Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Kifo ni ukweli ulio wazi...Leo sio Siri nipo natafakariHaya ni marudio tu ya kile Zitto alikisema pale ambapo wengine walionyesha mapenzi makubwa kwa aliyekuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli alipofariki Dunia
Na leo yeye imekuwa kwake, anaongea kwa uchungu mkubwa kuonyesha naye ni binadamu mwenye kuguswa kama ilivyokuwa kwa wengine walioguswa na msiba wa Magufuli
Tunamshauri kwamba, kama alimpenda mno Membe, akazikwe pembeni yake
Kumbuka!
Kifo hakikimbiwi! Kila mwenye nafsi ataonja mauti
R.I.P Kachero Membe
Kwa hisani ya walamba asaliJF again
Hate thread kama hizi mnaziachaje?
Pole sana kwa kufiwa na mpendwa wako Membe,tunakuombea katika kipindi hiki kigumu unachopitiaMuhimu ni kuwa magufuli alitangulia katuacha bahari imetulia
🙄🙄🙄🙆🙆🙆Hakuna namna azikwe pembeni yake kwakweli ikibidi alazimishwe. Kushoto zito, kulia nape.
1-1 bahari imetulia, kama unampenda kazikwe nae, Mungu fundi
Kama baba yako alivyokufa na kuacha ukoo wenu umetuliaMuhimu ni kuwa magufuli alitangulia katuacha bahari imetulia
Baba hakuwa na cheo Wala Dola!Kama baba yako alivyokufa na kuacha ukoo wenu umetulia
Oohoooo......[emoji1]!Hakuna namna azikwe pembeni yake kwakweli ikibidi alazimishwe. Kushoto zito, kulia nape.
Haijalishi kama alikuwa hana cheo ila alivyokufa ukoo wenu umetulia na anajiozea tu huko funza wanafaidiBaba hakuwa na cheo Wala Dola!
Yule MUNGU wenu wa chattle kamlilieni
Ingawa sio kile unamaanisha moyoni, ni vema tumia herufi ndogo unapotaja miungu isiyofahamika, tumia herufi ndogo ili uonekane unautani na miungu ambayo haiwezi kukudhuruBaba hakuwa na cheo Wala Dola!
Yule MUNGU wenu wa chattle kamlilieni
Unaelewa Maana ya Mwendazake??We umekosea mwendazake ni magufuli
Tulieni. Mnapitia njia ile ile waliyopitia wenzenu kipindi kile
Zito kasema mbele ya Samia kuwa Magufuli alikua muoga na alikua anatuma wahuni wawachafue.
Zitto ni mrundiZitto ni Mtanzania asili acheni ubaguzi.
Team wema hawafi mnaomba poo?
Una uhakika?Magufuli alikua muuwaji huwezi mfananisha na membe hata kidogo
Bahari imetulia..Muhimu ni kuwa magufuli alitangulia katuacha bahari imetulia