Zitto Kabwe: Kuomba maridhiano kwa Rais Magufuli ni kujipendekeza na unafiki

Zitto Kabwe: Kuomba maridhiano kwa Rais Magufuli ni kujipendekeza na unafiki

Walichofanya cdm jana, nawaza angekifanya Zitto ingekuwaje?.

Walichofanya Cdm jana ndio alikuwa anakifanya Zitto nyakati za Kikwete akaitwa mnafiki, leo nisahihi kabisa Zitto kuwaita wanafiki Chadema maana waliyokuwa wanamtuhumu nayo, ndio wameanza kuyafanya.

Kamwe mwenye nguvu haombwi maridhiano, bali mwenye nguvu ndio huomba maridhiano pindi anapoona nguvu zake zinataka kupunguzwa na wafuasi wavyama vingine.

Chadema jana mmejidhalilisha na naamini JPM hatawapa nafasi ya maridhiano bali atawananga kwenye mikutano yake ijayo.

Inawezekana mlikuwa na lengo zuri, lkn sikwawakati huu baada yakususia uchanguzi wa vitongoji na vijiji.

Labda niulize tu Chadema wanaomba maridhiano ya nini?.

Waruhusiwe na Magufuli kufanya mikutano ya siasa?.

Wawaruhusu Wananchi kutambua viongozi wa serikali za mitaa?.

Mtu mnamtuhumu kawaua ndugu zenu kina Mawazo,Ben Saanane,kawapiga risasi ndugu zenu,kawafunga viongozi wenu,na anawambia mjaribu hata kumwaga mkojo muone chamtema kuni.

Mnamtuhumu ananunua viongozi wenu,mliomba viongozi wa dini wawaombee maridhiano lakin aliwapuuza leo mnaenda hadharani kuomba maridhiano.

Kipindi nyie mnataka kuacha siasa za kiharakati mrudi kwenye siasa za Zitto kabwe, mnaemuomba msamaha yeye anafanya siasa za kiharakati bila kujali nyie mtamuonaje.

Maridhiano hayaombwi bali yataletwa na mawazo Kama ya ukuta ukuta.


Yetu waungwana macho, tunasubir tuone itakuwaje, muda huwa mwalimu mzuri.




Zitto alikuwa na siasa za hivyo, za kukaa chini, AKATUKANWA NA KUITWA MAJINA YOTE, na hata bungeni zitto alimtambua JPM

CDM imeumizwa sana, mno, na imepotea na haina hata kiongozi mmoja wa serikali za mitaa. Mbowe kaona kabisa anapotea na chama chake na kaona the best way ni kuomba PO!!! bila kusahau anakiuza chama mchana kweupe mara ya pili

1. angeomba audience na rais alipokatza mikutano ya siasa; HAKUFANYA
2. Angeomba maridhiano baada ya yeye kuwekwa ndani na kesi hizi za akina akwilina, HAKUFANYA
3.Angeomba maridhiano kabla ya uchaguzi wa serikali za Mitaa , ambao ndio wa muhimu sana kuliko hata ubunge anaoutaka; HAKUFANYA

Watu wake akiwemo Lema, sugu,mdee, wamkuwa wakimtukana rais matusi ya aibu ya nguoni!!!! hivi anataka maridhiano gani?? wakati wao ndio hawana heshima na since day one walimkataa JPM???


Siasa za urafiki tulizihimiza sana, na Mbowe alipaswa kuwaziba midomo watu wake wasimtukane rais. RAIS katukanwa sana kipindi hiki kuliko nyakati zozote za maisha ya nchi hii


Maridhiano HAYAPO, kinachotokea CHADEMA inajizika kabisa, na hata wale wafuasi wanaojilewa SIDHANI kama wana nguvu

maria sarungu, fatuma karume, maaskofu wale wa kuandika vi article kigogo, etc. wanajuta hii leo

Before that tuliona akina mwanakijiji ambao walikuwa wanaipenda chadema kwa dhati wakibadioi ideology zao kwa CDM kumleta fisadi Lowassa, na kuwaacha watu kama akina SLAA...Ambaye alikuwa ICON ya upinzani


CDM haina baba, haina mama, haina uongozi, haina nguvu tena, maana imepoteza kila kitu. Kinachobakia ni Mbowe kuteuliwa kuwa balozi wa Tanzania, FINLAND, Lema kuwa board member wa chama cha pareto, na SUGU ubunge wake anajua hatapata yeye, atapangiwa majukumu mengine


