Zitto Kabwe: Mahakama imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa Assad kama CAG

Zitto Kabwe: Mahakama imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa Assad kama CAG

Uwanja uko wazi kafungue kesi kupinga hilo. Kila mmoja ana respond kwa namna alivyo athirika na maamuzi. Sitegemei mtu mwenye akili timamu anaweza kutokeza kujitolea kufungua kesi kumtetea Ndugai kutokana na rekodi yake chafu akiwa Spika wa Binge. Kwanza alikubali kutumika na Dikteta wa Chato ku rubber stamp maamuzi ya Ikulu. Pili alidhalilisha wabunge na kujiona ni kama mungu mtu.

Hata hili tatizo la wabunge 19 wa "CHADEMA" yeye ndiye aliyewaapisha gereji. Unaanzaje kumtetea Ndugai hata kama ameonewa? The end justifies the means.

Kunywa kinywaji chochote nitalipa bro. Ulichoandika kimenisisimua.
 
Ameandika Zitto katika ukurasa wake wa Twitter

Nimefarijika kuwa leo tarehe 05/12/2022 Mahakama Kuu katika shauri la Zitto Zuberi Kabwe vs. Mwanasheria Mkuu na wenzie na 8/2020 mbele ya jopo la majaji 3 Masoud, Masabo na Kakolaki imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa J. Assad kama CAG.

View attachment 2436886
Mbona wamesubiri afe ndiyo wakatoa hukumu?
 
Uwanja uko wazi kafungue kesi kupinga hilo. Kila mmoja ana respond kwa namna alivyo athirika na maamuzi. Sitegemei mtu mwenye akili timamu anaweza kutokeza kujitolea kufungua kesi kumtetea Ndugai kutokana na rekodi yake chafu akiwa Spika wa Binge. Kwanza alikubali kutumika na Dikteta wa Chato ku rubber stamp maamuzi ya Ikulu. Pili alidhalilisha wabunge na kujiona ni kama mungu mtu.

Hata hili tatizo la wabunge 19 wa "CHADEMA" yeye ndiye aliyewaapisha gereji. Unaanzaje kumtetea Ndugai hata kama ameonewa? The end justifies the means.
Screenshot_2022-12-05-22-32-29-01_73617a28b0d3e7e6a04848a88f233e6b.jpg
 
Ndugu kila kitu sio udini, tukiwa hivyo mbona tujiharibia utu wetu.

Je, tunaweza sema Marehemu Magufuli alimuondoa Assad kwa sababu ya dini yake?

Hapana Magufuli alimuondoa Assad kwa sababu maono yao yalitafautiana sana.
Ni kweli usemalo ila kwa baadhi ya vitu hata ufumbe macho bado unaoziona chembe chembe za udini.
We jiulize sa kimfarijishacho ni kipi hapo
 
Hoja yako ni ipi hapa?
Hoja yangu ni kwamba kuna katiba yenye manufaa kwa watawala, kuna katiba yenye maslahi kwa wanasiasa, na kuna katiba yenye maslahi kwa wananchi na maendeleo ya nchi yao kiuchumi na kisiasa.
 
Ameandika Zitto katika ukurasa wake wa Twitter

Nimefarijika kuwa leo tarehe 05/12/2022 Mahakama Kuu katika shauri la Zitto Zuberi Kabwe vs. Mwanasheria Mkuu na wenzie na 8/2020 mbele ya jopo la majaji 3 Masoud, Masabo na Kakolaki imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa J. Assad kama CAG.

View attachment 2436886
Mahakama ya Tanzania imetangaza kumuondoa aliyekuwa mkaguzi mkuu wa serikali (CAG) Prof Mussa Assad na Magufuli kama KINYUME CHA KATIBA *Lakini mahakama inakataa kutangaza uteuzi wa CAG Charles Kichere kama kinyume cha katiba * Mahakama pia inakataa kumrejesha Assad kama CAG mkuu
 
Hii aibu aibebe Job Yustino Ndugai; alikuwa chanzo cha yoote !
20221206_090814.jpg
 
Ndugu kila kitu sio udini, tukiwa hivyo mbona tujiharibia utu wetu.

Je, tunaweza sema Marehemu Magufuli alimuondoa Assad kwa sababu ya dini yake?

Hapana Magufuli alimuondoa Assad kwa sababu maono yao yalitafautiana sana.
Niwatu wajinga sana ndio hununua airliner kwa cash.....
 
Ameandika Zitto katika ukurasa wake wa Twitter

Nimefarijika kuwa leo tarehe 05/12/2022 Mahakama Kuu katika shauri la Zitto Zuberi Kabwe vs. Mwanasheria Mkuu na wenzie na 8/2020 mbele ya jopo la majaji 3 Masoud, Masabo na Kakolaki imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa J. Assad kama CAG.

View attachment 2436886
Ina maana kwa uamuzi huu Assad atarejeshwa ofisini au ?....

je bunge la spika Ndugai lililokataa kumpa ushirikiano lilivunja katiba ?...

Najiuliza iwapo Magufuli (Rip) angelikuwepo mpaka Sasa, mahakama ingeweza kutoa hukumu ya namna hii ?.....huenda uhuru wa huu muhimili bado sio kamilii..
Pascal Mayalla JokaKuu Nguruvi3 Mag3 zitto junior Tindo
 
Mbona wamesubiri afe ndiyo wakatoa hukumu?
Mahakama imekosea. Sheria inasema hivi:

CAG ATATEULIWA NA RAIS KWA KIPINDI CHA MIAKA MITANO ISIPOKUWA ANAWEZA KUONGEZEWA TENA KIPINDI KISICHOZIDI MIAKA MITANO.

Professor Asad aliteuliwa kwa miaka 5, hakuteuliwa tena, hivi ndiyo sheria inavyosema. Si lazima ateuliwe TENA.

Kanuni waliyotumia ni ile ya kusema CAG hawezi kuondolewa madarakani, yaani katika mkataba wake wa miaka 5 (ambao alimaliza) au katika muhula wa pili KISICHOZIDI miaka 5 (ambayo hakupewa). Majaji wamejimisdirect.

Kuna pia IFRS na ISA, sheria na miiko ya Wahasibu (CAG ni Mhasibu, lazima awe CPA chini ya NBAA). Sheria zinasema auditor hawezi kufanya mfululizo kwa miaka 3 unless SHAREHOLDERS wakubali. Kwa hiyo Asad hii ilimbana pia. Huu ni utaratibu katika nchi zote Jumuia ya Madola.

Majaji Watukufu walitakiwa waombe AMICUS CURIA, Mhasibu awape huu ufafanuzi sasa sijui kama aliutwa. Kwa ujumla kesi hii imekaa zaidi kisiasa na kishabiki. Ili kutoweka precedent, AG na NBAA wanatakiwa wakate rufaa.

Asad hakufukuzwa, muda wake uliisha. Ile kulitukana Bunge alilofanya Marekani ni aibu udhaigu binafsi. Kwa kawaida angeshughulikiwa na NBAA Supika angelalamika (lakini ilikuwa ni haki yake Kikatiba kukataa kutukanwa), lakini halihusiani na hii kesi.
 
Back
Top Bottom