Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe: Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ikiwaengua wagombea wa upinzani kwenye Urais & Ubunge kwa sababu za kubumba, Hapatakuwa na Uchaguzi

Ishara zinaonyesha kuwa waliopo kwenye hiyo unayoita serikali ndiyo wanawachokonoa wananchi,wakiambiwa waweke Tume Huru ya Uchaguzi wanadai iliyopo ni huru wakati wanaoongoza Tume ni wakereketwa wa CCM.Wakiulizwa kuhusu Katiba Mpya wanakuambia siyo kipaumbele chao.Katika mazingira kama hayo unawasingizia wapinzani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…