NILIJUA KABISA KWA UELEWA WA SIASA ZA TANZANIA, issue ya kudeal na Magufuli ingefanyika kuanzia mwanzo kabisa bila kukata tamaa au kutulia....hapo katikataki kuna damage zimefanyika na hasa chadema ndio wameumiza watu na wamemuumiza rais, WATATAKIWA KUOMBA MSAMAHA KWA MATUSI NA DHARAU ZA WAZI, ikfika hatua hii ndio mtakumbuka maneno ya zitto

JPM, uzuri wake habadiliki, anapiga kazi, na kanyoosha mstari, haangalii jumuia za kimataifa wala za kinanilii

wale waliohama CDM kwenye CCM, walitukanwa pia............
 
Jicho la mbali,
Kinachowasumbua Chadema ni kesi ,
Wakijifanya wanapambana na jiwe jino kwa jino
Watakwenda kweli segedensa
Kuna mtu mkubwa kawashauri wajitafakari na kisha waungane na jiwe, katika kujenga nchi
Na jiwe atawaonea huruma na
kesi yao itafutwa kimya kimya..
Mtoto wa mjini ukiona maji mazito unatafuta chocholo..

uzuri wa JPM ni hapo tu, KANYOOOOOKA mno!!

mpaka raha
 
Nahisi hapa kuna mtu kapigwa chenga ya mwili. Gia imebadilishiwa angan
😄😄
I hope this time haita gharimu ustawi wa chama
 
Aliyeombwa maridhiano anajali hilo?
Watu wameamua kufunika sura zao kuliangalia usoni tatizo lenyewe na kiini chake. Yaani hapa upande mmoja una uoga wa kutosha na upande mwingine una mabavu ya kutosha. Kwa maoni yangu neno maridhiano linatumika kimakosa, bora litumike neno "huruma." Halafu unaweza kukuta watu wenyewe wanaoonekana kutetewa wameridhika na mfumo wa chama kimoja (cheki ukimya wa watu baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa).
Mimi nabaki kuwahurumia tu wa-Tz, wakipata nafasi ya kufanya ubabe wanajua kuitumia hasa (haya ya wanasiasa yanasikika zaidi kwa sababu microphones na majukwaa ndiyo maisha yao). Mtu akishakuwa kwenye kitengo chake basi mnaohitaji huduma zake mtakoma.
 
Nikiwa jirani wa Zitto Kabwe hapa Mwandiga Kigoma mahali alipozaliwa sijashangaa kabisa kuona upuuzi anaouandika huyu bwana mdogo kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo jana ambapo ameshinda siku nzima anaibeza siku ya Watanzania kuadhimisha miaka 58 ya yangu Uhuru.

Hili suala naona kama halitiliwi mkazo inavyopaswa lakini ukweli ni kuwa Zitto hana asili ya Tanzania. Baba yake aliyekuwa Dereva wa Taxi ni mzaliwa wa DRC [emoji1078] na Mama yake ni Mzaliwa wa Burundi [emoji1060].

Kwa hiyo Zitto sio mtu anayeguswa na Tanzania na ndio maana kila kitu kizuri kwa nchi hii yeye hupinga na amekuwa akiendesha harakati za kuichua Tanzania ndani ya nchi na kimataifa.

Jana kashupalia kumshambulia Mbowe kwa kuhudhuria sherehe za Uhuru kule Mwanza, sasa mjiulize kuna ubaya gani kwa viongozi wa vyama vya upinzani kuhudhuria sherehe za uhuru? Kwa sababu zile sio sherehe za CCM ni sherehe za nchi.

Ndio maana viongozi wetu wote walikuwepo Rais, Makamu wa Rais, Rais wa Zanzibar, Waziri Mkuu, Makamu wa Pili wa Zanzibar, Maspika wote hadi wastaafu, Majaji wakuu na Marais Wastaafu wote ispokuwa Rais Mstaafu Kikwete ambaye sote tunajua yupo Marekani kwa majukumu muhimu ya kimataifa.

Mawaziri na Wabunge wenzake walikuwepo, Mabalozi wa nchi mbalimbali, viongozi wa dini nakadhalika.

Kwa tunaomjua na ajenda zake haki hii haiwezi kumpendeza hata kidogo, na mimi nimeamua leo niuseme huu ukweli ili Watanzania mjue.

