Zitto Kabwe: Kuomba maridhiano kwa Rais Magufuli ni kujipendekeza na unafiki

mbna yeye, siku ya ufunguzi wa bunge, alibaki ndani huku CDM wakitoka nje, hakuona ajabu, au akili zake hazikuwepo kipindi hicho?
Ndio maana alionekana mtu waajabu na mjinga, lakini wale waliotoka nao wanafanya yale ambayo tulikuwa tunayaona yakijinga, kwa nini nao tusiwaone hawana tofauti na Zitto ya ukasuku tu?.

Labda niulize tu Chadema wanaomba maridhiano ya nini?.

Waruhusiwe na Magufuli kufanya mikutano ya siasa?.

Wawaruhusu Wananchi kutambua viongozi wa serikali za mitaa?.

Maridhiano hayaombwi.
 
Haya tumekusikia kuhusu zitto! Turudi kwa Mhe Jiwe unaijua asili yake? Ukipata muda njoo kakonko uulizie mama biga , ! Mshkaji kachunga mbuzi saaana hapo kakonko!
 
hawa watu hawajielewi, wanajidai kutaka jino kwa jino sijui kama wanajua maana ya huo msemo... wakiambiwa waingie barabarani tu shida!. hiyo jino kwa jino waitakayo sijui ya aina gani!
 
Hoja nyepesi sana. Kwamba yupo hivyo kisa baba ni mkongo na mama ni mrundi?
Sio nyepesi kihivyo kwa Zitto mwenyewe. Kama tuhuma hizi ni kweli na ikathibitika hakuzaliwa Tanzania, ndoto yake ya kugombea Urais wa Tanzania inaweza isifanikiwe.
 
Penye kutafutwa maridhiano basi ujue kunawatu wameumia au kufa kabisa, pale ambapo watu wachini hasa walalahoi hawaumizwi moja kwa moja nawatawala basi utambue hakuna haja ya maridhiano.
 
Zitto hajawahi kupita majaribu wanayopitia CHADEMA, hajawahi kuwa na kesi kama wenzie! Jiulizeni anaongea mangapi na kwanini yeye hachukuliwi hatua! Zitto sio mtu kwa kuaminika kabisa la na shetani peke yake!
Mbowe hakujikomba alimpa raisi ukweli mtupu, na uliwaingia wote waliosikiliza! kwendaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Tumia akili yako katika siasa usitumie siasa katika akili yako
 
Mbowe anataka maridhiano yapi wakati Tanzania kuna amani na utulivu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…