Zitto Kabwe awa mbogo, awashukia vikali wanaodai Makamu wa Rais, Dkt. Mpango ni Mrundi

Huyo ni mrundi roho mbaya za wahutu na mzee wa demotion Bashiru mnyarwanda including the late
Ngoja tumsubiri mwenyewe aje aseme , lakini kwanini mnamtuhumu leo na si miaka iliyopita ?
Kwaiyo wewe ccm na mataga mnamtetea Mrundi sio do you forget how people tortured by The late
 
ninachokiona sasa hivi ni cheap politics.....em tuacheni ujinga tuangalie viongozi wetu wapya watafanya nini na tuwaombee wafanye vizuri.....haya mambo ya kuleta habari za unyarwanda na urundi sahizi nafikiri ni kukosa kazi ya kufanya.....afterall kama hamna cheti chake cha uraia wa burundi basi hamuwezi kudai cheti cha kuzaliwa cha tanzania..
 
Zitto Kabwe amejitokeza hadharani kutetea uraia wa Dr Mpango , Ameokota wapi hizo shutuma hadi azitetee hadharani ?
 
Ili kumridhisha nani???
I suppose wote tuki-traceback our ancestor's originality tunakua sio wakazi halali wa nchi hii.
Nisawa useme Red indians ndio wanatakiwa kushika uongozi wa US since they're native american.

Naelewa aina tatu za uraia kama anazo moja ya sifa hizo na anakidhi vigezo vya kuongoza basi There ain't any problem with that✌️
Lakini je toka anashika uongozi miaka yote hiyo hadi anakua waziri wa Fedha mbona hamku-Pull up his browsing history...?🙄
 
Ukishazoea kula nyama ya binadamu huwezi acha
Mlikua mnamnanga Magufuli sio Raia sasa mmekuja kwa Mpango
Yaaani mtu akishatoboa tu kimaisha wanafiki mpo nyuma yake
 
Nani kalalamika
 
Philip Isdor Zabayanga Mpango
Kumekucha Sasa Hivi
Vyeo Vina Mambo Yaani Hata Mate Hajameza Kwenye Kiti Chake Tayari!!!😣😏😣😏😏


Waha
 
Wala hatutofautiani na wewe , tuko pamoja kwenye hili
 
Uthibitisho wa wanaomtuhumu ni video clip moja yenye mashairi ya KIHA ambapo Dr. Mpango ameonekana akishiriki kucheza. Seems ilikuwa ni wakati wa campaign za Ubunge. Nothing more. Kama Waha ni Warundi basi Dr. Mpango ni Mrundi.

Hoja nyepesi...just!
 
Yaan watu huwa wanakosa vya kuzungumza,,makabila ya mipakani yanaingiliana sana kitamaduni na yaweza kuwa kabila ni moja hilohilo, waha na warundi wanaingiliana sana, Sawa na wajaluo au wamasai kwa Tz na kenya.

Kwa mtu wa Buhigwe pale mnanila unamtofautishaje na mtu wa pale Mabamba Burundi? Siku za masoko watu wanaenda fuata ndizi na kuku au maharage Burundi na jioni wanarudi Tz, Kiha na kirundi wao ndio wanaweza kujuana lakini mtu mwingine huwezi jua, ni Sawa na Wasukuma, Nyantuzu na Wanyamwezi,, Wahaya na watusi wa Rwanda na Uganda...Rwekaza ni jina liko pande zote watusi na Wahaya...Chuki hizi hazitusaidii kama jamii ya watanzania!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…