Mnamuona anavyopambana kupinga miradi mikubwa ya maendeleo, yaani Zitto anatamani Watanzania wakose umeme, kwa hiyo anauchukia kabisa mradi wa bwawa la Nyerere utakaozalisha megawati 2,115 za umeme, anasikia raha kuona watu wanavyohangaika kusafiri kwa treni na ndege na hivyo hapendi kabisa kuona reli inajengwa na ndege zinanunuliwa, hapendi kuona vituo vya afya na hospitali zinajengwa, anafurahishwa kuona Watanzania wanakosa dawa hospitali, wanakosa mahali pa kupata matibabu na hivyo wanakufa. Anachukia kabisa kusikia Tanzania inapata mikopo nafuu kwa ajili ya kuwajengea wananchi miradi ya barabara, maji nakadhalika, na ndio maana anawatisha wananchi kuwa deni la Taifa kubwa mno wakati Wataalamu wa uchumi wanasema ni deni stahimilivu na fedha zinakopwa kwa mambo ya msingi kwa wananchi.

Kwake yeye Zitto taarifa za kuwa uchumi wa Tanzania ni mzuri hazifai, anashupalia shingo na kusikia raha kuwaaminisha Watanzania kuwa hali ya uchumi ni mbaya sana na yupo tayari kupika takwimu za kuonesha uchumi umezorota ili kuwatisha wawekezaji wasije kujenga viwanda na watanzania wakapata ajira na nchi ikapata kodi.

Na mengine mengi, naifahamu vizuri familia ya Zitto. Nashangaa kwa nini mmoja wa viongozi wa Kigoma ambaye baada ya Mama yake kukosa maziwa alipelekwa kunyonya kwa Mama yake Zitto hasemi ukweli huu kuwa huyu dogo hawezi kuguswa na mazuri ya Tanzania.

Zitto Kabwe pengine anaweza kufurahia uhuru wa DRC alikotoka Baba yake au Burundi alikotoka Mama yake. Na kama Watanzania mmesahau alipokuwa Chuo Kikuu Zitto alishaitwa mara kadhaa na Idara ya Uhamiaji kuhojiwa kuhusu uraia wake, kwa tunaofahamu hapa ndio palikuwa pa kupata ukweli wote na kama idara yetu ya uhamiaji ingekuwa shapu ingeumwaga ukweli huu ili Watanzania wajue.

Ndio maana kwa sisi majirani zake hapa Mwandiga hatushangai kuona jinsi anavyotumiwa na wazungu kuivuruga Tanzania, wazungu wanafanya hivyo kwa Zitto kwa sababu wanajua michezo hiyo hiyo ndio wanayoifanya DRC na Burundi ambako hakujatulia miaka na miaka na kila uchao ni mauaji tu. Wanatamani waivuruge Tanzania ili waje kuvuna rasilimali zetu kama wanavyovuna madini kule DRC.

Nampongeza Rais Magufuli na serikali yake kwa jinsi alivyombana Zitto, endelea hivyo hivyo na mwakani iwe ndio mwisho wa huyu mtoto mpuuzi. Alizoea huko tulikotoka walikuwa wanamkweza na kumfanya aonekane wa maana wakati ni kibaraka mkubwa na mtu asiyetakia mema Tanzania. Ni mpinzani asiye na faida kwa nchi. Muda wote anawaza machafuko tu.

Mbowe kazungumza maridhiano yeye anaona Mbowe kakosea, anataka fujo? Anataka vita? Hapo sasa watanzania ndio mnaweza kupata picha ya aina ya mtu huyu. Anachukizwa sana na hali ya amani ya Tanzania kwa sababu anajua hiyo ndio silaha kubwa inayomkwamisha.

Nawasihi watanzania wenzangu mpuuzeni, tujenge nchi yetu, wakati ni huu na kwa bahati nzuri tumepata Serikali ambayo inamwelekeo wa kututoa katika lindi la umasikini, ufukara na uombaomba. Tushike hapo hapo.

Mwananchi wa Mwandiga
Kigoma
Disemba 10, 2019
A TV
 
Yeye ana haki yake kikatiba kutoa mawazo yake
Zitto Kabwe amewashutumu viongozi wa upinzani walioenda kwenye sherehe za uhuru, Mwanza na kupanda jukwaani kuomba maridhiano ya kisiasa kwa Rais Magufuli.

Ametoa shutuma hizo kupitia mitandao ya kijamii akidai walichofanya ni kujipendekeza kwa Rais ili waachiwe nafasi chache za ubunge mwaka 2020 huku wakiwaacha njia panda wanachama wa vyama vyao waliowaambia wajitoe kwenye chaguzi za serikali za mitaa.

