Sio kufikiriwa, ni lazima unless otherwise na sababu za kinidhamu zinawekwa wazi kwenye umma, nyamaza ndugu tuna CPA toka 2016, enzi hizo babito akiwaka, kabla ya akina mkaro to take over.Nadhani unaisikia tu hiyo sheria kutoka kwa mashabiki na wahasimu. Sheria inasema atakuwa madarakani kwa maximum vipindi viwili vya miaka mitano mitano. Aliyepo akimaliza mitano ya mwanzo atakuwa na haki ya KUFIKIRIWA kupewa kipindi kingine cha miaka 5. Sasa alifikiriwa ikaonekana asipewe. Hiyo sheria unayosema wewe ni ipi?
Sioni impact ya kesi hii kipindi hiki. Kama Mahakama baada ya kesi hii ingemrejesha Ptof. Assad kwenye nafasi yake ningeona umuhimu wa matokeo ya mashauri kama haya maana ni mengi.
No research No right to speak.....tatizo ni sisi wananchi.
..hakuna idadi ya kutosha inayochukizwa na uzembe mkubwa wa serikali.
..kwa maamuzi haya ya mahakama serikali italazimika kumlipa Dr.Assad mshahara wa CAG kwa kipindi chote ambacho angekuwa ktk nafasi hiyo.
..maana yake ni kwamba nchi au walipakodi watabeba mzigo wa kulipa mshahara wa CAG wawili.
No research No right to speak...
1. Kesi imefunguliwa na ACT na siyo Assad
2. Bwana Assad alimaliza tenure yake na hakuongezewa mkataba. Hakutolewa katikati ya mkataba.
3. Mahakama imesema Uteuzi wa CAG wa sasa hauna kasoro.
Acha uongo!Ndio nei ya mchele itashuka?
Ndio bei za mfuta zitashuka?
Ndio mfumuko wa bidhaa uliofikia 200% utashuka?
Nyoo nani angemjaribu yule bedui akiAmeandika Zitto katika ukurasa wake wa Twitter
Nimefarijika kuwa leo tarehe 05/12/2022 Mahakama Kuu katika shauri la Zitto Zuberi Kabwe vs. Mwanasheria Mkuu na wenzie na 8/2020 mbele ya jopo la majaji 3 Masoud, Masabo na Kakolaki imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa J. Assad kama CAG.
View attachment 2436886
Yule bedui akishirikiana na hawa wangetumaliza ona wanavyofanana halafu niambie nchi ilikuwa inapelekwa kuzimu ipi!??Nyoo nani angemjaribu yule bedui aki
Kuhusu mchele masika ndio hii wahi kalime itakusaidia kujua mkulima anavumilia upuuzi kiasi ganiNdio nei ya mchele itashuka?
Ndio bei za mfuta zitashuka?
Ndio mfumuko wa bidhaa uliofikia 200% utashuka?
Mamlaka ya uteuzi ilitakiwa kufanya uchunguzi wa kutosha kipindi kile anateuliwa na rais Kikwete maana ni kweli kwamba alitumia cheti cha mtu mwingine cha kidato cha nne. Watu wengi miaka ya nyuma walifanya hivyo.
Wakati ule nilishangaa ni kwanini kwenye sherehe ya kuwaapisha majaji CAG Prof Assad alikubali kubadilisha kauli na kusema hapakuwa na trilioni 1.5 zilizoibiwa wakati siku chache kabla alisema ziliibiwa kupitia mahojiano na Azam TV.
Kumbe baada ya kuongea kwamba fedha zimeibiwa aliitwa pembeni na kukumbushwa kwamba jina lake halali ni Jaffari na hivyo atulize mapepe na kubadilisha kauli yake hadharani la sivyo ataumbuliwa. Ndipo akaitwa kwenye ile shughuli ya kuapisha majaji.
Alipokubaliana na hali akawa ameshajimaliza kabisa maana sasa mwendazake akaamua kumuondoa kabisa baada ya miaka mitano kuisha. Ni wakati sasa ajitokeze na kuomba radhi umma wa watanzania.
Hao walishaandikwa sana hapa jukwaani.Vipi kuhusu Madelu na Kigwa??
