Amun Ra
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,713
- 7,218
Jiwe alikuwa mwizi sana
Jiwe Hakuwa Mwizi Jiwe Alikuwa Jambazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe alikuwa mwizi sana
Sukuma GANG wamebaki serikalini, wamemuanguashia jumba bovu. Anashituka kachelewa.kesi ilimshinda mwendazake baada ya kuona ushahidi ni fyongo hauko vzr, mama akalishwa matango akakubali na kuidanganya dunia kuwa mbowe ni gaidi
Free Freman
Afadhali mkuu umekuja na terminology sahihiJiwe Hakuwa Mwizi Jiwe Alikuwa Jambazi
Mahakama ya akina Jaji Tiganga ina uhuru gani wewe ng'o.mbe?Huyu mpuuzi anataka rais aingilie uhuru wa mahakama!
Matope yamemfika mabeganiMpuuuzi huyu si alisema hatokosoa kma awu ya 5 ssa ameanza kuchezesha akili yake samia mpe TEUZI
Yuko busy na CHADEMA digital.Tumeanza kujadiliwa kimataifa kwa mambo ya kipumbavu. Sababu ya chuki za kishenzi. Hivi Tanzania ya Mwalimu ni nchi ya kujadiliwa kuhusu demokrasia? Mh rais haoni hilo doa??
Alishauriwa mapema kwamba Jpm alikuwa na kundi la wahuni hakusikia. Sasa pressure zina mpanda mama wa watu. Bado Siro yuko ofisini????
Njozi nyingine wajameni!Zitto kazi kujipendekeza kwa mbowe wakati wenye chadema hawampendi wala kumtakia wema wowote kwenye safari yao kuipinga ccm.
Ukijua majukumu ya rais huwezi kuyasema hayo.Anaenda kulala chumba kingine,na uzuri,mazingira Yana mruhusu kulala hata mchana !!!!!
Ofisi ya DPP ipo kabla ya woteSamia aliteua DPP wake ndio akamshtaki Mbowe kwa hii kesi, sio DPP wa Magufuli (Biswalo Mganga)
Sasa ni jumba bovu kivipi wakati DPP ni wa Samia?
Hivi kuna mahali mama amesema awamu ya tano.
Msikilize hapaHivi kuna mahali mama amesema awamu ya tano.
lakini nayeye ni mwanamke, labda kaingia cha washua sasa!!Daa mama aliingia Cha kike yaani kwa hii kesi hasafishiki[emoji1]
Yalifanyika huko nyuma, elewa vizuri hiyo kauli ni tata haimaanishi awamu ya tano au nne au tatu.
Yalifanyika awamu ya tano. Madudu ya awamu ya 4 yalizikwa awamu ya tano. Hayaongelewi na wala hayapo.Yalifanyika huko nyuma, elewa vizuri hiyo kauli ni tata haimaanishi awamu ya tano au nne au tatu.
Tundu Lisu hajarudi ? Mbona Mbowe kapewa kesi ya ugadj katika awamu hii ya 6. Je awam hii ni kifisadi ?Mama bora aweke wazi tujue. Magu alikuwa fisadi mkubwa sana ndo maana aliwanyamazisha wapinzani na vyombo vya habari kwa risasi
Kumbe ufisadi mkubwa ulianzia awamu ya tano ya Bwana Chato[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2032651
Legasi inazidi kupopolewa
SHAKA Uje hapa utuambie sifa ulizomwaga Chama chako kinaMafisadi wengi kwankiasi kwamba mwenyekiti ameshtuka kuvuta shuka wakati kumekucha!Kweli wewe ni mtu wa Propaganda wa hali ya juu. Kila kitu unakibadili kwa faida yako.