Zitto ameenda mbali zaidi na kudai kinachohitajika kwa sasa Tanzania Bara ni siasa kali kama zilizofanywa na wapinzani huko Zanzibar mwaka 2001 ambako kulipelekea CCM kutaka maridhiano (ametumia neno kuomba poo).

Amemaliza kwa kusema, maridhiano hayaombwi bali yanadaiwa.

====
Hoja za wadau
 
Umesahau kuwa yupo na mzee wa jino kwa jino?
Siasa za Tanzania zinakwenda kwa kasi kweli!

Zitto wa leo anawashutumu viongozi wa CHADEMA kuwa ni wanafiki na wanajipendekeza!

Zitto wa leo yuko tayari kwa mapambano ya ''jino kwa jino'' kuhakikisha serikali ya awamu ya tano inaondoka madarakani!

Rhetoric politics with empty actions!

Tembea Tanzania uone mengi katika siasa!
 
Kama ulivysema kuwa Zitto ni mzee wa kujipendekeza pale apatapo nafasi
Zitto kapanic kwa lile walilofanya CHADEMA jana, kashtukizwa hakutegemea, anatamani ile nafasi ingekuwa yake kwa tabia zake za ki_opportunist, toka jana ni twitter, insta habanduki huko, eti leo Zitto anataka siasa za mapambano anawafundisha CHADEMA!, wonders shall never end, wakati ule anaenda kukutana na JK watu wanamuuliza kulikoni anasema JK ni sawa na babake, vipi leo Magufuli sio sawa na babake pia?!
 
Mkuu mbona siku zote ulikuwa huja usema huu ukweli kuhusu chimbuko la Zitto Kabwe?
Nikiwa jirani wa Zitto Kabwe hapa Mwandiga Kigoma mahali alipozaliwa sijashangaa kabisa kuona upuuzi anaouandika huyu bwana mdogo kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo jana ambapo ameshinda siku nzima anaibeza siku ya Watanzania kuadhimisha miaka 58 ya yangu Uhuru.

Hili suala naona kama halitiliwi mkazo inavyopaswa lakini ukweli ni kuwa Zitto hana asili ya Tanzania. Baba yake aliyekuwa Dereva wa Taxi ni mzaliwa wa DRC [emoji1078] na Mama yake ni Mzaliwa wa Burundi [emoji1060].

Kwa hiyo Zitto sio mtu anayeguswa na Tanzania na ndio maana kila kitu kizuri kwa nchi hii yeye hupinga na amekuwa akiendesha harakati za kuichua Tanzania ndani ya nchi na kimataifa.

Jana kashupalia kumshambulia Mbowe kwa kuhudhuria sherehe za Uhuru kule Mwanza, sasa mjiulize kuna ubaya gani kwa viongozi wa vyama vya upinzani kuhudhuria sherehe za uhuru? Kwa sababu zile sio sherehe za CCM ni sherehe za nchi.

Ndio maana viongozi wetu wote walikuwepo Rais, Makamu wa Rais, Rais wa Zanzibar, Waziri Mkuu, Makamu wa Pili wa Zanzibar, Maspika wote hadi wastaafu, Majaji wakuu na Marais Wastaafu wote ispokuwa Rais Mstaafu Kikwete ambaye sote tunajua yupo Marekani kwa majukumu muhimu ya kimataifa.

Mawaziri na Wabunge wenzake walikuwepo, Mabalozi wa nchi mbalimbali, viongozi wa dini nakadhalika.

Kwa tunaomjua na ajenda zake haki hii haiwezi kumpendeza hata kidogo, na mimi nimeamua leo niuseme huu ukweli ili Watanzania mjue.

Mnamuona anavyopambana kupinga miradi mikubwa ya maendeleo, yaani Zitto anatamani Watanzania wakose umeme, kwa hiyo anauchukia kabisa mradi wa bwawa la Nyerere utakaozalisha megawati 2,115 za umeme, anasikia raha kuona watu wanavyohangaika kusafiri kwa treni na ndege na hivyo hapendi kabisa kuona reli inajengwa na ndege zinanunuliwa, hapendi kuona vituo vya afya na hospitali zinajengwa, anafurahishwa kuona Watanzania wanakosa dawa hospitali, wanakosa mahali pa kupata matibabu na hivyo wanakufa. Anachukia kabisa kusikia Tanzania inapata mikopo nafuu kwa ajili ya kuwajengea wananchi miradi ya barabara, maji nakadhalika, na ndio maana anawatisha wananchi kuwa deni la Taifa kubwa mno wakati Wataalamu wa uchumi wanasema ni deni stahimilivu na fedha zinakopwa kwa mambo ya msingi kwa wananchi.

