Very true mm baba ni muislamu mama ni mkristo ....ni ukweli waislumu kuongoza nchi wanaturudisha nyuma kila mara tazama maraisi wakristo tz na waislum tz hakuna mzalendo hata mmoja katika marais wa tz waislamu wote wanasujudia mabeberu na waarabuHata mimi naona hivyo pia, Sioni afya ya nchi hii ikiongozwa na waislamu japo mimi ni muislamu. Siwapendi warabu hata kidogo. Ni wanafiki mno kama sisi wafrika.
Una element za udini.Ukweli uko wazi, mama wanamchukia kutokana na DINI, UZANZIBAR na UWANAMKE wake.
Liko wazi, Juzi hapa imepigwa picha ametoka msikitini ijumaa, watu wameongea as if haruhusiwi kuswali.
Tumeona hapa Magufuli kila Jpili kanisani anahutubia kabisa na kutumbua watu akiwa kanisani.
Be fair, nchi ya watu wote, TANGANYIKA na ZANZIBAR.
Huyo kapata laana ya JPM na laana ya JPM ndiyo hii kuwa chukia watz na tz kwa sababu ya kumchukia JPM ni kama laana aliyo nayo NAPELOOooh, huyu bwana mbona kaharibikiwa kiasi hiki sasa!
Dini itahusika vipi katika jambo hili la wanyama, na isiwe kwa jambo jingine ambalo pengine lingekuwa na mashaka kidogo juu yake?
Kabwe anategemea kufika wapi katika siasa na mawazo kama haya!
How low can he get than this?
Mkuu hicho ndio kinachomwumiza,Zitto aneumizwa sana na yanayoendelea kati ya rais na CHADEMA... Anakiona kitisho cha wazi kabisa ACT kusahaulika kwenye siasa za bongo.. Ana hasira na anejawa na taharuki ya ajabuView attachment 2251782
Wote wanatoka KigomaKulamba asali si mchezo, Zitto ameanza kuwa Mchumia tumbo! Muda si mrefu tutashindwa kumtofautisha Zitto na Mwijaku!
Mama anachukiwa hata na waislamu kwa sababu anasujudia mabeberu tena hao mabeberu ni wakristo tofauti kabisa na jpm ...jpm alikuwa anapingana na mabeberu ya kikristo madini yetu yaliyo kamatwa bandarini yalikuwa chini ya mabeberu wa kikristo na kama kuna watu walimchukia Magufuli sana ni mabeberu wakristo na JPM alipendwa na mataifa mengi yenye waislamu kuanzia somalia ,nigeria , nk hivyo usitufanye sisi wajinga. Sa 100 ana chukiwa kwa upumbavu wake mwenyewe ....mwanamke mpumbavu uvunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe..Ukweli uko wazi, mama wanamchukia kutokana na DINI, UZANZIBAR na UWANAMKE wake.
Liko wazi, Juzi hapa imepigwa picha ametoka msikitini ijumaa, watu wameongea as if haruhusiwi kuswali.
Tumeona hapa Magufuli kila Jpili kanisani anahutubia kabisa na kutumbua watu akiwa kanisani.
Be fair, nchi ya watu wote, TANGANYIKA na ZANZIBAR.
Mnajitoaga ufahamu,hata Kipindi Magufuli yupo Zitto hajawahi kuacha kuongea.Zitto ni mzito kipindi hiki lazima aongee sana kwani asali anaipata mojakwamoja
Huu wa zito nao ni upuuzi tuu..Zitto kabwe ameibuka na kauli kuhusu Usafirishaji wa wanyama Pori kwenda nje ya nchi uliositishwa leo na Waziri wa Maliasili na utalii akisema umegubikwa na udini ndani yake.
Kwamba waliokosoa wanaichukia Serikali kwa sababu inaongozwa na Rais Samia ambaye ni Mwislam, kwahiyo anaona watu kuhoji wamekosa uvumilivu wa dini.
Zitto ni mdini sana hafai kuongoza nchi hii hata siku moja.
Zitto kabwe
View attachment 2251667
Nijibu kwanini jpm alichukiwa na mabeberu ya kikristo hapo utajua kwanini waislamu wengi wa tz na nchi nyingine walimpenda JPMUmejadili UPUUZI na wewe ukaandika HOJA YA KIPUUZI ZAIDI! Acheni upuuzi wenu wa UDINI. Mwalimu Nyerere alijenga Taifa la Tanzania siyo Dola ya Sharia wala Amri kumi za Mungu. Msiwaingize viongozi wakuu wa nchi au Serikali zetu ktk upuuzi wenu.[emoji120][emoji120][emoji120]
Tz tunataka rais MZALENDO SIYO HABARI ZA UISLAMU AU UKRISTO ..Jpm alipendwa hadi na waislamu kwa sababu ya uzalendo na alichukiwa hadi na wakristo kwa sababu ya uzalendo. Rais wa hivyo ndiye tuna mtakaUmejadili UPUUZI na wewe ukaandika HOJA YA KIPUUZI ZAIDI! Acheni upuuzi wenu wa UDINI. Mwalimu Nyerere alijenga Taifa la Tanzania siyo Dola ya Sharia wala Amri kumi za Mungu. Msiwaingize viongozi wakuu wa nchi au Serikali zetu ktk upuuzi wenu.[emoji120][emoji120][emoji120]
Zitto ni mmoja wapo wa vibaraka wa Rostam Azizi kama mlikuwa amjuiNi yeye, kwani ni member mwenzetu humu kama siyo yeye angekuja kunyoosha maelezo. Ila amechagua njia mbaya sana kufanya siasa hizi.
Haaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]namwona mmiliki wa CCM KWENYE ILO GARI BWANA ROSTAM .....
mbona unamsaidia kukanusha kwani yeye hana mdono?mbona kutwa anashinda humu ndani!tunaomjua zitto tumenyamaza na wasiomjua ndo wanapanua midomo.inawezekana pia JPM alikuwa muislamu!Iyo ni propaganda hata kama zitto simwelewi hawezi kusema uchafu huo acheni kusingizia watu
Zito Huwa ana akili kubwa mno lkn sipendi kuamini huu utopolo kausema ni mtu mwerevu anayechagua aseme nini unless amerukwa akili