Zitto Kabwe: Bandari ya Bagamoyo itapokea mameli makubwa ambayo hamjawahi kuyaona, tusipoteze hii fursa jamani

Zitto Kabwe: Bandari ya Bagamoyo itapokea mameli makubwa ambayo hamjawahi kuyaona, tusipoteze hii fursa jamani

Inshu ni mameli makubwa ambayo hatujawahi kuyaona au tunahitaji mkataba upoje? Wekeni mkataba wazi tumalize mjadala vinginevyo hizo ni ngonjera tu ambazo hazina mwisho,hamna anayekataa kujengwa hiyo bandari ila tunaomba tujue yaliyomo ndani ya mkataba!
 
Sawa mkuu lakini hata ingekuwa ya kwanza kuna faida gani kama tunauza nchi? Vitu vingine inabidi watu waangalia kwa mapana na marefu. BTW walishatishia siku nyingi kuwa hao wawekezaji wameshaondoka kujenga sehemu nyingine lakini nashangaa kumbe bado wanafukuzia. Hivi faida kwa nchi ingekuwa nzuri kihivyo Tanzania tangu Tanzania waanze kusuasua kuhusu huu mradi si ungekuta nchi nyingine zimeshawachukuwa? Kwani Tanzania ndiyo nchi pekee yenye bandari Afrika? Chema cahajiuza, kibaya chajitembeza. All in all uwekwe wazi huo mkataba kama wana nia njema. Tuwe makini tutajikuta siku sijazo tuna vikosi vya kupigania ardhi ya Tanzania iliyoporwa. Na wawekezaji wa mradi mkubwa kama huo hawaingii hivi hivi. Wanahakikisha watakuwa na uwezo wa ku-influence uchaguzi wa nchi husika ili asipatakine rais atakayewageuka. Anyways sioni wa kuuzuia tena huu mradi baada ya Magufuli kuondoka. Ndiyo maana unaona wameshajitokeza watu wanaopiga kelele mara hii.
Hilo la kuuza nchi umeambiwa namwenda zake ikulu tu ndiyo wenye huo mkataba, kwanini usiwekwe wazi tu.
Kumbuka aliyekwambia yaliyomo ndiye huyo huyo aliyekwambia ATCL inatengeneza faida. Sikatai alichosema huenda ni kweli lakini ingekuwa vizuri ukiwekwa wazi ukajadiliwa tukawa na uhakika kuliko kuambiwa tu.
 
Hilo la kuuza nchi umeambiwa namwenda zake ikulu tu ndiyo wenye huo mkataba, kwanini usiwekwe wazi tu.
Kumbuka aliyekwambia yaliyomo ndiye huyo huyo aliyekwambia ATCL inatengeneza faida. Sikatai alichosema huenda ni kweli lakini ingekuwa vizuri ukiwekwa wazi ukajadiliwa tukawa na uhakika kuliko kuambiwa tu.
Mkataba sidhani kama utawekwa wazi. Na sababu ni kuwa siyo rafiki kwa nchi yetu. Hapa natumia hisia na uzoefu wangu kwa viongozi wetu.
 
Kwenye hii video hapa chini, Magufuli mwenyewe anausifu mradi wa bandari bagamoyo, anasema nothing will change kwenye huu mradi, nashangaa alikuja kugeuka baadae.

 
Mkataba sidhani kama utawekwa wazi. Na sababu ni kuwa siyo rafiki kwa nchi yetu. Hapa natumia hisia na uzoefu wangu kwa viongozi wetu.
Kwani waliutekeleza? Kama hawakuutekeleza na siyo rafiki kwanini usiwekwe wazi? Maana siyo mkataba wamambo jeshi waweke wazi tuone kaa kweli nchi ilitaka kuuzwa maana aliyeuoana akatwambia ndiyr pia alitwambia ATCL inatengeneza faida na gawio likaletwa, ni afadhali uwekwe wazi tuache kusikia sikia tu tuwe na hakika na yaliyomo.
Yeye Zitto kasema kwakuwa hajui yaliyomo yeye aliona tu presentation, kama wale walikuwa na terms mbaya tunaweza tafuta washirika wengine au serikali ikajenga yenyewe ila anachelea kwa ukubwa wa bandari ile serikali haiwezi kuijenga bila usadizi.
Mimi ningependa wasifanye move bila kuweka mkataba wazi kama alivyosema zitto.
 