Kwake yeye Zitto taarifa za kuwa uchumi wa Tanzania ni mzuri hazifai, anashupalia shingo na kusikia raha kuwaaminisha Watanzania kuwa hali ya uchumi ni mbaya sana na yupo tayari kupika takwimu za kuonesha uchumi umezorota ili kuwatisha wawekezaji wasije kujenga viwanda na watanzania wakapata ajira na nchi ikapata kodi.

Na mengine mengi, naifahamu vizuri familia ya Zitto. Nashangaa kwa nini mmoja wa viongozi wa Kigoma ambaye baada ya Mama yake kukosa maziwa alipelekwa kunyonya kwa Mama yake Zitto hasemi ukweli huu kuwa huyu dogo hawezi kuguswa na mazuri ya Tanzania.

Zitto Kabwe pengine anaweza kufurahia uhuru wa DRC alikotoka Baba yake au Burundi alikotoka Mama yake. Na kama Watanzania mmesahau alipokuwa Chuo Kikuu Zitto alishaitwa mara kadhaa na Idara ya Uhamiaji kuhojiwa kuhusu uraia wake, kwa tunaofahamu hapa ndio palikuwa pa kupata ukweli wote na kama idara yetu ya uhamiaji ingekuwa shapu ingeumwaga ukweli huu ili Watanzania wajue.

Ndio maana kwa sisi majirani zake hapa Mwandiga hatushangai kuona jinsi anavyotumiwa na wazungu kuivuruga Tanzania, wazungu wanafanya hivyo kwa Zitto kwa sababu wanajua michezo hiyo hiyo ndio wanayoifanya DRC na Burundi ambako hakujatulia miaka na miaka na kila uchao ni mauaji tu. Wanatamani waivuruge Tanzania ili waje kuvuna rasilimali zetu kama wanavyovuna madini kule DRC.

Nampongeza Rais Magufuli na serikali yake kwa jinsi alivyombana Zitto, endelea hivyo hivyo na mwakani iwe ndio mwisho wa huyu mtoto mpuuzi. Alizoea huko tulikotoka walikuwa wanamkweza na kumfanya aonekane wa maana wakati ni kibaraka mkubwa na mtu asiyetakia mema Tanzania. Ni mpinzani asiye na faida kwa nchi. Muda wote anawaza machafuko tu.

Mbowe kazungumza maridhiano yeye anaona Mbowe kakosea, anataka fujo? Anataka vita? Hapo sasa watanzania ndio mnaweza kupata picha ya aina ya mtu huyu. Anachukizwa sana na hali ya amani ya Tanzania kwa sababu anajua hiyo ndio silaha kubwa inayomkwamisha.

Nawasihi watanzania wenzangu mpuuzeni, tujenge nchi yetu, wakati ni huu na kwa bahati nzuri tumepata Serikali ambayo inamwelekeo wa kututoa katika lindi la umasikini, ufukara na uombaomba. Tushike hapo hapo.

Mwananchi wa Mwandiga
Kigoma
Disemba 10, 2019
 
CC:mcubic
CC:Mwekundu
CC:MOTOCHINI
Nikiwa jirani wa Zitto Kabwe hapa Mwandiga Kigoma mahali alipozaliwa sijashangaa kabisa kuona upuuzi anaouandika huyu bwana mdogo kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo jana ambapo ameshinda siku nzima anaibeza siku ya Watanzania kuadhimisha miaka 58 ya yangu Uhuru.

Hili suala naona kama halitiliwi mkazo inavyopaswa lakini ukweli ni kuwa Zitto hana asili ya Tanzania. Baba yake aliyekuwa Dereva wa Taxi ni mzaliwa wa DRC [emoji1078] na Mama yake ni Mzaliwa wa Burundi [emoji1060].

Kwa hiyo Zitto sio mtu anayeguswa na Tanzania na ndio maana kila kitu kizuri kwa nchi hii yeye hupinga na amekuwa akiendesha harakati za kuichua Tanzania ndani ya nchi na kimataifa.

Jana kashupalia kumshambulia Mbowe kwa kuhudhuria sherehe za Uhuru kule Mwanza, sasa mjiulize kuna ubaya gani kwa viongozi wa vyama vya upinzani kuhudhuria sherehe za uhuru? Kwa sababu zile sio sherehe za CCM ni sherehe za nchi.

