Zitto Kabwe: Mahakama imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa Assad kama CAG


Unafiki gani?. Mahakama imetoa maamuzi unasema inafiki. Lissu akisema mahakama zetu sio huru mnampinga.
 
Asad alishindwa kusoma alama za nyakati kwa kubishana na muhimili uliojichimbia.Hakuna Rais Duniani anayetaka maovu ya serikali yake yajulikane.Asad kiprotokali ilipaswa ajiuzulu kulinda heshima yake lakini siyo kutaka Rais awe submissive kwake!
Magufuli was wrong legally but politically correct!
 
Nani kakuambia kitu ili kibadilike lazima kila mtu akijue? Hizo katiba zilizoandikwa huko nyuma, wananchi wote walikuwa wameeIewa zilizokuwa hapo awali? Au ni mambo ya bendera fuata upepo?

Hilo ndio tatizo la tanzania kupata katiba mpya
 

Acha kuingiza CHADEMA kwenye ujinga wenu wa CCM . Unajiona wa maana na kidharau wengine. Kama wewe ni Bora mbona unalialia kila siku hapa jamii forum. Kwanini usiende field?. Achana na CHADEMA kabisa dharau zako peleka CCM
 

Tatizo la nchi yetu Viongozi hawaheshimu katiba. Wanaidharau katiba na kufanya mambo kwa mawazo yao.
 
Bora akina Zitto wapo hai, yeye Magufuli alifyekwa moja kwa moja.
Kama alifyekwa moja kwa moja kwa nini walio mfyeka Walioshindwa kufyeka kumbukumbu za ubabe wake na bado anakumbukwa sana kwa huo ubabe?

Zito kamtaja hapa jpm ambaye ni marehemu halafu wewe unabwabwaja tu eti walimfyeka na hayupo tena!

Nikuambie tu kuwa una mawazo mgando.
 
Huu ndo ujinga ambao anatusumbua.

Rais kutokuwajibishwa.
 
Zitto na genge lake Udini unawasumbua sana. Acheni siasa za kupambana na Ukristo pimbi nyie
Ungeweza kujenga hoja yako bila kuhusisha UDINI. Rais wa nchi hii haongozi Kikristo kwa maana ya Amri kumi wala Sharia za Kiislam. Tusihusishe dini na uongozi wa nchi. Pili, narudia tumuache mpendwa wetu aliyekuwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Dk. John Magufuli apumzike kwa amani. Inachukiza mno kila mara kumhusisha na mambo ya kidunia ambayo hawezi kuyajibu.

#Tujadili umoja na mshikamano wa kitaifa na namna ya kusaidia maono ya Mhe. Rais, Mkuu wa nchi na Amiri Jeshi Mkuu wetu, Dk. Samia.πŸ™πŸ™πŸ™
 
Magufuli alikuwa sahihi kisiasa Ila alikosea kisheria.Asad na yeye alipaswa kusoma alama za nyakati, ukiona umuivi na mtawala wa nchi, kimaadili Asad alipaswa ajiuzulu kulinda heshima yake na ashukuru awakumuua.
 
Marehemu anawatesa watu, naona huwa wakishtuka usiku wanajua bado yu hai
 
Amefarijika nini mnafiki mkubwa huyu zitto kabwe. Walimpa kichwa huyo cag kwamba hawezi timuliwa wakati kazi yenyewe siyo kajipa mwenyewe.
I hope wanasheria wa serikali watakata rufaa.
 
Huu ndo ujinga ambao anatusumbua.

Rais kutokuwajibishwa.
Acheni siasa maandazi,huwezi kupingana na mamlaka yako ya uteuzi.Never on Earth,Asad alipaswa ajiuzulu tena ashukuru akuwa assassinated!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…