Hivi nchi hua zinaingiaje machafukoni vile? Sio kudharau vitu vidogo vidogo vya kikandamizi ama? Mbona we ni mjuvi wa mambo washindwa kuelewa hilo!Huu pia ni uchozezi!
ZZK ni mchochezi sana, mfano Benard Membe na Tundu Lissu wasipopitishwa, sijajua wamepanga kufanya nini hadi uchaguzi usiwepo?, hivi ni vitisho!. Pale raia wa kawaida anapoitisha serikali, dola na nchi, hili sio tishio dogo.
Hii sio mara ya kwanza kwa Zitto Kabwe kufanya uchochezi.
Zitto Zuberi Kabwe Ni Mchochezi, Akamatwe, Ashitakiwe Kwa Uchochezi, Adai Rais Magufuli ni...
P
Watu wa mikoani wanasema hayo yakujisifia mengi yako Dar. Wanataka yaliyofanyika huko vijijiniHali ilipofikia CCM wamechanganyakiwa, yaani pamoja kujenga flyovers na Kununua ndege ila wananchi hatuwataki [emoji23][emoji23][emoji23]
PASCO !PASCO !PASCO! NJAA MBAYA SANA .....NANI NAIBU WAZIRI WA ANGELA KAIRUKI?Huu pia ni uchozezi!
ZZK ni mchochezi sana, mfano Benard Membe na Tundu Lissu wasipopitishwa, sijajua wamepanga kufanya nini hadi uchaguzi usiwepo?, hivi ni vitisho!. Pale raia wa kawaida anapoitisha serikali, dola na nchi, hili sio tishio dogo.
Hii sio mara ya kwanza kwa Zitto Kabwe kufanya uchochezi.
Zitto Zuberi Kabwe Ni Mchochezi, Akamatwe, Ashitakiwe Kwa Uchochezi, Adai Rais Magufuli ni...
P
Utafanya nini we "nyau" kakojoe ulale. Mnapenda kujiapiza vitu ambavyo havina kichwa wala miguu.NEC wakithubutu kufanya huo ujinga, walahi watakuja kujutia nakwambia.
Unajua CCM kuna mambo wanayachukulia poa, lakini nawahurumia sana.
Muda ni mwalimu mzuri sana
Wewe na nani?Ni hivi akikatwa hata mbunge au diwani mmoja tunaingia barabarani mpaka arudishwe huu ujinga hakuna watu tumechoka na upumbavu na tutaanzia kuchoma ofisi za nec then ni kumfurusha Dicteta Ikulu.
Yap[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ina maana ni suala ya tarehe tu ya kumtangaza
[SUB]Kama mtu[/SUB]Jaji Kaijage is conscious of the legacy he will leave for himself, his offsprings and the country at large as the NEC chairman; he cannot afford to make a decision that will tear the country asunder!
Kama mtu unaweza ukagombea nafasi na ukaambulia kura moja tu, then wewe ni mtu wa kupuuzwa tu. Hakuna anayeweza kukuchukulia serious.Huu pia ni uchozezi!
ZZK ni mchochezi sana, mfano Benard Membe na Tundu Lissu wasipopitishwa, sijajua wamepanga kufanya nini hadi uchaguzi usiwepo?, hivi ni vitisho!. Pale raia wa kawaida anapoitisha serikali, dola na nchi, hili sio tishio dogo.
Hii sio mara ya kwanza kwa Zitto Kabwe kufanya uchochezi.
Zitto Zuberi Kabwe Ni Mchochezi, Akamatwe, Ashitakiwe Kwa Uchochezi, Adai Rais Magufuli ni...
Huko sahihi kabisa. Hebu angalia uchambuzi hapa chini.NEC mpaka sasa inajua mshindi ni nani inasubiri kumtangaza
Huu pia ni uchozezi!
ZZK ni mchochezi sana, mfano Benard Membe na Tundu Lissu wasipopitishwa, sijajua wamepanga kufanya nini hadi uchaguzi usiwepo?, hivi ni vitisho!. Pale raia wa kawaida anapoitisha serikali, dola na nchi, hili sio tishio dogo.
