Zitto Kabwe: Mahakama imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa Assad kama CAG

Zitto Kabwe: Mahakama imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa Assad kama CAG

Nadhani unaisikia tu hiyo sheria kutoka kwa mashabiki na wahasimu. Sheria inasema atakuwa madarakani kwa maximum vipindi viwili vya miaka mitano mitano. Aliyepo akimaliza mitano ya mwanzo atakuwa na haki ya KUFIKIRIWA kupewa kipindi kingine cha miaka 5. Sasa alifikiriwa ikaonekana asipewe. Hiyo sheria unayosema wewe ni ipi?
Sio kufikiriwa, ni lazima unless otherwise na sababu za kinidhamu zinawekwa wazi kwenye umma, nyamaza ndugu tuna CPA toka 2016, enzi hizo babito akiwaka, kabla ya akina mkaro to take over.
Najua nachokiongea
 
Sioni impact ya kesi hii kipindi hiki. Kama Mahakama baada ya kesi hii ingemrejesha Ptof. Assad kwenye nafasi yake ningeona umuhimu wa matokeo ya mashauri kama haya maana ni mengi.

..tatizo ni sisi wananchi.

..hakuna idadi ya kutosha inayochukizwa na uzembe mkubwa wa serikali.

..kwa maamuzi haya ya mahakama serikali italazimika kumlipa Dr.Assad mshahara wa CAG kwa kipindi chote ambacho angekuwa ktk nafasi hiyo.

..maana yake ni kwamba nchi au walipakodi watabeba mzigo wa kulipa mshahara wa CAG wawili.
 
..tatizo ni sisi wananchi.

..hakuna idadi ya kutosha inayochukizwa na uzembe mkubwa wa serikali.

..kwa maamuzi haya ya mahakama serikali italazimika kumlipa Dr.Assad mshahara wa CAG kwa kipindi chote ambacho angekuwa ktk nafasi hiyo.

..maana yake ni kwamba nchi au walipakodi watabeba mzigo wa kulipa mshahara wa CAG wawili.
No research No right to speak...
1. Kesi imefunguliwa na ACT na siyo Assad
2. Bwana Assad alimaliza tenure yake na hakuongezewa mkataba. Hakutolewa katikati ya mkataba.
3. Mahakama imesema Uteuzi wa CAG wa sasa hauna kasoro.
 
No research No right to speak...
1. Kesi imefunguliwa na ACT na siyo Assad
2. Bwana Assad alimaliza tenure yake na hakuongezewa mkataba. Hakutolewa katikati ya mkataba.
3. Mahakama imesema Uteuzi wa CAG wa sasa hauna kasoro.


..Mahakama imesema Prof aliondolewa kimakosa.

..Kwa maoni yako jambo hili linahitimishwa vipi?
 
Ndio nei ya mchele itashuka?
Ndio bei za mfuta zitashuka?
Ndio mfumuko wa bidhaa uliofikia 200% utashuka?
Acha uongo!

Huo mfumuko wa bei wa 200% hauko nchi hii. Labda unaongelea nchi nyingine. Mfumuko was bei Tanzania ni about 5% ambao ndio wa chini zaidi katika nchi za Afrika mashariki na kati.

Tatizo la mfumuko wa bei ni la Dunia kwa sababu ya mseto wa matatizo yaliyosababishwa na korona na vita vya Ukraine.
 
Ameandika Zitto katika ukurasa wake wa Twitter

Nimefarijika kuwa leo tarehe 05/12/2022 Mahakama Kuu katika shauri la Zitto Zuberi Kabwe vs. Mwanasheria Mkuu na wenzie na 8/2020 mbele ya jopo la majaji 3 Masoud, Masabo na Kakolaki imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa J. Assad kama CAG.

View attachment 2436886
Nyoo nani angemjaribu yule bedui aki
 
Nyoo nani angemjaribu yule bedui aki
Yule bedui akishirikiana na hawa wangetumaliza ona wanavyofanana halafu niambie nchi ilikuwa inapelekwa kuzimu ipi!??

1670335301264.jpeg



1670335337453.jpeg


1670335378734.jpeg
 
Ndio nei ya mchele itashuka?
Ndio bei za mfuta zitashuka?
Ndio mfumuko wa bidhaa uliofikia 200% utashuka?
Kuhusu mchele masika ndio hii wahi kalime itakusaidia kujua mkulima anavumilia upuuzi kiasi gani
 
Mamlaka ya uteuzi ilitakiwa kufanya uchunguzi wa kutosha kipindi kile anateuliwa na rais Kikwete maana ni kweli kwamba alitumia cheti cha mtu mwingine cha kidato cha nne. Watu wengi miaka ya nyuma walifanya hivyo.

Wakati ule nilishangaa ni kwanini kwenye sherehe ya kuwaapisha majaji CAG Prof Assad alikubali kubadilisha kauli na kusema hapakuwa na trilioni 1.5 zilizoibiwa wakati siku chache kabla alisema ziliibiwa kupitia mahojiano na Azam TV.

Kumbe baada ya kuongea kwamba fedha zimeibiwa aliitwa pembeni na kukumbushwa kwamba jina lake halali ni Jaffari na hivyo atulize mapepe na kubadilisha kauli yake hadharani la sivyo ataumbuliwa. Ndipo akaitwa kwenye ile shughuli ya kuapisha majaji.