Ndio maana viongozi wetu wote walikuwepo Rais, Makamu wa Rais, Rais wa Zanzibar, Waziri Mkuu, Makamu wa Pili wa Zanzibar, Maspika wote hadi wastaafu, Majaji wakuu na Marais Wastaafu wote ispokuwa Rais Mstaafu Kikwete ambaye sote tunajua yupo Marekani kwa majukumu muhimu ya kimataifa.

Mawaziri na Wabunge wenzake walikuwepo, Mabalozi wa nchi mbalimbali, viongozi wa dini nakadhalika.

Kwa tunaomjua na ajenda zake haki hii haiwezi kumpendeza hata kidogo, na mimi nimeamua leo niuseme huu ukweli ili Watanzania mjue.

Mnamuona anavyopambana kupinga miradi mikubwa ya maendeleo, yaani Zitto anatamani Watanzania wakose umeme, kwa hiyo anauchukia kabisa mradi wa bwawa la Nyerere utakaozalisha megawati 2,115 za umeme, anasikia raha kuona watu wanavyohangaika kusafiri kwa treni na ndege na hivyo hapendi kabisa kuona reli inajengwa na ndege zinanunuliwa, hapendi kuona vituo vya afya na hospitali zinajengwa, anafurahishwa kuona Watanzania wanakosa dawa hospitali, wanakosa mahali pa kupata matibabu na hivyo wanakufa. Anachukia kabisa kusikia Tanzania inapata mikopo nafuu kwa ajili ya kuwajengea wananchi miradi ya barabara, maji nakadhalika, na ndio maana anawatisha wananchi kuwa deni la Taifa kubwa mno wakati Wataalamu wa uchumi wanasema ni deni stahimilivu na fedha zinakopwa kwa mambo ya msingi kwa wananchi.

Kwake yeye Zitto taarifa za kuwa uchumi wa Tanzania ni mzuri hazifai, anashupalia shingo na kusikia raha kuwaaminisha Watanzania kuwa hali ya uchumi ni mbaya sana na yupo tayari kupika takwimu za kuonesha uchumi umezorota ili kuwatisha wawekezaji wasije kujenga viwanda na watanzania wakapata ajira na nchi ikapata kodi.

Na mengine mengi, naifahamu vizuri familia ya Zitto. Nashangaa kwa nini mmoja wa viongozi wa Kigoma ambaye baada ya Mama yake kukosa maziwa alipelekwa kunyonya kwa Mama yake Zitto hasemi ukweli huu kuwa huyu dogo hawezi kuguswa na mazuri ya Tanzania.

Zitto Kabwe pengine anaweza kufurahia uhuru wa DRC alikotoka Baba yake au Burundi alikotoka Mama yake. Na kama Watanzania mmesahau alipokuwa Chuo Kikuu Zitto alishaitwa mara kadhaa na Idara ya Uhamiaji kuhojiwa kuhusu uraia wake, kwa tunaofahamu hapa ndio palikuwa pa kupata ukweli wote na kama idara yetu ya uhamiaji ingekuwa shapu ingeumwaga ukweli huu ili Watanzania wajue.

Ndio maana kwa sisi majirani zake hapa Mwandiga hatushangai kuona jinsi anavyotumiwa na wazungu kuivuruga Tanzania, wazungu wanafanya hivyo kwa Zitto kwa sababu wanajua michezo hiyo hiyo ndio wanayoifanya DRC na Burundi ambako hakujatulia miaka na miaka na kila uchao ni mauaji tu. Wanatamani waivuruge Tanzania ili waje kuvuna rasilimali zetu kama wanavyovuna madini kule DRC.

Nampongeza Rais Magufuli na serikali yake kwa jinsi alivyombana Zitto, endelea hivyo hivyo na mwakani iwe ndio mwisho wa huyu mtoto mpuuzi. Alizoea huko tulikotoka walikuwa wanamkweza na kumfanya aonekane wa maana wakati ni kibaraka mkubwa na mtu asiyetakia mema Tanzania. Ni mpinzani asiye na faida kwa nchi. Muda wote anawaza machafuko tu.

Mbowe kazungumza maridhiano yeye anaona Mbowe kakosea, anataka fujo? Anataka vita? Hapo sasa watanzania ndio mnaweza kupata picha ya aina ya mtu huyu. Anachukizwa sana na hali ya amani ya Tanzania kwa sababu anajua hiyo ndio silaha kubwa inayomkwamisha.

