Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Mtu wa matusi unekuja na tusi lako lilelile. EbdeleaWewe dada kubutuliwa kwako na Magufuli usituletee sisi hasira hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu wa matusi unekuja na tusi lako lilelile. EbdeleaWewe dada kubutuliwa kwako na Magufuli usituletee sisi hasira hapa
Uwanja uko wazi kafungue kesi kupinga hilo. Kila mmoja ana respond kwa namna alivyo athirika na maamuzi. Sitegemei mtu mwenye akili timamu anaweza kutokeza kujitolea kufungua kesi kumtetea Ndugai kutokana na rekodi yake chafu akiwa Spika wa Binge. Kwanza alikubali kutumika na Dikteta wa Chato ku rubber stamp maamuzi ya Ikulu. Pili alidhalilisha wabunge na kujiona ni kama mungu mtu.
Hata hili tatizo la wabunge 19 wa "CHADEMA" yeye ndiye aliyewaapisha gereji. Unaanzaje kumtetea Ndugai hata kama ameonewa? The end justifies the means.
Katiba ya wananchi.Machafuko tu ndio yatatupa katiba ya wananchi na sio ya watawala.
Mbona wamesubiri afe ndiyo wakatoa hukumu?Ameandika Zitto katika ukurasa wake wa Twitter
Nimefarijika kuwa leo tarehe 05/12/2022 Mahakama Kuu katika shauri la Zitto Zuberi Kabwe vs. Mwanasheria Mkuu na wenzie na 8/2020 mbele ya jopo la majaji 3 Masoud, Masabo na Kakolaki imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa J. Assad kama CAG.
View attachment 2436886
Katiba ya wananchi.
Katiba ya watawala.
Na katiba ya wanasiasa.
Uwanja uko wazi kafungue kesi kupinga hilo. Kila mmoja ana respond kwa namna alivyo athirika na maamuzi. Sitegemei mtu mwenye akili timamu anaweza kutokeza kujitolea kufungua kesi kumtetea Ndugai kutokana na rekodi yake chafu akiwa Spika wa Binge. Kwanza alikubali kutumika na Dikteta wa Chato ku rubber stamp maamuzi ya Ikulu. Pili alidhalilisha wabunge na kujiona ni kama mungu mtu.
Hata hili tatizo la wabunge 19 wa "CHADEMA" yeye ndiye aliyewaapisha gereji. Unaanzaje kumtetea Ndugai hata kama ameonewa? The end justifies the means.
Samia alipokuwa bado makamu wa rais aliwahi kusema kwamba rais huwa hakosei.Mbona wamesubiri afe ndiyo wakatoa hukumu?
Ni kweli usemalo ila kwa baadhi ya vitu hata ufumbe macho bado unaoziona chembe chembe za udini.Ndugu kila kitu sio udini, tukiwa hivyo mbona tujiharibia utu wetu.
Je, tunaweza sema Marehemu Magufuli alimuondoa Assad kwa sababu ya dini yake?
Hapana Magufuli alimuondoa Assad kwa sababu maono yao yalitafautiana sana.
Hoja yangu ni kwamba kuna katiba yenye manufaa kwa watawala, kuna katiba yenye maslahi kwa wanasiasa, na kuna katiba yenye maslahi kwa wananchi na maendeleo ya nchi yao kiuchumi na kisiasa.Hoja yako ni ipi hapa?
Mahakama ya Tanzania imetangaza kumuondoa aliyekuwa mkaguzi mkuu wa serikali (CAG) Prof Mussa Assad na Magufuli kama KINYUME CHA KATIBA *Lakini mahakama inakataa kutangaza uteuzi wa CAG Charles Kichere kama kinyume cha katiba * Mahakama pia inakataa kumrejesha Assad kama CAG mkuuAmeandika Zitto katika ukurasa wake wa Twitter
Nimefarijika kuwa leo tarehe 05/12/2022 Mahakama Kuu katika shauri la Zitto Zuberi Kabwe vs. Mwanasheria Mkuu na wenzie na 8/2020 mbele ya jopo la majaji 3 Masoud, Masabo na Kakolaki imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa J. Assad kama CAG.
View attachment 2436886
Kwa Tanzania pekeeSamia alipokuwa bado makamu wa rais aliwahi kusema kwamba rais huwa hakosei.
Niwatu wajinga sana ndio hununua airliner kwa cash.....Ndugu kila kitu sio udini, tukiwa hivyo mbona tujiharibia utu wetu.
Je, tunaweza sema Marehemu Magufuli alimuondoa Assad kwa sababu ya dini yake?
Hapana Magufuli alimuondoa Assad kwa sababu maono yao yalitafautiana sana.
We ange-wa Azori.......Mbona wamesubiri afe ndiyo wakatoa hukumu?
Yule alikuwa zaidi ya shetaniWe ange-wa Azori.......
Ina maana kwa uamuzi huu Assad atarejeshwa ofisini au ?....Ameandika Zitto katika ukurasa wake wa Twitter
Nimefarijika kuwa leo tarehe 05/12/2022 Mahakama Kuu katika shauri la Zitto Zuberi Kabwe vs. Mwanasheria Mkuu na wenzie na 8/2020 mbele ya jopo la majaji 3 Masoud, Masabo na Kakolaki imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa J. Assad kama CAG.
View attachment 2436886
Sio upotevu wa muda mkuu.Upotevu wa muda.
Ila Mahakama nayo haiaminiki, kuna mambo yanahitaji majibu ya mapema
Mahakama imekosea. Sheria inasema hivi:Mbona wamesubiri afe ndiyo wakatoa hukumu?