Lutandagula
JF-Expert Member
- Apr 8, 2018
- 1,762
- 2,154
Ndio maana yake!Kwa iyo bagamoyo port itakua kama durban maana hapo ndio centre ya meli nyingine kupokea mizigo na kusambaza huko duniani....
Hilo la kuuza nchi umeambiwa namwenda zake ikulu tu ndiyo wenye huo mkataba, kwanini usiwekwe wazi tu.Sawa mkuu lakini hata ingekuwa ya kwanza kuna faida gani kama tunauza nchi? Vitu vingine inabidi watu waangalia kwa mapana na marefu. BTW walishatishia siku nyingi kuwa hao wawekezaji wameshaondoka kujenga sehemu nyingine lakini nashangaa kumbe bado wanafukuzia. Hivi faida kwa nchi ingekuwa nzuri kihivyo Tanzania tangu Tanzania waanze kusuasua kuhusu huu mradi si ungekuta nchi nyingine zimeshawachukuwa? Kwani Tanzania ndiyo nchi pekee yenye bandari Afrika? Chema cahajiuza, kibaya chajitembeza. All in all uwekwe wazi huo mkataba kama wana nia njema. Tuwe makini tutajikuta siku sijazo tuna vikosi vya kupigania ardhi ya Tanzania iliyoporwa. Na wawekezaji wa mradi mkubwa kama huo hawaingii hivi hivi. Wanahakikisha watakuwa na uwezo wa ku-influence uchaguzi wa nchi husika ili asipatakine rais atakayewageuka. Anyways sioni wa kuuzuia tena huu mradi baada ya Magufuli kuondoka. Ndiyo maana unaona wameshajitokeza watu wanaopiga kelele mara hii.
Mkataba sidhani kama utawekwa wazi. Na sababu ni kuwa siyo rafiki kwa nchi yetu. Hapa natumia hisia na uzoefu wangu kwa viongozi wetu.Hilo la kuuza nchi umeambiwa namwenda zake ikulu tu ndiyo wenye huo mkataba, kwanini usiwekwe wazi tu.
Kumbuka aliyekwambia yaliyomo ndiye huyo huyo aliyekwambia ATCL inatengeneza faida. Sikatai alichosema huenda ni kweli lakini ingekuwa vizuri ukiwekwa wazi ukajadiliwa tukawa na uhakika kuliko kuambiwa tu.
Kwani waliutekeleza? Kama hawakuutekeleza na siyo rafiki kwanini usiwekwe wazi? Maana siyo mkataba wamambo jeshi waweke wazi tuone kaa kweli nchi ilitaka kuuzwa maana aliyeuoana akatwambia ndiyr pia alitwambia ATCL inatengeneza faida na gawio likaletwa, ni afadhali uwekwe wazi tuache kusikia sikia tu tuwe na hakika na yaliyomo.Mkataba sidhani kama utawekwa wazi. Na sababu ni kuwa siyo rafiki kwa nchi yetu. Hapa natumia hisia na uzoefu wangu kwa viongozi wetu.
Mwanasiasa ni mwanasiasa tuKwenye hii video, Magufuli mwenyewe anausifu mradi wa bandari bagamoyo, anasema nothing will change kwenye huu mradi, nashangaa alikuja kugeuka baadae.
View attachment 1751074
Hana lolote,maslahi tuKama Zitto Mchumi Mbobezi amesema hivyo mimi ni nani ngumbaru wa MATEJOO nikatae? JIWE alidanganywa.
Sijui kwa nini tu huyu jamaa huwa siamini ayasemayo....
Kwa hiyo hayo mameli makubwa tutayaona bagamoyo tu!! Zitto ovyo sana
Umemsikiliza au unamponda tu.Hana lolote,maslahi tu
Hilo pia kalisema kuwa Oman ambao walikuwa washiriki kwenye huo mradi sasa hivi wanajenga zanzibar hivyo hatuwezi tenakujenga hiyo bandari labda watafute jinsi gani bandari kama wakiamua kujega zitakavyoweza kushirikiana kufanya kazi kwa pamoja.MNAFIKI!
MUUNGANO WA TANZANIA NI PAMOJA NA ZANZIBAR. SASA ZANZIBAR WANAJENGA BANDARI AMBAYO ITAKIDHI MAHITAJI YA MELI KUBWA , SASA KUNA SABABU GANI YA KUNG'ANG'ANIA KUJENGA BAGAMOYO KAMA SIO UFISADI WA HIYO HONGO YA WACHINA? MUDA UKIFIKA KAMA ITAKUWA NI LAZIMA BANDALI INAWEZA KUJENGWA MWAMBANI NA SIO LAZIMA BAGAMOYO NA SIO IWE NA MKOPO KUTOKA CHINA!
