Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe avamiwa kwenye Uchaguzi mdogo Muhambwe

CCM kwishaaa!! hayo manguvu nguvu na Ubabe ndio the last kick hiyo

Zama za kulazimisha kupendwa kwa kutumia Mapolisi na Vyombo Vya Dola ndio zinaishia hizo
 
Umevamiwa,ukapiga na picha,ukatwit,ukapiga simu kwa ocd!aisee hao wavamizi wa miaka hii ni wa dizaini yake...
 
Mama alishatwambia yeye na dhalimu magufuli ni kitu kimoja, hivyo hakuna jipya. Mama mikono yake bado misafi lakini soon itajaa damu ya Watanzania wasio na hatia.
 
Wenye akili nyingi walimwonya huyu Fala kuwa "hawa CCM wamelaaniwa Kwenye wizi wa Kura" lkn alikaza shingo....
chadema sio wajinga mpaka wakatae kushiriki uchaguzi haramu
Zitto na CCM ni kitu kimoja ,anatengeneza kiki ili ionekane ameenda Kama mpinzani wa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…