Sijui kwa nini tu huyu jamaa huwa siamini ayasemayo....

MNAFIKI!
Kwa hiyo hayo mameli makubwa tutayaona bagamoyo tu!! Zitto ovyo sana

MUUNGANO WA TANZANIA NI PAMOJA NA ZANZIBAR. SASA ZANZIBAR WANAJENGA BANDARI AMBAYO ITAKIDHI MAHITAJI YA MELI KUBWA , SASA KUNA SABABU GANI YA KUNG'ANG'ANIA KUJENGA BAGAMOYO KAMA SIO UFISADI WA HIYO HONGO YA WACHINA? MUDA UKIFIKA KAMA ITAKUWA NI LAZIMA BANDALI INAWEZA KUJENGWA MWAMBANI NA SIO LAZIMA BAGAMOYO NA SIO IWE NA MKOPO KUTOKA CHINA!
 
MNAFIKI!


MUUNGANO WA TANZANIA NI PAMOJA NA ZANZIBAR. SASA ZANZIBAR WANAJENGA BANDARI AMBAYO ITAKIDHI MAHITAJI YA MELI KUBWA , SASA KUNA SABABU GANI YA KUNG'ANG'ANIA KUJENGA BAGAMOYO KAMA SIO UFISADI WA HIYO HONGO YA WACHINA? MUDA UKIFIKA KAMA ITAKUWA NI LAZIMA BANDALI INAWEZA KUJENGWA MWAMBANI NA SIO LAZIMA BAGAMOYO NA SIO IWE NA MKOPO KUTOKA CHINA!
Hilo pia kalisema kuwa Oman ambao walikuwa washiriki kwenye huo mradi sasa hivi wanajenga zanzibar hivyo hatuwezi tenakujenga hiyo bandari labda watafute jinsi gani bandari kama wakiamua kujega zitakavyoweza kushirikiana kufanya kazi kwa pamoja.
Mnaomponda hamkumsikiliza laiti mngesikiliza msingekuwa mnamponda hapa.
 
Kasema ni bandari iliyolenga kupokea mizigo toka kwenye meli kubwa zaidi halafu hizi meli tulizozoea zinachukua pale na kusambaza sehemu mbali mbali za Africa. Shida kasema mkataba hata wabunhe hawakuwahi kuuona hivyo zaidi ya kuambiwa sote tulichosikia wao kama wao hakuna aliyewahi kuona kilichomo. Hivyo kashauri bora uwekwe wazi ujadiliwe tujue kilichomo kuliko kuambiwa ambiwa tu
Ni kijana aliyesoma uchumi lakini hajawahi kutumia elimu hiyo. Wakati anasema hayo lazima aelewe umuhimu Wa Durban ktk Afrika. Huwezi kuwa na matumaini ya muwekezaji eti meli kubwa zitakuja hapo Utadhani dunia nzima itatawaliwa na China. East Africa ina nchi 6 au saba ukiweka na visiwa vya Seychelles. Yaani Spain ilete bidhaa afrika ilazimike kuja Bagamoyo bila sababu wakati inapeleka bidhaa Durban! Wao wanataka kuiteka TZ na madini yake na ndo maana wanataka kukamata bandari zingine za TZ ziwe kwao.
 
Ndio maana siku zote huwa nasema Uchumi sio proffesion kama engineering, sheria etc.

