Afadhali sisi wahehe, wapangwa, wabena, wangoni, hatumo kwenye hiyo orodha. Tupatie basi uongozi ili tuwaongoze kwa ukweli, haki na upendo.Watu ambao kwa Tanzania hutakiwi kuwaamini saaana
1.Mwanasiasa
2.Watu wa Kigoma
3.Wachaga
4.Wasukuma
5.Wagogo
6.Wanyakyusa
7.Wahaya
8.Wasomi hasa Maprofesa na Madokta PhD
9.Wasanii hasa bongo Muvi
10.Wamakonde.
Hili lijamaa lina mi lodge karibu kila mkoa...Nyakoro lodge na ButiamaUtamlisha wewe [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] ,subiria
Saizi yuko juu ya sheria akitoka anakuwa underdog lazima awe mpole hana ving'ola nkHili lijamaa lina mi lodge karibu kila mkoa...Nyakoro lodge na Butiama
Fiksi zipi ?Kwani kifo hupiga hodi ?Mgonjwa kuendelea vizuri mara kifo kinamchukua. Hapo Uongo uko wapi ?Wewe ''mama'' ni fiksi kweli kweli. Wakati Magufuli anaugua ulitupiga fiksi mimi nikadhani ni mtu wake wa karibu kabisa.
Zitto ni mnafiki wa hali ya juu, mdini na mpigaji anayejali maslahi yake binafsi.Mambo ya wanasiasa wa Kiafrika yanatafakarisha sana. Zitto anayefahamika pia kama Ayatola kulingana na majukumu yake ya kimwinyi ACT Wazalendo amesema kuwa IGP amemdharirisha Mh Rais at kwa kile alichodai kukaidi amri iliyotolewa na Waziri wa afya daktari Doroth Gwajima. Kauli hiyo siyo kuwa inatuonyesha ni kwa namna gani Zitto Kabwe ni mnafika lakini pia inaonesha kabisa mtu huyu ni mbinafsi na mtu anayetumiwa na wanaccm wa msoga. Wakali wa uongozi (naweza kuuita pia utawala) wa Magufuli Zitto aliwahi kumuita Magufuli na washirika wake ni WASHAMBA na Malimbukeni. Maneno haya yalikuwa maneno makali na yenye kudharirisha mamlaka ya urais nchini lakini hakuna mtu aliyempelekea police kwa kauli yake hiyo. Je hatuoni kuwa ni dharau pia kwa Zitto kumtaka IGP Siro kumkamata mtanzania kisa tu katoa maoni yake binafsi?
THE LOST, lost and gone.
😂😂😂😂😂😂Watu ambao kwa Tanzania hutakiwi kuwaamini saaana
1.Mwanasiasa
2.Watu wa Kigoma
3.Wachaga
4.Wasukuma
5.Wagogo
6.Wanyakyusa
7.Wahaya
8.Wasomi hasa Maprofesa na Madokta PhD
9.Wasanii hasa bongo Muvi
10.Wamakonde.
Apende asipende ataondoka tu ni suala la mudaSaizi yuko juu ya sheria akitoka anakuwa underdog lazima awe mpole hana ving'ola nk
Hawezi kujihuzulu atafanya kazi gani huyo mzee?Ni kweli IGP amevunja sheria ya Public Health na amekaidi agizo la bosi wake. AJIUZULU AU RAIS AMFUKUZE.
Akina Lisu, Mbowe, Zitto na wengine mbona walikuwa wanakamatwa hovyo hovyo?Gwajima ni mbunge hawezi kamatwa bila kufuata taratibu
Ni aibu tupuApende asipende ataondoka tu ni suala la muda
Hiyo sio sababu, hata wapinzani ni wabunge na huwa wanakamatwa bila utaratibu.Gwajima ni mbunge hawezi kamatwa bila kufuata taratibu
Mjumbe hana hoja anafikiri wabunge ni wa ccm tuAkina Lisu, Mbowe, Zitto na wengine mbona walikuwa wanakamatwa hovyo hovyo?
Hahahaha, Makonda alipo akisoma mchango huu ana cheekaa, alovyomliza huyu mzee.Huyo IGP apokee amri kila kona,si lastly ataamrishwa hata na katibu kata,IGP mwendo ameuanza tunatakiwa tumsapot na aendelee kukataa amri zisizo halali hivyo hivyo hata kama ni za Rais,hopefully atarudisha imani ya jeshi la polisi KWA wananchi.
Mbona IGP alikuwa anatii hata amri za mwanaCCM wa chini kabisa? leo kwa nini anamgomea Waziri? au kwa vile ni mwanamke?Zitto amesema IGP Sirro anapaswa kujiuzulu maana amekataa kutii amri ya askari wa mwamvuli wa Rais Samia Suluhu kwa kukataa kumkamata Askofu Gwajima.
Na kwa kufanya hivyo Sirro amegoma kutii amri toka kwa Rais SSH.
Chanzo: StarTV medani za siasa.
Anatatizo kubwaMjumbe hana hoja anafikiri wabunge ni wa ccm tu