SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Kwamba kuhoji urithi wetu kupelekwa nje ya nchi ni Udini?Zitto kabwe ameibuka na kauli kuhusu Usafirishaji wa wanyama Pori kwenda nje ya nchi uliositishwa leo na Waziri wa Maliasili na utalii akisema umegubikwa na udini ndani yake.
Kwamba waliokosoa wanaichukia Serikali kwa sababu inaongozwa na Rais Samia ambaye ni Mwislam, kwahiyo anaona watu kuhoji wamekosa uvumilivu wa dini.
Zitto ni mdini sana hafai kuongoza nchi hii hata siku moja.
Zitto kabwe
View attachment 2251905
View attachment 2251906
Maelezo yako ya mwanzo yako sahihi kabisa ! Lakini hayo unayoyaita ya waisiharamu hayo kwakweli siyafahamu ! Lakini pia ukikosana na watu wawili watatu wanne au hata kumi usiwachukulie kuwa watu wote wa dini ile au wa asili ile wako hivyo !! Unaambiwa Akili ni nywele kila MTU ana zake !!!Wewe ujui uislamu ....uislamu unamtaka muislamu kushikamana na mtu yoyote hata kama siyo muislamu katika jambo la haki tena hiyo ni amri kutoka kwa muhamadi mwenyewe ...tatizo hawa tulio nao ni WAISIHARAMU SIYO WAISLAMU , KITABU CHA RAIS MWINYI KINAONYESHA MWINYI ALIMPAPASA MAMA YAKE MZAZI AKIWA UCHI WA MNYAMA SASA HUO NI UISILAMU GANI ,TENA MWINYI ALICHAPWA KOFI NA MUISLAMU MWENZAKE WALA SIYO MKRISTO KISA NI HAYA HAYA MAMBO YA UISIHARAMU
Pimbi hilo achana nalo! Kila siku linawaza ya Magufuli ya Samia haliyaoni! Stupid sana hiyo!Wazungu waliokufa kwa korona na madaktari waliokufa kwa korona wao ilikuwa vipi ni washamba
Nadhani kuzungumzia kuhusu udini udini hakuna faida yeyote na pia kuzungumzia ukabila ukabila pia hakuna faida yeyote !! Ni kweli kabisa kosa la mmoja halihalalishi kosa la mwingine !! Hiyo haikubaliki !!Hiyo ni kujishtukia tu, wala hakuna aliye na time na dini ya mtu, watu tunaangalia utendaji. Kwa hiyo ulitaka wanyama hai wasafirishwe tu kisa mishahara imepanda? Au kisa watu wameacha kutekwa? Kosa la mmoja halihalalishi kosa la mwingine, kila moja litakemewa kivyake
Sio mpumbavu mimi, dini zimeletwa hizi kuziendekeza ni upambavu mwingine. Mimi ni mtanganyika ni mwafrika.Kwahiyo kumbe unajichukia wewe mwenyewe pia !!
Halafu wahata Si muislamu zittow.Zitto kabwe ameibuka na kauli kuhusu Usafirishaji wa wanyama Pori kwenda nje ya nchi uliositishwa leo na Waziri wa Maliasili na utalii akisema umegubikwa na udini ndani yake.
Kwamba waliokosoa wanaichukia Serikali kwa sababu inaongozwa na Rais Samia ambaye ni Mwislam, kwahiyo anaona watu kuhoji wamekosa uvumilivu wa dini.
Zitto ni mdini sana hafai kuongoza nchi hii hata siku moja.
Zitto kabwe
View attachment 2251905
View attachment 2251906
Na ndivyo inavyo kuwa siku zote, walionzisha dini walikua na nia njema kabisa kuleta watu pamoja kuheshimiana, kusaidina na kutendeana HAKI. Hawa wachawi sasa hawa ndio shida. Shenzi kabisa kabisa.Halafu wahata Si muislamu zittow.
Zittow ni mshirikina, mchawi mchawi tu, Hana dini yoyote.
Zitto ni tapeli sana anasema chochote kwa sasa, Waislamu wa Ikulu wamempa ajira ya kupuyanga kwa miaka 9. Na anapuyanga kweli kweli chezea ajira wewe.Iyo ni propaganda hata kama zitto simwelewi hawezi kusema uchafu huo acheni kusingizia watu
Acha ujinga hauna uisilamu wowote.Hata mimi naona hivyo pia, Sioni afya ya nchi hii ikiongozwa na waislamu japo mimi ni muislamu. Siwapendi warabu hata kidogo. Ni wanafiki mno kama sisi wafrika.
”Magufuli mungu ”aliwahi sema shekhe wa mkoa wa DSM, ulithubutu kukemea ?! Mimi nilimlaani alhad Musa, acha ushoga wakidini, huna dini yeyote vilevile. TUISHI.Acha ujinga hauna uisilamu wowote.
At least ni bora iwekwe hivyo.Kuuza wanyama hai hilo halikubaliki. Hata kama muuzaji ni mimi au wewe halikubaliki. Zitto ni kiongozi dhaifu, hilo linajulikana. Wa aina yake wanatumiwa na yoyote kwa maslahi ya wanaomtuma. Ndio historia yake. Fufueni TAWICO or
equivalent ili anaetaka kununua na kula nyama pori aruhusiwe. Mradi serikali idhibiti.
Kumbe Mwijaku mi nilidhani atamfikia Mbowe,kwa uchumia tumbo maana juzi kaweka wazi kabisa Mama asibughidhiweKulamba asali si mchezo, Zitto ameanza kuwa Mchumia tumbo! Muda si mrefu tutashindwa kumtofautisha Zitto na Mwijaku!
Na Magufuli tulimkosoa na kumchukia sababu ni mkristo? Au sababu ni mwanaume?Ukweli uko wazi, mama wanamchukia kutokana na DINI, UZANZIBAR na UWANAMKE wake.
Liko wazi, Juzi hapa imepigwa picha ametoka msikitini ijumaa, watu wameongea as if haruhusiwi kuswali.
Tumeona hapa Magufuli kila Jpili kanisani anahutubia kabisa na kutumbua watu akiwa kanisani.
Be fair, nchi ya watu wote, TANGANYIKA na ZANZIBAR.
Verified account.....[emoji16]Hiyo ni verification account,si unaona ina blue tick