Zitto: Msitegemee nitakosoa kama kipindi cha Magufuli

Zitto: Msitegemee nitakosoa kama kipindi cha Magufuli

Eti Rais akiwa Muislam Zitto huwa haongei

Umaarufu wa Zitto Kabwe umepatikana wakati wa Jakaya kutokana na kuongea Jee JK ni Myahudi?

Kashfa za Escrow na kadhia kadhaa alizoibua Wakati wa JK ulikuwa bado upo kijijini?


Hakuna Wakati Zitto alikuwa anakosoa Serikali kama wakati wa JK

Tatizo lako wewe na wenzio wengi mnaofanana kila jambo analozungumza Zitto mnamtazama kwa namna mlivyojiaminisha na hilo sio kosa kisheria ila ni kosa kimantiki

Kuna Wanasiasa wangapi wasio waislam walimkosoa sana JK lakin awamu iliyopita wakaufyata na sasa wamerudi kwny kukosoa na hakuna anaewatazama kwa mtazamo wa kiimani?
J one ni kiazi
 
Usaliti ni laana
Udini ndio tatizo
Hana upinzani au tuseme chama si kwa ajili ya Taifa
Agenda yake ni tofauti na watu wanavyoamini
Uongozi wa sasa muwe macho
Kuna mwavuli anaojifichia
Tigray sijui Sahara wapi ready between the lines
Mods msifute comment hii
I have said this mara nyingi
Sivyo mnavyoamini
 
Zitto atajuta kukosana na mungu mbowe.

Vita ya misukule ya mungu mbowe na Zitto haijawahi kuisha.

Nashangaa ambavyo huwa anajipemdekeza kwa hawa chaggadomo
Zito mjanja sio kama anajipendekeza Kwa chadomo Bali ana cheza na akili zao angalia Leo ametoa sentence moja Tu,wana Sacco's wote wa mtaa wa ufipa wanaicheza Ngoma aliyoipiga
 
Kwamba hata Lissu na Mbowe pia wanaingia kwenye hiyo list ya wanasiasa wachumia tumno?
Kwani lisu na mbowe ni miungu au? Lisu Kwa njaa zake alikuwa ana Kula hela ya acacia na kuitisha serikali kuhusu madini eti tutashitakiwa miga mwisho WA siku hakuna miga wala nini ni tumbo lake Tu,mbowe Kwa kuliendekeza tumbo lake na chadema Yao wakawasafisha watu walio waita mafisadi wakubwa kina lowasa na kumuuzia kabisa fomu ya kugombea uraia Kwa ticket ya chadomo kuna wanasiasa wenye njaa zaidi ya hawa?
 
Inasemekana ali-play part kubwa wakati ule hangaya almanusura apokonywe tonge mdomoni mwezi March!

Anakula ujira wake, baba zwazwa!
 
Wewe ndo mdini haswa kwasababu unaangalia kila kitu kwa mizani ya dini ya mtu, tatizo watu wa CHADEMA mmejimilikisha kila kitu. Upinzani ni wenu, akili nyingi ni zenu, viongozi bora ni wenu. Yoyote alietofautiana nanyi ni adui i really wish Prof Safari na Baregu wangekuwa bado wapo CHADEMA maana hili kundi la radicals kama nyie mnaua chama kwa kujiona wajuaji na wapinga kila kitu nguvu ya kuondoa serikali hamna mnabaki kupiga kelele tu kwenye mitandao wakati hamna chochote mnachoweza kufanya. Mwenyekiti wenu mpaka leo yupo ndani karibu mwezi wa nne huu mmebaki kujidai Mungu atatulipia wakati mlikuwa mna mjaza upepo. Mwanasiasa bora ni yule anaejua nguvu zake halisi na uwezo wa kusoma muktadha kung'ang'ania nguvu wakati huna ni upuuzi maana utaendelea kuteseka tu natamani CHADEMA ingekuwa na kina Mnyika wengi kuliko radicals kama nyie msiopima muktadha bali kuendekeza vita msizoziweza.

Zitto umaarufu kapa kipindi cha JK, JK alikuwa mkristo? Zitto kipindi cha Magufuli 2015 mwishoni mpaka 2017 september alikuwa hakosoi sana kama sasa ila alibadilika kwa tukioa la Lissu kupigwa risasi je Magufuli alikuwa Muislam ?

