Wewe ndo mdini haswa kwasababu unaangalia kila kitu kwa mizani ya dini ya mtu, tatizo watu wa CHADEMA mmejimilikisha kila kitu. Upinzani ni wenu, akili nyingi ni zenu, viongozi bora ni wenu. Yoyote alietofautiana nanyi ni adui i really wish Prof Safari na Baregu wangekuwa bado wapo CHADEMA maana hili kundi la radicals kama nyie mnaua chama kwa kujiona wajuaji na wapinga kila kitu nguvu ya kuondoa serikali hamna mnabaki kupiga kelele tu kwenye mitandao wakati hamna chochote mnachoweza kufanya. Mwenyekiti wenu mpaka leo yupo ndani karibu mwezi wa nne huu mmebaki kujidai Mungu atatulipia wakati mlikuwa mna mjaza upepo. Mwanasiasa bora ni yule anaejua nguvu zake halisi na uwezo wa kusoma muktadha kung'ang'ania nguvu wakati huna ni upuuzi maana utaendelea kuteseka tu natamani CHADEMA ingekuwa na kina Mnyika wengi kuliko radicals kama nyie msiopima muktadha bali kuendekeza vita msizoziweza.
Zitto umaarufu kapa kipindi cha JK, JK alikuwa mkristo? Zitto kipindi cha Magufuli 2015 mwishoni mpaka 2017 september alikuwa hakosoi sana kama sasa ila alibadilika kwa tukioa la Lissu kupigwa risasi je Magufuli alikuwa Muislam ?
Tuache siasa za majitaka.