Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Mpuuuzi huyu si alisema hatokosoa kma awu ya 5 ssa ameanza kuchezesha akili yake samia mpe TEUZI
Mpuuzi ni wewe usiyejua tofauti ya kushauri na kukosoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpuuuzi huyu si alisema hatokosoa kma awu ya 5 ssa ameanza kuchezesha akili yake samia mpe TEUZI
Ameshauri, hajakosoa.Uyu Si alishasema awamu Hii hatakosoa Kabisa.
Katokea shimo gani leo?
Wale Masheikh wa uamsho alipowatoa aliingilia mahakama?Huyu mpuuzi anataka rais aingilie uhuru wa mahakama!
Ukisikia "UCHOCHEZI" ndio huu Sasa.Zitto kazi kujipendekeza kwa mbowe wakati wenye chadema hawampendi wala kumtakia wema wowote kwenye safari yao kuipinga ccm.
Acha kulazimisha kuelewa, ni bora ukae kimya tu.Yalifanyika awamu ya tano. Madudu ya awamu ya 4 yalizikwa awamu ya tano. Hayaongelewi na wala hayapo.
Awamu yenye madudu ni ya tano. Jiwe & co walikuwa wezi
Hawa k**^#¥€~•€ ndio rais akiwasikiza watampoteza...
Mengine uko sahihi. Hiyo ya pacemaker sio kitu nyeti. Nibtaarifa za kawaida kimatibabu hata watoto wake ndugu na marafiki wanajua. Sio jambo la kushangazaHuyu mama yenu akija kushtuka ataelewa amezungukwa na wapambe waliojaa unafiki! huku wakimuaminisha maadui wake ni upinzani.
Jiwe alidhani maadui zake ni kina Mbowe ila kumbe waliomzunguka ndio walikua maadui zake wakuu..
Je mshawahi kujiuliza why yule jamaa aliweza kupata access ya medical sensitive medical information ya kuwa Jiwe ana pacemaker?
Chama kina wahuni wengi hadi Rais anataka kuliaSHAKA Uje hapa utuambie sifa ulizomwaga Chama chako kinaMafisadi wengi kwankiasi kwamba mwenyekiti ameshtuka kuvuta shuka wakati kumekucha!
Wahuni waliomwingiza Chaka Magufuli Mama kawashtukiaWatu wanashauriana mambo mabaya wakiwa watupu kama walivyokuja Duniani halafu wanaanza kulalamika.
Mbowe anapaswa kuachiwa huru,kuombwa msamaha na kulipwa fidia ya kudhalilishwa na kuchafuliwa jina na wana-ccm na serikali yao!
Hii kesi ni changamoto. Ukifuta wale watasema uliwabambikizia na wao wameshinda, usipofuta unazidi kuchafuka hasa kwa kauli zilizotolewa na wakubwa. Labda hukumu iwe fair, halafu unasema nchi yetu inaheshimu 'uhuru" wa Mahakama.
meseji sentiSukuma gang mpoo!
Majumba mabovu yoote Tuyalipue moto tu.
Wahuni leo mtalala na viatuHawa k**^#¥€~•€ ndio rais akiwasikiza watampoteza...
Kesi ya kubumba ya Mbowe inaivua nguo serikali na kwa kweli ni hujuma dhidi ya utawala wake. Kesi hii imewaudhi mno na inawakera watanzania wote, wapinzani na wana CCM na inamweka Rais Samia katika mizani sawa na Fashisti Magufuli. Ni kesi inayoharibu tashwira ya Mahakama, Polisi na Majaji. Hoja iliyowasilishwa karibuni katika Bunge la Ulaya ya kuiponda kesi hii imedhihirisha namna kesi ya kijinga hii inavyoligharimu Taifa! Naungana na Mh. Zitto kwamba Kesi hii ni jumba bovu inayolinufaisha na kulifurahisha genge la kihuni la Mwendazake. Kwa vyovyote vile haina maslahi kwa Taifa wala Utawala wa awamu ya Mama Suluhu.
Wakati huo yeye akiwa wapi?? Kinachokwenda kutokea ni Chama kukifia mikononi mwake. Mipango yote tayari imekwishakamilika. Yeye ahangaike na kina Mbowe maana ndio size yake.Kumbe ufisadi mkubwa ulianzia awamu ya tano ya Bwana Chato[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2032671
Serikali yake inatokana na ile yenye genge linaloangusha gari bovu. Hawezi kamwe kujitenga na genge hilo.KUANZA UPYA SI UJINGA .
Hivi hao ndondocha wanasikiaga? Labda siku zamu yao ikifika ndio watasikia...Mama amaenza kutambua ukweli kuwa kesi ya Mbowe ni jumba bovu wanataka adhalilike yeye.
Majaji wa Mwendakuzimu akina Siyani, Liganga na wenzake mmesikia hilo?
Hivi Magufuli kama kwl ndy aliyekuwa na visasi?Mama Hana kifua na nafasi kuhifadhi visasi na roho mbaya, tumsamehe na kumuombea alikuwa na mashinikizo makubwa wafuasi wa mwenda zake.