Alipokubaliana na hali akawa ameshajimaliza kabisa maana sasa mwendazake akaamua kumuondoa kabisa baada ya miaka mitano kuisha. Ni wakati sasa ajitokeze na kuomba radhi umma wa watanzania.
 
Vipi kuhusu Madelu na Kigwa??
Mamlaka ya uteuzi ilitakiwa kufanya uchunguzi wa kutosha kipindi kile anateuliwa na rais Kikwete maana ni kweli kwamba alitumia cheti cha mtu mwingine cha kidato cha nne. Watu wengi miaka ya nyuma walifanya hivyo.

Wakati ule nilishangaa ni kwanini kwenye sherehe ya kuwaapisha majaji CAG Prof Assad alikubali kubadilisha kauli na kusema hapakuwa na trilioni 1.5 zilizoibiwa wakati siku chache kabla alisema ziliibiwa kupitia mahojiano na Azam TV.

Kumbe baada ya kuongea kwamba fedha zimeibiwa aliitwa pembeni na kukumbushwa kwamba jina lake halali ni Jaffari na hivyo atulize mapepe na kubadilisha kauli yake hadharani la sivyo ataumbuliwa. Ndipo akaitwa kwenye ile shughuli ya kuapisha majaji.

Alipokubaliana na hali akawa ameshajimaliza kabisa maana sasa mwendazake akaamua kumuondoa kabisa baada ya miaka mitano kuisha. Ni wakati sasa ajitokeze na kuomba radhi umma wa watanzania.
 
Mamlaka ya uteuzi ilitakiwa kufanya uchunguzi wa kutosha kipindi kile anateuliwa na rais Kikwete maana ni kweli kwamba alitumia cheti cha mtu mwingine cha kidato cha nne. Watu wengi miaka ya nyuma walifanya hivyo.

Wakati ule nilishangaa ni kwanini kwenye sherehe ya kuwaapisha majaji CAG Prof Assad alikubali kubadilisha kauli na kusema hapakuwa na trilioni 1.5 zilizoibiwa wakati siku chache kabla alisema ziliibiwa kupitia mahojiano na Azam TV.

Kumbe baada ya kuongea kwamba fedha zimeibiwa aliitwa pembeni na kukumbushwa kwamba jina lake halali ni Jaffari na hivyo atulize mapepe na kubadilisha kauli yake hadharani la sivyo ataumbuliwa. Ndipo akaitwa kwenye ile shughuli ya kuapisha majaji.

Alipokubaliana na hali akawa ameshajimaliza kabisa maana sasa mwendazake akaamua kumuondoa kabisa baada ya miaka mitano kuisha. Ni wakati sasa ajitokeze na kuomba radhi umma wa watanzania.
Naona saivi , sukuma gang ni mwendo wa kugawana mbao
 
Mamlaka ya uteuzi ilitakiwa kufanya uchunguzi wa kutosha kipindi kile anateuliwa na rais Kikwete maana ni kweli kwamba alitumia cheti cha mtu mwingine cha kidato cha nne. Watu wengi miaka ya nyuma walifanya hivyo.

Wakati ule nilishangaa ni kwanini kwenye sherehe ya kuwaapisha majaji CAG Prof Assad alikubali kubadilisha kauli na kusema hapakuwa na trilioni 1.5 zilizoibiwa wakati siku chache kabla alisema ziliibiwa kupitia mahojiano na Azam TV.

Kumbe baada ya kuongea kwamba fedha zimeibiwa aliitwa pembeni na kukumbushwa kwamba jina lake halali ni Jaffari na hivyo atulize mapepe na kubadilisha kauli yake hadharani la sivyo ataumbuliwa. Ndipo akaitwa kwenye ile shughuli ya kuapisha majaji.

Alipokubaliana na hali akawa ameshajimaliza kabisa maana sasa mwendazake akaamua kumuondoa kabisa baada ya miaka mitano kuisha. Ni wakati sasa ajitokeze na kuomba radhi umma wa watanzania.
Tungalikushukuru Kama ungalituwekea ushahidi wa ulichokiandika
 
Mamlaka ya uteuzi ilitakiwa kufanya uchunguzi wa kutosha kipindi kile anateuliwa na rais Kikwete maana ni kweli kwamba alitumia cheti cha mtu mwingine cha kidato cha nne. Watu wengi miaka ya nyuma walifanya hivyo.

Wakati ule nilishangaa ni kwanini kwenye sherehe ya kuwaapisha majaji CAG Prof Assad alikubali kubadilisha kauli na kusema hapakuwa na trilioni 1.5 zilizoibiwa wakati siku chache kabla alisema ziliibiwa kupitia mahojiano na Azam TV.

Kumbe baada ya kuongea kwamba fedha zimeibiwa aliitwa pembeni na kukumbushwa kwamba jina lake halali ni Jaffari na hivyo atulize mapepe na kubadilisha kauli yake hadharani la sivyo ataumbuliwa. Ndipo akaitwa kwenye ile shughuli ya kuapisha majaji.

Alipokubaliana na hali akawa ameshajimaliza kabisa maana sasa mwendazake akaamua kumuondoa kabisa baada ya miaka mitano kuisha. Ni wakati sasa ajitokeze na kuomba radhi umma wa watanzania.
Weka ushahidi wa kutumia jina la mtu mwingine shule.
 
Back
Top Bottom