Tuache siasa za majitaka.
Retired na j one ni wadini wakubwa ukimuona MTU anapenda Sana kutajataja dini ni mdini hizi nyumbu ni za kuwaepuka
 
Huyu mutu ya Kigoma leo imesema tusimtegemee akikikosoa Kama alivyokuwa anafanya awamu ya JPM. Nadhani anachosau zito Ni kwamba hakuna mwananchi anayetaka ukosoaji, wananchi wanachotaka ni kuona kiongozi anamsimamo na anaweza kuwatetea iwe kipindi Cha njaa au Cha neema.

Zitto anachodhania yeye ni kwamba maisha yasiasa nikukosoa nakusahau kwamba endapo utakosoa bila hoja au bila msimamo unaoonekana hakuna atakayeangaika na wewe. Akina Polepole wamejaribu kukosoa na Wana hoja ila wananchi wamewapuuza kwa sababu wanajua wanatafuta riziki ya matumbo yao na familia zao.

Gwajima alijitutumua akapuuzwa kwa sababu alielekeza hoja zake kwa manufaa yake na taasisi yake. Membe kaibuka juzi watu wamempuuza kwa sababu alipaswa kusema JpM akiwepo ila kusubiri hayupo nikujitaftia umaarufu usio na tija. Akina Mdee hakuna anayewasikiliza maana watu wmeona wazi wamethamini familia zao kuliko Taifa.

Hivyo Zitto hata ukae kimya na usifie kila kitu poa tu, wamekujua wewe unatafuta Nini kwenye siasa. Watakaodumu ni wale watakaobaki na misimamo ya asili.

Asichokijua Zitto ni kuwa Zanzibar sasa ni moja.

Hadi mama atoke madarakani, Zanzibar itakuwa imetuvuna vilivyo. Bila shaka baada ya mama ni Mwinyi.

It's now or never!

Yaonesha hata kina Jussa wamelielewa somo.
 
Huyu mutu ya Kigoma leo imesema tusimtegemee akikikosoa Kama alivyokuwa anafanya awamu ya JPM. Nadhani anachosau zito Ni kwamba hakuna mwananchi anayetaka ukosoaji, wananchi wanachotaka ni kuona kiongozi anamsimamo na anaweza kuwatetea iwe kipindi Cha njaa au Cha neema.

Zitto anachodhania yeye ni kwamba maisha yasiasa nikukosoa nakusahau kwamba endapo utakosoa bila hoja au bila msimamo unaoonekana hakuna atakayeangaika na wewe. Akina Polepole wamejaribu kukosoa na Wana hoja ila wananchi wamewapuuza kwa sababu wanajua wanatafuta riziki ya matumbo yao na familia zao.

Gwajima alijitutumua akapuuzwa kwa sababu alielekeza hoja zake kwa manufaa yake na taasisi yake. Membe kaibuka juzi watu wamempuuza kwa sababu alipaswa kusema JpM akiwepo ila kusubiri hayupo nikujitaftia umaarufu usio na tija. Akina Mdee hakuna anayewasikiliza maana watu wmeona wazi wamethamini familia zao kuliko Taifa.

Hivyo Zitto hata ukae kimya na usifie kila kitu poa tu, wamekujua wewe unatafuta Nini kwenye siasa. Watakaodumu ni wale watakaobaki na misimamo ya asili.
mmmmmmmh, hilo nalo neno. Yaani unataka kutuaminisha kwamba Mhe. Zitto amefulia kisiasa? Muda ni mwamuzi mzuri, tusubiri
 
Wewe ni mjinga hujui shera inayohusu uteuzi wa CAG.

Sheria inasema kuwa CAG huteuliwa na rais kwa muhula wa miaka mitano, baada ya kipindi hicho cha miaka mitano rais anaweza kumteua tena kwa kipindi kingine cha miaka mitano; hawezi kutumika kwa zaidi vya vipindi viwili.