Sijawahi kuta mchumi anaye ongea mambo ya maana zaidi ya porojo.[emoji1]
KC wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema kitu ambacho wabunge wengi hawakijui ni kwamba Bandari ya Bagamoyo itapokea mameli makubwa makubwa kutoka huko duniani ambazo hatujawahi kuziona hapa Tanzania

Kisha hizi meli tunazoziona zikileta mizigo Dar port ndio zitakuwa zinabeba miizigo kutoka Bagamoyo na kusambaza sehemu mbalimbali duniani amesisitiza Zitto

Tusiiache fursa hii jamani na siyo kweli kwamba kila mradi ulioanzishwa awamu ya Kikwete ulikuwa mbaya kwani hata reli ya SGR mradi uliasisiwa vizuri na serikali ya JK lakini serikali ya awamu ya tano imekuja kuutekeleza kwa namna tofauti, amemalizia Zitto.

Chanzo: Clouds 360
 
KC wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema kitu ambacho wabunge wengi hawakijui ni kwamba Bandari ya Bagamoyo itapokea mameli makubwa makubwa kutoka huko duniani ambazo hatujawahi kuziona hapa Tanzania

Kisha hizi meli tunazoziona zikileta mizigo Dar port ndio zitakuwa zinabeba miizigo kutoka Bagamoyo na kusambaza sehemu mbalimbali duniani amesisitiza Zitto

Tusiiache fursa hii jamani na siyo kweli kwamba kila mradi ulioanzishwa awamu ya Kikwete ulikuwa mbaya kwani hata reli ya SGR mradi uliasisiwa vizuri na serikali ya JK lakini serikali ya awamu ya tano imekuja kuutekeleza kwa namna tofauti, amemalizia Zitto.

Chanzo: Clouds 360
Ata mababu zetu waliletewa shanga zinazong'aa ambazo hawakuwahi kuziona Duniani na wakabadilishana na mapande ya almasi na Gold...by the way, hizo meli zitatoka Mars?! Au Bwana zitto anataka kutuambia yeye ndio katembea dunia hii kuliko Watanzania wote.? Politicians sometimes have to learn to respect other people from different walk of life..wasidhani wao ndio wanajua kila kitu.
 
Anajulikana sio mpk umsikilize.
Kinyonga at work
Hii tabia ya kushambulia watu bila kusikiliza hoja zao inashangaza. Hebu jaribu kuweka hisia zako pembeni kamsikilize halafu rudi uchangie.
Katoa maelezo mazuri sana.
1. Katwambia walichoona wao na wabunge wengine ni presentation ya hiyo bandari.
2. Ile haikuwa bandari ya kawaida kama iliyokuwepo bali ililenga kupokea meli kubwa sana zishushe mizigo halafu meli hizi tulizozoea ziichukue na kuisambaza afrika na kwingineko.
3. Ingemaliza ingekuwa bandari ya 3 kwa ukunwa duniani
4. Hata bunge halikuwahi kuona mkataba wake ni ikulu tu waliyouona hivyo hata wao hawajui kilichomo zaidi ya kusikia kutoka kwa mwendazake, hivyo ingekuwa bora ungewekwa wazi ili watu wauchambua tujue yaliyomo.
5. Bandari ilikuwa ijengwe kwa ushirikiano wa Tanzania, China na Oman
6. Raisi Mwinyi ashawawahi waomna watajenga bandari zanzibar, hivyo anaona hakuna tena umuhimu wa kujenga bandari ya bagamoyo unless iwepo plan ya hiz bandari kushirikiana maana sisi ni nchi moja.
Sasa wapi alipokosea?
 
Africa is always the victim, nothing is ever our fault. Yaani kila muwekezaji ni mbaya na anataka kutuibia.
Huo ndo ukweli. Hakuna muwekezaji anayekuja nchi nyingine bila manufaa yake kwanza, Ni muhimu atuoneshe manufaa yetu. Tafuta nchi gani ya Afrika imenufaika na wawekezaji wa nje.

Elewa pia tabia ya weupe, tangu waarabu nenda kwa wazungu. Popote walipo huamini hatuko kwenye kiwango kimoja cha ubinadamu. Kwa Asia ndo kabisaaa! Sasa usiwe na matumaini kwamba unazungumza nao wakikupa thamani kama wewe unavyowapa.
 
Back
Top Bottom