Zitto: Hata kesi ya Mbowe ni jumba bovu kwa awamu ya 6. IFUTWE!

Kweli wewe ni mtu wa Propaganda wa hali ya juu. Kila kitu unakibadili kwa faida yako.
 
Ama Mikwara ya EU imezaa matunda wanajinyofoa ki aina? Hiyo yani tanguliza kujisafisha ili wamtoe Mbowe kwamba alishikwa na awamu iliyopita tu baada ya kusema katiba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…