Zitto: CHADEMA walifanya makosa haya ndiyo maana Lowassa akawakimbia, sisi hatutayafanya kwa Membe

Membe ni mtu mkubwa sana idarani na huko Act amekwenda kufanya kazi ya idara kwa uaminifu mkubwa

Zitto utakuja juta na chama chako chenye wanachama 6
Hilo ndiyo issue itaimaliza ACT maana haina base imara ya wanachama ili wahimili hayo mawimbi
 
Zitto hafai kabisa maana ubinafsi umemjaa na matokeo yake yupo tayari hata kuuza siri za washindani wenzake kwa maadui wa upinzani.
Thank you [emoji1431] [emoji1420][emoji1420][emoji1420] Huyo Zitto kaanza kuongea ujinga ujinga Chadema wamuangalie kwa umakini mkubwa sana.
 
Wakati cdm ndiyo wanazidi kuimarika wewe unauliza kitu gani bhana? Cdm kwa sasa ndiyo ugonjwa unawaumiza ccm
Nyani Ngabu,

Zitto anataka kuinua chama chake kwa gharama yoyote kwa madhila aliyowatendea Lowasa na wahamiaji wenzake huko Chadema sioni kwama Chadema watarudia tena.
 
Labda washirikiane na TLP, NCCR, NLD, na upuuzi mwingine siyo cdm
Kabisa kabisa mkuu,na sasa hivi kila wakiongea Membe/Zitto ni lazima waseme inabidi kusimamisha mgombea mmoja.

Naona wana agenda yao wale.
 
Hilo ndiyo jambo la msingi, Zitto hana wapiga kura wa kuifanya cdm iwapigie magoti wana ACT.

Cdm wakifanya huo ujinga ni afadhali watu tuwache siasa tukalime tu
Zitto anajua fika kwamba Bara Chadema ni more popular kuliko chama chake lakini anafanya juu chini kutaka Membe ndiye awe mgombea wa Upinzani. Chadema wasikubali upuuzi wake. Anataka kuweka mgombea mmoja basi ni Lissu tu na si Membe.
 
Ni haki yake kutaka chama chake kiwe juu lkn kwa cdm ni kubwa kuliko act ya Zitto
ZZK atakubalije Lissu awe mgombea urais vyama vya upinzani? Yeye anataka Membe lazima Chadema ionekane iko chini na ACT iko juuuu!!!!1
 
Labda atawapat wanachama wa kutoka mwandiga tu
Uko sawa kabisa ndiyo madhumuni yake hayo kuonyesha chama chake ni zaidi ya Chadema ili imsaidie pia kuongeza idadi ya wanachama.
 
Nyani Ngabu hakuanzisha haya maneno bali yametokea mdomoni mwa Zitto kabwe hapo hakuna cha kumtupia sifa au lawama mleta uzi.

Cdm haina haja ya kuungana na watu mamluki kama kina Zitto na kundi lake.
 
Hakuna mtu wa kuungana na ACT, Zitto ni state agent tunamjua fika.

Watanzania tunataka upinzani wa ukweli ili kutetea maslahi ya wananchi wetu
 
Act ni kikundi cha kufifisha upinzani hapa Tanzania, jaribuni kujiuliza namna ilivyo anzishwa na kipindi ilicho anzishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…