Zitto Kabwe: Mahakama imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa Assad kama CAG

Legacy inabomolewa huku🤣🤣
 
Kwani hii kesi/shauri lilifunguliwa lini? Kama lilifunguliwa baada kifo cha mwendazake basi huu utakuwa ni unafiki. Kama ilifunguliwa kabla ya kifo, basi nafuta kauli yangu ya unafiki.
 
Hili jamaa huwa jinga sana na sijui wanaomuona huyu mtu sijui msomi aisee km wasomi ndio hawa na kina Lissu kuna wasomi vichekesho sana hiyo nchi
 
Magufuli alikuwa ni KICHAA na maamuzi yake mengi yalikuwa ya HOVYO HOVYO tu. Japo wanaojiita WANYONGE eti wanamkumbuka lakini Mimi nawahurumia kwa kuwa wana akili ndogo ambazo haziwezi kuchambua uwongo wake na ukweli.

Prof Assad alifanya kazi yake vizuri kuonyesha matumizi yasiyoonekana ya Tsh 2.4 Trillion. Hiyo ndiyo sababu za kumuachisha mkataba.

Halafu WAJINGA wanaojiita WANYONGE wanasema Magufuli alikuwa anapiga vita UFISADI. SI kweli kabisa kinyume chake Magufuli alikuwa ni FISADI aliyepita viwango vyote na ambaye alipenda awe aniba peke yake na kikundi chake cha akina Dotto James, Makonda, Bashiru, Chamuriho, Alexander Mnyeti to mention just a few
 
Magufuli alikuwa ni mvunja katiba mkubwa. Ila hizo mahakama kama angekuwa hai bado zingetoa hukumu ya kumfurahisha. Bila katiba mpya tena kwa njia ya machafuko, tusitegemee hatua zozote kuchukuliwa kwa hawa walevi wa madaraka.
Cc: UHURU JR
Magufuli aliamua kutoongeza mkataba wa Asaad. Sheria ilimruhusu kufanya hayo.

Leo mahakama inasema ile sheria inapingana na katiba. Sheria yenyewe iliwekwa kabla Magufuli hajawa rais wa JMT.

Sasa hapo Magufuli ana kosa gani?
 
Magufuli aliamua kutoongeza mkataba wa Asaad. Sheria ilimruhusu kufanya hayo. Leo mahakama inasema ile sheria inapingana na katiba. Sheria yenyewe iliwekwa kabla Magufuli hajawa rais wa JMT. Sasa hapo Magufuli ana kosa gani?

Kosa lake ni kutumia sheria iliyovunja katiba.
 
Hili jamaa huwa jinga sana na sijui wanaomuona huyu mtu sijui msomi aisee km wasomi ndio hawa na kina Lissu kuna wasomi vichekesho sana hiyo nchi
Unailaumu mahakama au Zitto. Mahakama imetoa hukumu kwamba Magufuli alitumia sheria batili.
 
Magufuli alikuwa ni mvunja katiba mkubwa. Ila hizo mahakama kama angekuwa hai bado zingetoa hukumu ya kumfurahisha. Bila katiba mpya tena kwa njia ya machafuko, tusitegemee hatua zozote kuchukuliwa kwa hawa walevi wa madaraka.
Cc: UHURU JR
Na mikutano ya hadhara kuzuiwa mpaka saa hii katiba inasemaje ??!
 
Chifu,

HAIPO HIVYO... Kwanza hakuna cha "Rais ikimpendeza"! Pili, hapo ulipotaja katiba na sheria, ni kwamba ume-interchange,

Katiba inasema CAG atakaa ofisini kwa miaka 5 na ANASTAHILI mkataba wake kuwa renewed, lakini atatakiwa kuachia ofisi akifika miaka 60 AU umri MWINGINE utakaotajwa na sheria.

Sheria ya Ukaguzi wa Hesabu za Umma ya mwaka 2008 Kifungu cha 6(2) kimetaja umri mwingine ni miaka 65!

Kinachoweza kumfanya awe terminated kabla hajafika hiyo 65 ni endapo atafanya kosa miongoni mwa yale yaliyotajwa kwenye katiba, na hapo hadi aundiwe tume ya kijaji kuchuguza tuhuma dhidi yake!!

In short, CAG HATUMBULIKI... usipomtaka, na kama hana kosa kama yalivyotajwa kwenye katiba basi umlazimishe kujiuzuru!
 

Kesi ni ya Magufuli na Zitto, ila unaiongelea CHADEMA. Tusubiri kesi ya watu wasiojulikana waliomlima risasi Lissu.
 
Bado tuuu shujaa anakumbukwaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…