kwa hiyo unaamini kabisa membe hatopata kura kutoka kwa wafuasi wa zambarau?
Eti smokescreen kuizubaisha CCM, hivi unadhani ccm ni saccos kiasi kwamba mtu anaweza ichezea ovyo eti? CCM yenye wanachama M.7 + ichezewe na zitto mwenye wafuasi laki mojaHawaelewi strategy nyuma ya majibu ya Zito. Membe ni smokescreen ya kuwazubaisha CCM! All along candidate ni Lissu!
ONLY WHO HAVE BIG BRAIN KNOW THSI ILLUSSIONAkili ni ipi ndugu,huo ni ujinga wa Hali yajuu Sana na sichelei kusema hata anaesema niakilikubwa naye nimjinga kabisa,akili wakati watu Ruzuku za kampeni zipo mifukoni mwao na kampeni hawafanyi bado unasema akili kubwa,kumbuka hizo Ruzuku ni pesa zangu mimi,wewe na Watanzania wote tuliyeumia kulipa Kodi miaka yote,Leo wanaume wamezifinya mfukoni na kukaa kimya na safari za nje wakijidai wagonjwa,ifike mahali upuuzi huu tunao fanyiwa na wanasiasa ukome jamani,tuwe na uchungu
Hawaelewi strategy nyuma ya majibu ya Zito. Membe ni smokescreen ya kuwazubaisha CCM! All along candidate ni Lissu!
Nyie inamaana hamjui kuwa membe anamuandalia lissu baraza la mawaziri?? Hamjui kusoma bc hata picha?? Membe waziri wa mambo ya nje, Lissu Rais, waziri mkuu Mbowe ..Zkk waziri wa fedha , Magufuri waziri wa barabara ..Lema waziri wa mambo ya ndani ..sugu waziri wa michezo ..Tamisemi Bulaya ..Mdee waziri wa katiba na sheria..Juma duni waziri wa Elimu .. Spika Kibatala ..kwa wakuu wa mikoa tunambakisha Antony Mtaka wa simiyu baaasi
Matokeo yatawafurahisha sanaHawaelewi strategy nyuma ya majibu ya Zito. Membe ni smokescreen ya kuwazubaisha CCM! All along candidate ni Lissu!
Alijipiga chenga mwenyewe kisha anaanza kuutafuta mpira hajui ulipoelekea.Ila CCM kwanini wanamdhihaki Membe?
Basi ni strategy ya kijinga kuwahi kutokea.Hawaelewi strategy nyuma ya majibu ya Zito. Membe ni smokescreen ya kuwazubaisha CCM! All along candidate ni Lissu!
Nchi itakombolewa tuKeep Dreaming Bro.
October 28 ni CCM 5 tena
Utajua kuwa hujuiEU tathimini yao ya siku 15 za kampeni Tanzania CCM itashinda si chini ya 81%. Lissu anaenda kuwa mgombea wa upinzani aliye vunja rekodi ya kupata asilimia kidigo tangu nchi hii ingie kwenye mfumo wa vyama vingi. Na hii itaonesha uropokaji na upayukaji bila maarifa si njia sahihi ya kuomba kura.
Bora izo kuliko za kununua wapinzaniHiz ndo akili za upizan
Kwani imeshikiliwa mateka?Nchi itakombolewa tu
Sasa wakitathmini pia kuwa kuna uwizi wa kura msije na mapovu kuwa ni mabeberu!!
Jiwe anaenda kuandika historia ya kuwa Rais wa awamu moja
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Mmmh!!! jukwa!!! sijui daraja la ngapiDuh![emoji116]View attachment 1575523
Kama wewe unashabikia uminyaji wa democracy Civics, General study na DS mbona unafundisha pillars of democracy?Kwani imeshikiliwa mateka?
Ukombozi ulishaisha enzi za TANU wewe shule ulienda kufanya nini kama historia ndogo hivi inakushinda?
CCM 5 Tenaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]