Zitto: Nimefuatilia uvumi na mjadala mtandaoni kuhusu afya ya Mheshimiwa Rais wetu. Nina matatu ya kusema...

Status
Not open for further replies.
Kaka ZITTO umefuatilia au Umeshiriki? Moja ya post yako ilikuwa na ujumbe sawa sawa na ule wa KIGOGO. Nilichogundua ulilishwa Tango Pori ukaamini, na gesture yako ulikuwa unafurahia Sana. Ila baada ya kujua ilikuwa tango pori, ukarudi kwa aibu kuandika tofauti kufuta aibu. Ni bora tukafanya siasa lakini tukatanguliza UTU, UNDUGU na Utanzania wetu.
Mwigulu
 
Yalizungumzwa mengi mzee alipopata hiyo dharura. Yalizungumzwa mema na mabaya. Waliozungumza mabaya ni wengi mno na sababu ziko wazi. Katika waliozungumza ametoa kauli ya kuomba radhi na hiyo ndo hekima. Si wote watakaoomba radhi na sababu bado ni zile zile.
ulicho kiposti kile ndo umegundua sasa kuwa umebugi na kujishusha hadhi...kwa kiongozi kama wewe, bora useme wali hack acc yako.
 
jomba na sio wewe tu umemshusha cheo hata watu wa jimboni kwake wanasubiri kumshusha cheo kwenye boksi la kura..hapo mwakani..subiri uone yatakayompata. namsikitikia sana dogo..
 
Km huamini Muulize Mwakyembe aliponea wapi? alikuwa afe! anatoka unga tuuuu! wa kutosha. mimi ni CCM, nitagombea ccm. ila nimekataa kulamba viatu kiunafiki..

lakn naamini kuna kufufuka ccm ukimwamini Yesu, mwambieni huyu rais wenu aje atubu tu. aone km hafuffuki
 
mungu pia amutie nguvu lissu licha kuvuliwa ubunge wake mungu alilinda uhai wake kwa waliokuwa na nia mbaya ama mamlaka za kutoa uhai
 
We jamaa MNAFIKI SANA..
aibu yako mdogo wangu
 
Walivyopiga marufuku hata kumuombea!
 
Mkuu heshma mbele!

Ulipokuwa waziri wa mambo ya ndani, ubinadamu wako ulionekana Ben Saanane alipotekwa? Tena ukizingatia ulisema kuwa ni rafiki yako?

Hivi shambulizi kwa Tundu Lissu haukuwa waziri wa mambo ya ndani?

Ulifanya mambo gani ili kuonyesha kwamba hukufurahia? Mbona wanachama wa ccm na wapenzi wa serikali walishangilia hadi nikajiuliza kuhusu hilo la utu. Tuacheni unafiki wabongo.
 
Zitto umeshindwa sana, aibu yako
 
Hakika na kweli, wote waliodhulika kwa maagizo yake nao ni binadamu
 
Anasikitisha sana huyu mwanasiasa mwezio, sasa sijui hapa mnawafundisha nini wanainchi kama sio kufuata kile mnachokifanya nyie.

Saint anne
 
Anasikitisha sana huyu mwanasiasa mwezio, sasa sijui hapa mnawafundisha nini wanainchi kama sio kufuata kile mnachokifanya nyie.

Saint anne
Wanatufundisha tuendelee kuchagua CCM milele Maana wao Ni wa hovyo kuliko hata hao CCM.
Pia wanatuonyesha walivyo na uchu na madaraka ,kwa vyovyote vile watakuwa wakuchumia matumbo tu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…