Nawasihi watanzania wenzangu mpuuzeni, tujenge nchi yetu, wakati ni huu na kwa bahati nzuri tumepata Serikali ambayo inamwelekeo wa kututoa katika lindi la umasikini, ufukara na uombaomba. Tushike hapo hapo.

Mwananchi wa Mwandiga
Kigoma
Disemba 10, 2019
 
Toa uahauri wako basi wangefanyaje?
Mimi mwenyewe moyo wangu umesononeka na kuumia Sana wakati naona Magufuli hayuko tayari kuona upinzani nchini.
Magufuli ameua,amefunga wapinzani,amepoteza watu na kujeruhi wapinzani kwa Risasi Leo CDM kirahisi wanasema wanataka maridhiano na CCM hapo wameingizwa chaka,umehalilisha utawala unaokandamiza haki za watanzania.
 
Zitto kapanic kwa lile walilofanya CHADEMA jana, kashtukizwa hakutegemea, anatamani ile nafasi ingekuwa yake kwa tabia zake za ki_opportunist, toka jana ni twitter, insta habanduki huko, eti leo Zitto anataka siasa za mapambano anawafundisha CHADEMA!, wonders shall never end, wakati ule anaenda kukutana na JK watu wanamuuliza kulikoni anasema JK ni sawa na babake, vipi leo Magufuli sio sawa na babake pia?!
JK alifatwa HATA na CHADEMA wakanywa na juice ikulu na JK alifungua milango kwa kila Mtanzania
 
Aisee umempa za uso Hadi nimefurahi.
CDM YA SASA HAINA JIPYA INADANDIA MATUKIO TU

KWA HALI YA SASA ILITAKIWA CHADEMA YA 2007 MPAKA 2015
OVA PENGO LA SLAA LITAWATESA MAISHA YOTE

CHADEMA BADO HAIJAJIPAMBANUA KWANZA KM CHAMA CHA SIASA AU CHAMA CHA KIHARAKATI HAKIELEWEKI KIMEBAKIZA KINA MDUDE WAROPOKAJI NA WABABAISHAJI KM NYERERE ATI NDIO AKILI KUBWAS HAHAA
 
Nikiwa jirani wa Zitto Kabwe hapa Mwandiga Kigoma mahali alipozaliwa sijashangaa kabisa kuona upuuzi anaouandika huyu bwana mdogo kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo jana ambapo ameshinda siku nzima anaibeza siku ya Watanzania kuadhimisha miaka 58 ya yangu Uhuru.

Hili suala naona kama halitiliwi mkazo inavyopaswa lakini ukweli ni kuwa Zitto hana asili ya Tanzania. Baba yake aliyekuwa Dereva wa Taxi ni mzaliwa wa DRC [emoji1078] na Mama yake ni Mzaliwa wa Burundi [emoji1060].

Kwa hiyo Zitto sio mtu anayeguswa na Tanzania na ndio maana kila kitu kizuri kwa nchi hii yeye hupinga na amekuwa akiendesha harakati za kuichua Tanzania ndani ya nchi na kimataifa.

Jana kashupalia kumshambulia Mbowe kwa kuhudhuria sherehe za Uhuru kule Mwanza, sasa mjiulize kuna ubaya gani kwa viongozi wa vyama vya upinzani kuhudhuria sherehe za uhuru? Kwa sababu zile sio sherehe za CCM ni sherehe za nchi.

Ndio maana viongozi wetu wote walikuwepo Rais, Makamu wa Rais, Rais wa Zanzibar, Waziri Mkuu, Makamu wa Pili wa Zanzibar, Maspika wote hadi wastaafu, Majaji wakuu na Marais Wastaafu wote ispokuwa Rais Mstaafu Kikwete ambaye sote tunajua yupo Marekani kwa majukumu muhimu ya kimataifa.

Mawaziri na Wabunge wenzake walikuwepo, Mabalozi wa nchi mbalimbali, viongozi wa dini nakadhalika.

Kwa tunaomjua na ajenda zake haki hii haiwezi kumpendeza hata kidogo, na mimi nimeamua leo niuseme huu ukweli ili Watanzania mjue.