Naona saivi , sukuma gang ni mwendo wa kugawana mbaoMamlaka ya uteuzi ilitakiwa kufanya uchunguzi wa kutosha kipindi kile anateuliwa na rais Kikwete maana ni kweli kwamba alitumia cheti cha mtu mwingine cha kidato cha nne. Watu wengi miaka ya nyuma walifanya hivyo.
Wakati ule nilishangaa ni kwanini kwenye sherehe ya kuwaapisha majaji CAG Prof Assad alikubali kubadilisha kauli na kusema hapakuwa na trilioni 1.5 zilizoibiwa wakati siku chache kabla alisema ziliibiwa kupitia mahojiano na Azam TV.
Kumbe baada ya kuongea kwamba fedha zimeibiwa aliitwa pembeni na kukumbushwa kwamba jina lake halali ni Jaffari na hivyo atulize mapepe na kubadilisha kauli yake hadharani la sivyo ataumbuliwa. Ndipo akaitwa kwenye ile shughuli ya kuapisha majaji.
Alipokubaliana na hali akawa ameshajimaliza kabisa maana sasa mwendazake akaamua kumuondoa kabisa baada ya miaka mitano kuisha. Ni wakati sasa ajitokeze na kuomba radhi umma wa watanzania.
Kipa wa Morocco anaitwa JaffarNaona saivi , sukuma gang ni mwendo wa kugawana mbao
Tungalikushukuru Kama ungalituwekea ushahidi wa ulichokiandikaMamlaka ya uteuzi ilitakiwa kufanya uchunguzi wa kutosha kipindi kile anateuliwa na rais Kikwete maana ni kweli kwamba alitumia cheti cha mtu mwingine cha kidato cha nne. Watu wengi miaka ya nyuma walifanya hivyo.
Wakati ule nilishangaa ni kwanini kwenye sherehe ya kuwaapisha majaji CAG Prof Assad alikubali kubadilisha kauli na kusema hapakuwa na trilioni 1.5 zilizoibiwa wakati siku chache kabla alisema ziliibiwa kupitia mahojiano na Azam TV.
Kumbe baada ya kuongea kwamba fedha zimeibiwa aliitwa pembeni na kukumbushwa kwamba jina lake halali ni Jaffari na hivyo atulize mapepe na kubadilisha kauli yake hadharani la sivyo ataumbuliwa. Ndipo akaitwa kwenye ile shughuli ya kuapisha majaji.
Alipokubaliana na hali akawa ameshajimaliza kabisa maana sasa mwendazake akaamua kumuondoa kabisa baada ya miaka mitano kuisha. Ni wakati sasa ajitokeze na kuomba radhi umma wa watanzania.
Weka ushahidi wa kutumia jina la mtu mwingine shule.Mamlaka ya uteuzi ilitakiwa kufanya uchunguzi wa kutosha kipindi kile anateuliwa na rais Kikwete maana ni kweli kwamba alitumia cheti cha mtu mwingine cha kidato cha nne. Watu wengi miaka ya nyuma walifanya hivyo.
Wakati ule nilishangaa ni kwanini kwenye sherehe ya kuwaapisha majaji CAG Prof Assad alikubali kubadilisha kauli na kusema hapakuwa na trilioni 1.5 zilizoibiwa wakati siku chache kabla alisema ziliibiwa kupitia mahojiano na Azam TV.
Kumbe baada ya kuongea kwamba fedha zimeibiwa aliitwa pembeni na kukumbushwa kwamba jina lake halali ni Jaffari na hivyo atulize mapepe na kubadilisha kauli yake hadharani la sivyo ataumbuliwa. Ndipo akaitwa kwenye ile shughuli ya kuapisha majaji.
Alipokubaliana na hali akawa ameshajimaliza kabisa maana sasa mwendazake akaamua kumuondoa kabisa baada ya miaka mitano kuisha. Ni wakati sasa ajitokeze na kuomba radhi umma wa watanzania.
Sawasawa......Tungalikushukuru Kama ungalituwekea ushahidi wa ulichokiandika
Zamani hiyo kawaida sanaWeka ushahidi wa kutumia jina la mtu mwingine shule...............