Dah lakini shujaa alikuwa anajipambanu kuwa ni mtu wa ibada sana.Sidhani kama ni kweli alikuwa ana chuki kiaso hicho
CV yako kama huto jali mkuu ili tuipime na ya zitto tujue ni nani takataka kati yenu??
Upo sahihi. Hakuna sababu ya kujaribu kumchafua.
Kuna umuhimu wa kuwa makini unapomuongelea kiongozi wa juu wa nchi kwa mabaya yasiyo sahihi.
JAMHURI inalinda wastaafu wake hata wakiwa kaburini. Tusijisahahu.
We jamaa unamuamini Zito na Mbatia? Hao ni Futuhi wa kisiasa.Zitto ni mnafiki na opportunist ..haya maneno yametoka katika mdomo wake.Ndiyo maana alifukuzwa Chadema.View attachment 1982415
Naona timu Mizoga imepanga ratiba ya kumchafua Magufuli.Kumbe ndio mambo wanazidi kuyafanya magumu upande wao.Zitto mwenyewe usoni ana fungus za kutosha.Serikali wenyewe wanafurahia magufuri kuchaguliwa kwani wanaopanga hizo ratiba za kuchafua ni wapiga dill akiwemi zito huku SSS AKIFUTAHIA KUMWAGIWA SIFA.LAKINI YA MUNGU.MENGI..HUENDA UACHAFU WANAOMRUSBIA MWENDAZAKE UKAWARUKIA WAO
Halafu Zitto ana CV gani?CV ya uchawi sawa.Heheheheeeee cv zinapimwaje vile?? Kwa idadi ya madarasa na makaratasi? Uwezo wa watu kwenye mambo yanayofanana? Ubora wa mtu katika mienendo na tabia? Au aje🙄
mama D tulikubaliana tumehamia team Samia, sasa mbona unarudi Misri tena? Keshaoza!!!
Halafu Zitto ana CV gani?CV ya uchawi sawa.
Heheheheeeee cv zinapimwaje vile?? Kwa idadi ya madarasa na makaratasi? Uwezo wa watu kwenye mambo yanayofanana? Ubora wa mtu katika mienendo na tabia? Au aje[emoji849]
Tunaweza kupima kuanzia popote mkuu hamna shida
Wewe naweeeee[emoji849][emoji849]
Samia ni nani na misri ni nini?
Kwa hiyo leo wewe ndio umemjua Samia? Miaka mitano iliyopita Samia kwako hakua kitu eeeh?
Samia ni zao bora kabisa la chama chake na serikali zilizopita. Acha kuchonganisha wananchi na Rais wao
JPM ameshakufa kutimiza ibada ya Mwenyezi Mungu kama ambavyo wote tutamiza, mlipaswa kupambana naye akiwa hai..hizi kelele dhidi yake akiwa ameshalala hazina maana zaidi ya kuwaanika mlivyo waoga tu..
Hakunaga mlinganisho wa popote duniani
Labda unataka kutunga habari[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimesema Kuna umuhimu wa kuwa makini unapomuongelea kiongozi wa juu wa nchi kwa mabaya yasiyo sahihi. MABAYA YASIYO SAHIHI.Kuongea ukweli wake ni kumchafua? Kwahiyo hiyo Uganda nao walinde habari za Iddy Amin? Utende ukatili kisha ukweli ukiwekwa wazi ujifanye unazuia ukweli huo kuwekwa wazi. Ungemahauri ukatili haulipi.
Lini ukaanza kuwa mtetezi wa chadema??Zitto ni mwizi wa kisasa, nakumbuka enzi za akina Slaa Zitto alisumbua sana chadema, mpaka akina Slaa wakawa wanamkaimisha ofisi Myika, Mpaka akina Kikwete wakamsaidia kumfungulia chama ili kuigawanya chadema.Baati mzuri Magufuri alivyoingia tu madarakani alikuwa anajua mamluki wote, hivo mamluki wote aliwasagia kunguni,nandio chanzo cha Zitto kuanza chuki na Magufuri.Zitto ni tapeli wa siasa tu,yeye kuuza mechi ili mkono uende kinywani haoni asara
Umeamua kukaza
Sawa mama la mamaWewe naweeeee🙄🙄
Samia ni nani na misri ni nini?
Kwa hiyo leo wewe ndio umemjua Samia? Miaka mitano iliyopita Samia kwako hakua kitu eeeh?
Samia ni zao bora kabisa la chama chake na serikali zilizopita. Acha kuchonganisha wananchi na Rais wao