Hii sio mara ya kwanza kwa Zitto Kabwe kufanya uchochezi.
Zitto Zuberi Kabwe Ni Mchochezi, Akamatwe, Ashitakiwe Kwa Uchochezi, Adai Rais Magufuli ni...
P
Hakuna uchaguzi ni maigizoHuko sahihi kabisa. Hebu angalia uchambuzi hapa chini.
Kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi Mkuu 2020, pamoja na kanuni nyinginezo kwenye kanuni hizo, Kanuni ya 30(1) inatamka kwamba watu wanaoweza kuruhusiwa kuweka pingamizi dhidi ya Mgombea Urais au Ubunge watakuwa:-
1. Mkurugenzi wa Uchaguzi;
2. Msajili wa Vyama vya Siasa ;
3. Msimamizi wa Uchaguzi;
4. Mwanasheria Mkuu wa Serikali; au
5. Wagombea/mgombea (m)wenzake
Aidha, Kanuni 30(5) inamtaka Msimamizi wa Uchaguzi [pengine ndiye aliyeweka pingamizi - Mungu apishe mbali!] kutoa uamuzi wa pingamizi hilo na kisha kumfahamisha mgombea ubunge.
Lakini pia, Kanuni 31(3) inaelekeza mgombea ubunge aliyewekewa pingamizi asiporidhika na maamuzi ya Msimamizi wa Uchaguzi akate rufaa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (hebu fikiria iwapo pingamizi hilo limewekwa na Mkurugenzi wa Uchaguzi!) kupitia Msimamizi wa Uchaguzi (pengine ndiye huyo huyo aliyeweka pingamizi na kisha akasikiliza pingamizi lake mwenyewe)!
Kisha, [Kanuni 31(4)] inaelekeza kuwa Msimamizi wa Uchaguzi husika (huyo huyo aliyeweka pingamizi na kisha kulitolea maamuzi) aandae nyaraka zote na ushahidi (wa mgombea ubunge aliyekata rufaa Tume dhidi ya maamuzi ya Msimamizi wa Uchaguzi (pengine aliyesilikiza pingamizi aliloliweka mwenyewe dhidi ya mgombea) kisha kuziwasilisha Tume ya Taifa ya Uchaguzi (fikiria hali itakuwaje iwapo pingamizi dhidi ya mgombea liliwekwa na Mkurugenzi wa Uchaguzi, halafu apelekewe rufaa dhidi ya pingamizi lake iliyoamuliwa na mwajiriwa wake akimpendelea bosi wake!).
Hii model regulations (kanuni za mfano wa kuigwa) imechukuliwa kwenye kanuni na uzoefu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa (vitongoji, vijiji na mitaa) wa mwaka jana (2019) 'uliofanikiwa' sana! Ni brand new electoral democracy ya Tanzania.
Kwenye uchaguzi huo (2019) kiasi cha wapiga kura 95% hawakuweza kupiga kura kwa kuwa wagombea wa upinzani katika vitongoji, vijiji na mtaa hiyo waliwekewa mapingamizi na wasimamizi wa uchaguzi kisha wagombea wa CCM wakapitishwa na kupewa ushindi a kupita bila kupingwa.
Asilimia 95 ya Wapiga kura wa Tanzania walizuiwa/walinyang'nywa haki yao ya kupiga kura (disenfranchised).
Tunaweza kuanza kujadili uhalali (legitimacy) wa viongozi wa kisiasa wanaochaguliwa kwa mtindo huo.
NEC/RPP kuwekea m(wa)gombea pingamizi inamaanisha partiality of the NEC or the Government vis-a-vis the
2020 elections!
I used to look up to you, ulikua unaandika vitu deep kiasi kwamba nikajikuta tu nakukubali. I still respect you as a person and i wish i could say the same about your inputs, but I (*and i believe i'm not the only one*) cant. No disrespect but you're kissing ass way too hard, you sound like a different person. I apologize for the strong language.Huu pia ni uchozezi!
ZZK ni mchochezi sana, mfano Benard Membe na Tundu Lissu wasipopitishwa, sijajua wamepanga kufanya nini hadi uchaguzi usiwepo?, hivi ni vitisho!. Pale raia wa kawaida anapoitisha serikali, dola na nchi, hili sio tishio dogo.