Anajulikana sio mpk umsikilize.Umemsikiliza au unamponda tu.
Mind that watakuwa wameshawekewa advance kwenye account zao.Kumbukeni wa wakirishi wenu ni wabunge ambao kwa sasa ni 98% ni chama tawala.Na mpaka sasa wapo kimyaaaa!
Naona bandari inaenda kujengwa mtake msitake.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Inabidi ujiulize kwa nini na utafute majibu,Sijui kwa nini tu huyu jamaa huwa siamini ayasemayo....
Nadhan labda tatizo letu kubwa tunashindwa kujisimamia ktk mambo ya msingAfrica is always the victim, nothing is ever our fault. Yaani kila muwekezaji ni mbaya na anataka kutuibia.
Ni kijana aliyesoma uchumi lakini hajawahi kutumia elimu hiyo. Wakati anasema hayo lazima aelewe umuhimu Wa Durban ktk Afrika. Huwezi kuwa na matumaini ya muwekezaji eti meli kubwa zitakuja hapo Utadhani dunia nzima itatawaliwa na China. East Africa ina nchi 6 au saba ukiweka na visiwa vya Seychelles. Yaani Spain ilete bidhaa afrika ilazimike kuja Bagamoyo bila sababu wakati inapeleka bidhaa Durban! Wao wanataka kuiteka TZ na madini yake na ndo maana wanataka kukamata bandari zingine za TZ ziwe kwao.Kasema ni bandari iliyolenga kupokea mizigo toka kwenye meli kubwa zaidi halafu hizi meli tulizozoea zinachukua pale na kusambaza sehemu mbali mbali za Africa. Shida kasema mkataba hata wabunhe hawakuwahi kuuona hivyo zaidi ya kuambiwa sote tulichosikia wao kama wao hakuna aliyewahi kuona kilichomo. Hivyo kashauri bora uwekwe wazi ujadiliwe tujue kilichomo kuliko kuambiwa ambiwa tu
KC wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema kitu ambacho wabunge wengi hawakijui ni kwamba Bandari ya Bagamoyo itapokea mameli makubwa makubwa kutoka huko duniani ambazo hatujawahi kuziona hapa Tanzania
Kisha hizi meli tunazoziona zikileta mizigo Dar port ndio zitakuwa zinabeba miizigo kutoka Bagamoyo na kusambaza sehemu mbalimbali duniani amesisitiza Zitto
Tusiiache fursa hii jamani na siyo kweli kwamba kila mradi ulioanzishwa awamu ya Kikwete ulikuwa mbaya kwani hata reli ya SGR mradi uliasisiwa vizuri na serikali ya JK lakini serikali ya awamu ya tano imekuja kuutekeleza kwa namna tofauti, amemalizia Zitto.
Chanzo: Clouds 360
Ata mababu zetu waliletewa shanga zinazong'aa ambazo hawakuwahi kuziona Duniani na wakabadilishana na mapande ya almasi na Gold...by the way, hizo meli zitatoka Mars?! Au Bwana zitto anataka kutuambia yeye ndio katembea dunia hii kuliko Watanzania wote.? Politicians sometimes have to learn to respect other people from different walk of life..wasidhani wao ndio wanajua kila kitu.KC wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema kitu ambacho wabunge wengi hawakijui ni kwamba Bandari ya Bagamoyo itapokea mameli makubwa makubwa kutoka huko duniani ambazo hatujawahi kuziona hapa Tanzania
Kisha hizi meli tunazoziona zikileta mizigo Dar port ndio zitakuwa zinabeba miizigo kutoka Bagamoyo na kusambaza sehemu mbalimbali duniani amesisitiza Zitto
Tusiiache fursa hii jamani na siyo kweli kwamba kila mradi ulioanzishwa awamu ya Kikwete ulikuwa mbaya kwani hata reli ya SGR mradi uliasisiwa vizuri na serikali ya JK lakini serikali ya awamu ya tano imekuja kuutekeleza kwa namna tofauti, amemalizia Zitto.
Chanzo: Clouds 360
Hii tabia ya kushambulia watu bila kusikiliza hoja zao inashangaza. Hebu jaribu kuweka hisia zako pembeni kamsikilize halafu rudi uchangie.Anajulikana sio mpk umsikilize.
Kinyonga at work
Huo ndo ukweli. Hakuna muwekezaji anayekuja nchi nyingine bila manufaa yake kwanza, Ni muhimu atuoneshe manufaa yetu. Tafuta nchi gani ya Afrika imenufaika na wawekezaji wa nje.Africa is always the victim, nothing is ever our fault. Yaani kila muwekezaji ni mbaya na anataka kutuibia.