Assad unayelilia alimaliza kipindi chake cha miaka mitano; rais hakumteua kutumika kipindi kingine cha pili.
Mjinga mamaako
 
Mjinga mamaako
Sasa mama yangu anaingiaje kwenye mjadala huu kama huo siyo ujinga wenyewe.

Kwa maneno yako haya ya kutojua la kuandika mtandaoni, inaonyesha kuwa mama yako ni mjinga sana kwani kama aliweza kuzaa mtoto mjinga kama wewe, atakuwa alizalishwa na mwanamme mjinga zaidi ambayo ni kawaida kwa wanawake malaya.
 
Huyu mutu ya Kigoma leo imesema tusimtegemee akikikosoa Kama alivyokuwa anafanya awamu ya JPM. Nadhani anachosau zito Ni kwamba hakuna mwananchi anayetaka ukosoaji, wananchi wanachotaka ni kuona kiongozi anamsimamo na anaweza kuwatetea iwe kipindi Cha njaa au Cha neema.

Zitto anachodhania yeye ni kwamba maisha yasiasa nikukosoa nakusahau kwamba endapo utakosoa bila hoja au bila msimamo unaoonekana hakuna atakayeangaika na wewe. Akina Polepole wamejaribu kukosoa na Wana hoja ila wananchi wamewapuuza kwa sababu wanajua wanatafuta riziki ya matumbo yao na familia zao.

Gwajima alijitutumua akapuuzwa kwa sababu alielekeza hoja zake kwa manufaa yake na taasisi yake. Membe kaibuka juzi watu wamempuuza kwa sababu alipaswa kusema JpM akiwepo ila kusubiri hayupo nikujitaftia umaarufu usio na tija. Akina Mdee hakuna anayewasikiliza maana watu wmeona wazi wamethamini familia zao kuliko Taifa.

Hivyo Zitto hata ukae kimya na usifie kila kitu poa tu, wamekujua wewe unatafuta Nini kwenye siasa. Watakaodumu ni wale watakaobaki na misimamo ya asili.
Good
 
Wakati ule tulikuwa tukimsikia akitia neno zitapotolewa takwimu za serikali na taarifa mbali mbali zikiwemo za makusanyo ya mapato ya serikali, bot , takwimu, n.k

Siku hizi hatumsikii akitia neno kabisa au ndio kusema siku hizi mambo yameimarika taarifa zimekuwa za kuaminika tofauti na wakati ule?
Kashalipwa
 
Huyu mutu ya Kigoma leo imesema tusimtegemee akikikosoa Kama alivyokuwa anafanya awamu ya JPM. Nadhani anachosau zito Ni kwamba hakuna mwananchi anayetaka ukosoaji, wananchi wanachotaka ni kuona kiongozi anamsimamo na anaweza kuwatetea iwe kipindi Cha njaa au Cha neema.

Zitto anachodhania yeye ni kwamba maisha yasiasa nikukosoa nakusahau kwamba endapo utakosoa bila hoja au bila msimamo unaoonekana hakuna atakayeangaika na wewe. Akina Polepole wamejaribu kukosoa na Wana hoja ila wananchi wamewapuuza kwa sababu wanajua wanatafuta riziki ya matumbo yao na familia zao.

Gwajima alijitutumua akapuuzwa kwa sababu alielekeza hoja zake kwa manufaa yake na taasisi yake. Membe kaibuka juzi watu wamempuuza kwa sababu alipaswa kusema JpM akiwepo ila kusubiri hayupo nikujitaftia umaarufu usio na tija. Akina Mdee hakuna anayewasikiliza maana watu wmeona wazi wamethamini familia zao kuliko Taifa.

Hivyo Zitto hata ukae kimya na usifie kila kitu poa tu, wamekujua wewe unatafuta Nini kwenye siasa. Watakaodumu ni wale watakaobaki na misimamo ya asili.
Hawezi kumkosoa mwenzake!
 
Bilioni kashikishwa Mkuu ili apige kimya na bila shaka atahongwa viti 25 hadi 50 bara ili 2025 awe chama kikuu cha “upinzani” nchini. Mungu ampe nini tena huyo msaliti na mchumia tumbo.

Zitto ni mnyatiaji kama fisi maji. Akipewa ulaji kidogo tu anatulia kimya
 
Back
Top Bottom