Zitto Kabwe: Wanaoliunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT

[emoji1787][emoji1787]sura yangu naogopa kuianika kwenye hadhara ya JF!
Utanitumia pm picha ya chupa ya maji.


Ukiianika hapa,si ulisikia mama yupo anapita humu..
Akikuona[emoji1787]na unavyomwita kilaza[emoji23]
 
Hili nalo njaa mbaya Sana,tusiwalaumu wakina dada wanaojiuza Wana njaa kama hili dubwasha
 
Zito ni mdini Kwa hiyo sisi wasabato na mashekhe hatuunganishi taifa
 
Utanitumia pm picha ya chupa ya maji.


Ukiianika hapa,si ulisikia mama yupo anapita humu..
Akikuona[emoji1787]na unavyomwita kilaza[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

Maoni ni kuacha kuzungumzia alichoandika.
[emoji777][emoji777]
Period!
 
Mbona zito anakuwa mpuuzi kiasi hiki? Sasa atawapataje wanachama ambao anahisi wanaligawa taifa. Hicho chama chake hakitakaa kipate exposure kubwa kama anakuwa mpuuzi hivi
 
Inawezakana FaizaFoxy ni Zitto.
 
M

mathehebu mangapi hawajatoa , mbona anasifia kkkt tu?
Cz kkkt walikua live na Rais na kutoa msimamo wao, so zito kadaka hilo pekee!! NB: Zito ni mzee wa fursa na ni mdau wa DP world!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…