Zitto Kabwe: Mahakama imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa Assad kama CAG

Halafu huu mwisho wa mwaka ZZK ataorodhesha vitabu 60 alivyosoma!

Kama utashi alionao ni wa msoma vitabu,je asingekuwa anasoma angekuwa kwenye hali gani?
 
Mh Zitto bana mbona anatufanya watoto? Kama alivunja katiba alivunja kwa utaratibu gani? Mbona JK alisha tuhusia kuhusu power ya Rais na kile kitatukuta pindi akija kiongozi atatumia hiyo power cc wenzake wakamuita dhaifu akasema powa akawaletea chuma wote mkaingia mvunguni haya leo unatuletea sarakasi embu tujibu kama alivunja je Kuna chombo cha kumzuiwia au jus uliza why alifanya hivyo? Hakuna so what ?
 
Udikiteta wake umesaidia,hii Urusi tunayoina Leo ni sababu yake Kuna Nchi kionhozi asipokiwa dikiteta utasutukia unatawaliwa na USA na wewe unakuwa kama kivuli.
 
Wewe dada kubutuliwa kwako na Magufuli usituletee sisi hasira hapa
 

kwani skendo ipi bado hamjaitoa kabatini[emoji28][emoji28][emoji28]

ipo siku mtasema aliwabaka.
 
Hongera sana.Je prof atalipwa mahela yake?
 
Mahakama Imara
Bunge Huru
Polisi Huru
Tume huru ya Uchaguzi
Wizara zilizoundwa kwa mujibu wa Katiba
Taasisi huru za Ujasusi
Haki
Hapo inahitajika ishuke miujiza ili hayo yote yaweze kutokea.
 
Kwaiyo ili la Zitto, Zitto alikuwa na maslahi? Kwani Katiba si inataka Spika akijiuzulu Barua awasilishe Bungeni? Barua alipeleka wapi? Si ikikoandikiwa ikakopiwa sign yake!View attachment 2437118
Uwanja uko wazi kafungue kesi kupinga hilo. Kila mmoja ana respond kwa namna alivyo athirika na maamuzi. Sitegemei mtu mwenye akili timamu anaweza kutokeza kujitolea kufungua kesi kumtetea Ndugai kutokana na rekodi yake chafu akiwa Spika wa Binge. Kwanza alikubali kutumika na Dikteta wa Chato ku rubber stamp maamuzi ya Ikulu. Pili alidhalilisha wabunge na kujiona ni kama mungu mtu.

Hata hili tatizo la wabunge 19 wa "CHADEMA" yeye ndiye aliyewaapisha gereji. Unaanzaje kumtetea Ndugai hata kama ameonewa? The end justifies the means.
 
HOVYO HOVYO HOVYO HOVYO

😉 udini unamsumbua sana zito na asad wake,maza....ntaz
 
kwani skendo ipi bado hamjaitoa kabatini[emoji28][emoji28][emoji28]

ipo siku mtasema aliwabaka.
Pengine wapo waliyobakwa ila utakuta anaishia kusema tu Bwana yule alikuwa shetani ila hasemi alichofanywa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…