Mnamuona anavyopambana kupinga miradi mikubwa ya maendeleo, yaani Zitto anatamani Watanzania wakose umeme, kwa hiyo anauchukia kabisa mradi wa bwawa la Nyerere utakaozalisha megawati 2,115 za umeme, anasikia raha kuona watu wanavyohangaika kusafiri kwa treni na ndege na hivyo hapendi kabisa kuona reli inajengwa na ndege zinanunuliwa, hapendi kuona vituo vya afya na hospitali zinajengwa, anafurahishwa kuona Watanzania wanakosa dawa hospitali, wanakosa mahali pa kupata matibabu na hivyo wanakufa. Anachukia kabisa kusikia Tanzania inapata mikopo nafuu kwa ajili ya kuwajengea wananchi miradi ya barabara, maji nakadhalika, na ndio maana anawatisha wananchi kuwa deni la Taifa kubwa mno wakati Wataalamu wa uchumi wanasema ni deni stahimilivu na fedha zinakopwa kwa mambo ya msingi kwa wananchi.

Kwake yeye Zitto taarifa za kuwa uchumi wa Tanzania ni mzuri hazifai, anashupalia shingo na kusikia raha kuwaaminisha Watanzania kuwa hali ya uchumi ni mbaya sana na yupo tayari kupika takwimu za kuonesha uchumi umezorota ili kuwatisha wawekezaji wasije kujenga viwanda na watanzania wakapata ajira na nchi ikapata kodi.

Na mengine mengi, naifahamu vizuri familia ya Zitto. Nashangaa kwa nini mmoja wa viongozi wa Kigoma ambaye baada ya Mama yake kukosa maziwa alipelekwa kunyonya kwa Mama yake Zitto hasemi ukweli huu kuwa huyu dogo hawezi kuguswa na mazuri ya Tanzania.

Zitto Kabwe pengine anaweza kufurahia uhuru wa DRC alikotoka Baba yake au Burundi alikotoka Mama yake. Na kama Watanzania mmesahau alipokuwa Chuo Kikuu Zitto alishaitwa mara kadhaa na Idara ya Uhamiaji kuhojiwa kuhusu uraia wake, kwa tunaofahamu hapa ndio palikuwa pa kupata ukweli wote na kama idara yetu ya uhamiaji ingekuwa shapu ingeumwaga ukweli huu ili Watanzania wajue.

Ndio maana kwa sisi majirani zake hapa Mwandiga hatushangai kuona jinsi anavyotumiwa na wazungu kuivuruga Tanzania, wazungu wanafanya hivyo kwa Zitto kwa sababu wanajua michezo hiyo hiyo ndio wanayoifanya DRC na Burundi ambako hakujatulia miaka na miaka na kila uchao ni mauaji tu. Wanatamani waivuruge Tanzania ili waje kuvuna rasilimali zetu kama wanavyovuna madini kule DRC.

Nampongeza Rais Magufuli na serikali yake kwa jinsi alivyombana Zitto, endelea hivyo hivyo na mwakani iwe ndio mwisho wa huyu mtoto mpuuzi. Alizoea huko tulikotoka walikuwa wanamkweza na kumfanya aonekane wa maana wakati ni kibaraka mkubwa na mtu asiyetakia mema Tanzania. Ni mpinzani asiye na faida kwa nchi. Muda wote anawaza machafuko tu.

Mbowe kazungumza maridhiano yeye anaona Mbowe kakosea, anataka fujo? Anataka vita? Hapo sasa watanzania ndio mnaweza kupata picha ya aina ya mtu huyu. Anachukizwa sana na hali ya amani ya Tanzania kwa sababu anajua hiyo ndio silaha kubwa inayomkwamisha.

Nawasihi watanzania wenzangu mpuuzeni, tujenge nchi yetu, wakati ni huu na kwa bahati nzuri tumepata Serikali ambayo inamwelekeo wa kututoa katika lindi la umasikini, ufukara na uombaomba. Tushike hapo hapo.

Mwananchi wa Mwandiga
Kigoma
Disemba 10, 2019
Tanzania ipi yenye uchumi upi huu huu unaokua kwa 5% HAHAA unajitekenya tukatae tukubali VIONGOZ wa kitaifa wa CHADEMA wamewakosea wanachama wao hata Jaffo alisema Sasa hivi wao wanajiandalia mazingira ya 2020 Hilo halina ubishi sure na si CCM Wala CDM ambao malengo yao ni kumkomboa mwananchi mnyonge Bali hao wote wanalengo la kushika madaraka tu bila kuleta tija kwa JAMII ndio MAANA wapo tayari hata kufanya ubadhirifu rejea speech ya BM juu ya Yale mapesa yalotumika 2005
 
Back
Top Bottom