Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe: Oktoba 3 tutatangaza Mgombea wa Urais atakayewakilisha Upinzani

Membe ni mwanamkakati mzuri anawazubaisha ccm,, na ndio kapewa kazi ya kutibua uhuni wa maDED
 
Na pesa ya TUME kwa kila chama chenye mgombea wa urais inakuaje hapo
 
Membe amepata anachostahili, baada ya kujiunga na chama ambacho kingempa control, kama nccr, cuf ya Lipumba nk.., akaenda kujiunga chama chenye mafahali wawili waliokwisha kugawana mamlaka na sehemu za kutawala, akategemea atawazidi akili. Apana wamemfanya chambo, wamemtumia na sasa wakati wa kumbwaga ushafika.

Uhaini huu unefanywa kwa ushorimiano wa chadema na ACT, wamepatana iwapo Lissu atachinda nafasi 2 za uwaziri muhimu na 4 za kawaida watapewa ACT, na ukuu wa mikoa 6, pamoja na mgawanyo wa sehemu nyingine nyeti.

Membe umuhimu wake umeshakwisha
 
..subiri October 3.

..inawezekana Tundu Lissu ndio atakayechinjiwa baharini.

..it is still 50/50.
Mbona wamechelewa, 2015 nyakati hizi tunamgombea wa UKAWA anaunguruma. Sasa kwa siku 24 kweli, upinzani wanafanya majaribio uongozi.
 
Haya yanatokea duniani kote tuache ushamba
 
Mkuu ukisikia Membe ana muunga mkono Lisu atakuwa bado siyo mpinzani?

Acha tu kumuunga mkono Lissu, hata angeenda kuishi nyumbani kwa Lisu, bado Membe sio mpinzani bali ni bosheni la ccm. Hata sasa kujiunga na cdm baada ya kuona hana mvuto wowote. Hata Lowassa 2015 angejichanganya kwenda chama kingine nje ya cdm, angepata kura 10 za familia yake. Nimeshukuru sana cdm hawakuungana na Membe mapema, vinginevyo huu umati wa sasa wa Lisu ingesemekana ni kwakuwa Membe kajiunga na CHADEMA.

Tena CHADEMA wanatakiwa watunge sheria kuwa ili ugombee urais ndani ya cdm, unatakiwa uwe umekaa cdm zaidi ya miaka 7, na upinzani wako usiache shaka. Hatutaki muhuni yoyote toka ccm kuja kutunajisia chama.
 
Mtakoma mwaka huu. Kila mti mkishika unateleza tu. Kwahiyo sasa hivi mataga mnataka Membe aendelee? Watu wana jambo lao Oktoba 28. Nyie tulieni muwe watazamaji.
Sasa Membe ana nini kipya?

Katimuliwa ccm bila huruma alafu aje aogopwe leo?

Yani ccm iogope mtu ambae akiitisha mkutano hawaendi watu hata 100?
 
Kimenukaaaaa, mwamba ameshapita.. Mwanamayu akachunge ng'ombe sasa.
Ha ha ha, akili za design hizi. Walishaungana, 2015 wakapigwa knockout. Ukawa uliwapa wabunge 70,safari hii mwaona maji yanazidi unga mtapata 10 tu, huku yule mmoja wa kigoma akiwa mtazamaji.
 
Kuachiana kwenyewe ni mmoja kuacha kupiga kampeni maana oktoba majina yote yatakuwepo kwenyw form!

Wapinzani huwa wanajikaanga kwa mafuta yao wenyewe kama kitimoto vile
 
Membe ni mwanamkakati mzuri anawazubaisha ccm,, na ndio kapewa kazi ya kutibua uhuni wa maDED
Kama upi? Kwamba membe atazunguka tz nzima siku hiyo kuwatazama maded?
 
Halafu hawajui kwa kumtoa MEMBE ni kuiongezea CCM kura, kwa sababu maswahiba wa Membe wa CCM waliotaka kumpigia basi wataamua kuipigia CCM.
 
Kwahiyo Membe akianza kukaa meza moja na Lisu kwenye kampeni utamuonaje Membe na chadema kwa ujumla?
 
Membe sio mpinzani, ni bosheni la ccm. Bahati nzuri wapinzani wameshamstukia. Kosa la Lowassa safari hii tumegoma kulirudia.
Hivi Ukawa au chadema waliwahi kukiri kuwa walikosea kwa Lowassa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…