Zitto: Msitegemee nitakosoa kama kipindi cha Magufuli

J one ni kiazi
 
Usaliti ni laana
Udini ndio tatizo
Hana upinzani au tuseme chama si kwa ajili ya Taifa
Agenda yake ni tofauti na watu wanavyoamini
Uongozi wa sasa muwe macho
Kuna mwavuli anaojifichia
Tigray sijui Sahara wapi ready between the lines
Mods msifute comment hii
I have said this mara nyingi
Sivyo mnavyoamini
 
Zitto atajuta kukosana na mungu mbowe.

Vita ya misukule ya mungu mbowe na Zitto haijawahi kuisha.

Nashangaa ambavyo huwa anajipemdekeza kwa hawa chaggadomo
Zito mjanja sio kama anajipendekeza Kwa chadomo Bali ana cheza na akili zao angalia Leo ametoa sentence moja Tu,wana Sacco's wote wa mtaa wa ufipa wanaicheza Ngoma aliyoipiga
 
Kwamba hata Lissu na Mbowe pia wanaingia kwenye hiyo list ya wanasiasa wachumia tumno?
Kwani lisu na mbowe ni miungu au? Lisu Kwa njaa zake alikuwa ana Kula hela ya acacia na kuitisha serikali kuhusu madini eti tutashitakiwa miga mwisho WA siku hakuna miga wala nini ni tumbo lake Tu,mbowe Kwa kuliendekeza tumbo lake na chadema Yao wakawasafisha watu walio waita mafisadi wakubwa kina lowasa na kumuuzia kabisa fomu ya kugombea uraia Kwa ticket ya chadomo kuna wanasiasa wenye njaa zaidi ya hawa?
 
Inasemekana ali-play part kubwa wakati ule hangaya almanusura apokonywe tonge mdomoni mwezi March!

Anakula ujira wake, baba zwazwa!
 
Retired na j one ni wadini wakubwa ukimuona MTU anapenda Sana kutajataja dini ni mdini hizi nyumbu ni za kuwaepuka
 

Asichokijua Zitto ni kuwa Zanzibar sasa ni moja.

Hadi mama atoke madarakani, Zanzibar itakuwa imetuvuna vilivyo. Bila shaka baada ya mama ni Mwinyi.

It's now or never!

Yaonesha hata kina Jussa wamelielewa somo.
 
mmmmmmmh, hilo nalo neno. Yaani unataka kutuaminisha kwamba Mhe. Zitto amefulia kisiasa? Muda ni mwamuzi mzuri, tusubiri
 
Mjinga mamaako
 
Mjinga mamaako
Sasa mama yangu anaingiaje kwenye mjadala huu kama huo siyo ujinga wenyewe.

Kwa maneno yako haya ya kutojua la kuandika mtandaoni, inaonyesha kuwa mama yako ni mjinga sana kwani kama aliweza kuzaa mtoto mjinga kama wewe, atakuwa alizalishwa na mwanamme mjinga zaidi ambayo ni kawaida kwa wanawake malaya.
 
Good
 
Kashalipwa
 
Hawezi kumkosoa mwenzake!
 
Bahati nzuri Watanzania wengi tumeshamjua. Atakosoa vipi wakati kushanunuliwa kwa bilioni moja ili aingie kwenye Serikali ya umoja haramu? Ayatollah Zitto ni MSALITI.

Usaliti ni laana
 
Bilioni kashikishwa Mkuu ili apige kimya na bila shaka atahongwa viti 25 hadi 50 bara ili 2025 awe chama kikuu cha “upinzani” nchini. Mungu ampe nini tena huyo msaliti na mchumia tumbo.

Zitto ni mnyatiaji kama fisi maji. Akipewa ulaji kidogo tu anatulia kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…