kusikitishwa na hatua za polis kumpiga risasi Ponda na hakusema wamemuua,chakushangaza ulimwacha Zitto ukampa makavu Sir8 tena kwa kumwambia "stay away frm muslim is non of u'r business",..wewe ni mdini tena taka kabisa.,hatutaki watu wadini kama wewe hata kura yako hatuitaki..,kafie mbele.Sijasema naamia CHADEMA, nimeahidi kuipigia kura CHADEMA endapo Zitto akiwa mwenyekiti. Naomba ieleweke hivyo.
Wewe ni msemaji wake?Viongozi wanashirikishwa na nani?
Sijui unamaanisha nini au mkuu unamaanisha kwamba Chadema kinafanya mwaliko wa kushirikishana kupitia kadi kama za harusi au sendoff.? This is crazy ! ! !