Hii sio mara ya kwanza kwa Zitto Kabwe kufanya uchochezi.
Zitto Zuberi Kabwe Ni Mchochezi, Akamatwe, Ashitakiwe Kwa Uchochezi, Adai Rais Magufuli ni...
P
Kama utani akaenguliwa naniliii.Kama watakosa sifa basi ni lazima waenguliwe wala wasiifokee time.
Lakini pia kuna jambo linalowafanya watu wa tume ya uchaguzi kufanya hayo mnayoyaita kubumba.
Kutafuta Teuzi au kula maisha.
Kama jambaza au mwezi anaiba kwa wazi halafu anapata mafanikio makubwa bila kukamatwa wala kupingwa huku jamii ikiwa inamtukuza na kumwabudu huku ikiwa inamwomba misaa na kushabikia na hata kumpa heshima kubwa mpaka kwenye nyumba za Ibada, basi ni dhahiri kuwa jambaza au mwizi huyo hataacha na mwisho ataunda genge la ujambaza au uhalifu kwa lengo lile lile la kujipatia maisha mazuri na familia yake itaona kama kuiba au ujambazi ni kazi yenye heshima.
Tangu tumeanza uchaguzi wa mfumo wa vyama vingi pamekua na rushwa ya fedha na ahadi za teuzi na wanafaika wakubwa ni wale wanaharibu na kuvuruga kwa wazi matokeo ya uchaguzi.
Hakuna hata mmoja aliyewahi kushitakiwa kuwa amevuruga uchaguzi na kuisababishia serikali Hasara kubwa kwa kurudia uchaguzi au hata kupoteza maisha ya watu au kusababishia watu ulemavu kwa vipigo. Wanaoumizwa na kudharauliwa kwa kejeli ni wale wale wanaonyimwa haki zilizopi kisheria.
Bila shaka kama tume itaundwa na watu waliojaa ubinafsi na wapenda rushwa ya vyeo na madaraka kama wanavyoahidiwa basi tusitegemee kauli ya Zito mtandaoni ikiwatisha wala kubadili fikra zao zilizojaa ubinafsi na kulisababishia taifa hasara na wakati mwingine kuhatarisha amani kwa sababu tu ya kulinda vyeo vyao na vya marafiki wao huku wakiliacha taifa kwenye taharuki kubwa na Chuki kubwa kwenye jamii.
Hata hivyo wapinzani wajipange kwa hoja mana Bado CCM inabebwa na utendaji wa JPM zaidi. Hivyo waje na ushawishi mkubwa zaidi wa hoja za kuimarisha uchumi na kujenga miundo Mbinu.
Ni hivi akikatwa hata mbunge au diwani mmoja tunaingia barabarani mpaka arudishwe huu ujinga hakuna watu tumechoka na upumbavu na tutaanzia kuchoma ofisi za nec then ni kumfurusha Dicteta Ikulu.
Walimwogopa membe wakamtimua chamani wakijua wameshinda target sasa hawakujua kama lissu atarudi maana walikadiria kuwa kwa kile kichapo hatokaa aje tenaIla Lissu sio mtu wa kawaida kabisa. hapa Lissu ndie anaetafutwa
Kwa hawa INTERAHAMWE lolote lile linaweza kutokea. Mwl. Nyerere aliwahi kutuhusia ya kwamba, ukila nyama ya mtu huwezi kamwe kuacha kula. Yale ya Jecha kule Zanzibar mwaka 2015 mara hii yatahamia huku Tanganyika.Zitto kaandika kupitia ukurasa wake wa Twitter.
NEC wachukue tahadhari sana wasifanye huu upuuzi ambao haujawahi kufanywa katika uchanguzi wowote mkuu huko nyuma tangu mfumo wa vyama vingi uanze. Kwa muktadha wa hii tweet ya Zitto Kabwe, NEC ikifanya hivyo inaweza kulipasua taifa vibaya sana!
Ni Membe mkuu, inasemekana uanachama wake bado haujamfanya kugombea nafasi yoyote ndani ya ACT