Aisee, niaibu sana.Ayatolla leo kachekesha sana hotuba ya kijinga kabisa.
Kama ukoo wako unavyoshukuru baba yako mchawi alivyo kufa alikuwa anatafuna mimba za ukooYaani mtalazimisha kujifariji sana, lakini ukweli ni kuwa dhalimu wa chattle alikuwa anajifanya mungu mtu na sasa hivi hayupo. Huyo Membe hakuwa na madhara yoyote wala sio kifo kilichogusa wengi. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Zilizomhusu JPM hazikuwa hate thread, siyo?!
Ayatolla leo kachekesha sana hotuba ya kijinga kabisa.
Kiaje tutaishia kugombea TU? Jk hakuwa rais? Samia hajapewa cheo na MUNGU?Aliwaacha lakini historia yake hamtaifikia. Ni miongoni mwa Marais Watano wa Tanzania mpaka sasa, nyinyi mmekomea kugombea tu
Imekuuma?
Tulia nyau wewe,kwa Magufuli ulikenua meno,zamu yako kufanya makasiriko
PIa wanaweza kumkata kichwa kikazikwe karibu na kaburi la mama yake huko Kigoma na kiwiliwili kikazikwe karibu na kaburi la Membe kule Rondo, Lindi.Zitto amechanganyikiwa?? Aliyoongea kwenye msiba wa mpendwa, yanasidifu hiki ninachosema!
Aliwahi kusema kipindi cha Kifo cha Magufuli kwamba, walioumizwa sana na kifo hicho, wakazikwe pembeni yake
Sasa leo tunamkumbusha tuu
Haya ni marudio tu ya kile Zitto alisema pale ambapo wengine walionyesha mapenzi makubwa kwa aliyekuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli alipofariki Dunia
Na leo yeye imekuwa kwake, anaongea kwa uchungu mkubwa kuonyesha naye ni binadamu mwenye kuguswa kama ilivyokuwa kwa wengine walioguswa na msiba wa Magufuli
Tunamshauri kwamba, kama alimpenda mno Membe, akazikwe pembeni yake
Kumbuka!
Kifo hakikimbiwi! Kila mwenye nafsi ataonja mauti
R.I.P Kachero Membe
Wakiondoa hizi basi itabidi na hate threads zote zinazomhusu Magufuli waziondoe. Kwa nini hate iwe ya upande mmoja? Wakati wanrusha maneno kama hawana vichwa, kwani walidhani wao hawatafiwa? Acha inyeshe tujue panapovuja!
Haaaa ZittoPIa wanaweza kumkata kichwa kikazikwe karibu na kaburi la mama yake huko Kigoma na kiwiliwili kikazikwe karibu na kaburi la Membe kule Rondo, Lindi.
Hiyo mbwa sio mtanzaniaZitto ni Mtanzania asili acheni ubaguzi.
Mzoga wa Membe huooo,kazikwe naoMuhimu ni kuwa magufuli alitangulia katuacha bahari imetulia
[emoji29][emoji27][emoji32]PIa wanaweza kumkata kichwa kikazikwe karibu na kaburi la mama yake huko Kigoma na kiwiliwili kikazikwe karibu na kaburi la Membe kule Rondo, Lindi.
Are you seriously aliyatamka haya maneno, kweli?"..... hatakaa asimame tena"
Mbona huna staha? Huwezi kumuita charismatic leader "Mbwa".Hiyo mbwa sio mtanzania
"Watu wazuri hawafi"
View attachment 2621519
Hakuna namna azikwe pembeni yake kwakweli ikibidi alazimishwe. Kushoto zito, kulia nape.
Kwanini awe Magufuli na asiwe na Membe embu tueleze?We umekosea mwendazake ni magufuli
Zis is noz