Zitto: Nimefuatilia uvumi na mjadala mtandaoni kuhusu afya ya Mheshimiwa Rais wetu. Nina matatu ya kusema...

Zitto: Nimefuatilia uvumi na mjadala mtandaoni kuhusu afya ya Mheshimiwa Rais wetu. Nina matatu ya kusema...

Status
Not open for further replies.
Nimefuatilia uvumi na mjadala mtandaoni kuhusu afya ya Mheshimiwa Rais wetu. Nina matatu ya kusema:

Mosi: Afya ya Rais wa nchi ni maslahi ya taifa na inapaswa kutofanyiwa soga. Afya ya Rais inahusika na maslahi ya nchi yetu ndani na nje. Tusiuendee uvumi huu kwa papara. Tuwe watulivu, tuipe nafasi Serikali na mamlaka zake zitupatie taarifa kamili na kwa wakati unaofaa.

Inawezekana kuwa katika hali hii ya sintofahamu baadhi yetu tumefanya mambo yanayotafsirika kuombea mabaya kutokea. Binafsi naomba radhi kwa tafsiri hizo hata kama haikuwa nia wala madhumuni.

Pili: Tuendeleze tunu yetu ya utu, umoja na mshikamano ambazo tumeachiwa na Mwalimu Nyerere ambaye tumetoka kuadhimisha miaka 20 ya kifo chake wiki iliyopita. Tusiruhusu chuki kuteka mijadala yetu. Chuki haiwezi kuwa jawabu la chuki. Utu ndio jawabu sahihi la chuki.

Tatu: Ni busara kwa Serikali kuwaondoa hofu wananchi juu ya uvumi huu maana kutofanya hivyo kunazua taharuki inayoweza kuepukika. Ikiwa kweli Rais wetu amepata dharura ya kiafya kama uvumi unavyosema basi haitakuwa mara ya kwanza kwa hilo kutokea nchini.

Watanzania ni waelewa na wenye mapenzi na wenye utu. Tumeona walivyowaombea marais wao Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete walipopata matatizo ya kiafya wakiwa madarakani. Naamini wataungana na kusimama pamoja kama taifa kumuombea Rais wetu na nchi yetu.

Zitto Kabwe, Mb
Kiongozi wa ACT Wazalendo
Kibingo, Mamlaka ya Mji Mdogo Mwandiga, Kigoma
20/10/2019
Sawa kigogo
 
Kama ni kuchukua hatua ameshachukua sana, nyingine za haki na nyingine za msukumo wa kiitikadi na hilo tunalifahamu. Hata akichukua hatua sasa bado itakuwa ni muendelezo huo huo wa uonevu kwakuwa yeye anaweza kufanya makosa na asichukuliwe hatua yoyote kutokana na katiba. Ila ujumbe wa msingi kwamba anavyowafanyia walio kinyume na itikadi yake liko wazi. Hivyo mtumie barua rasmi ili achukue hiyo hatua, ila ujumbe kwamba anatumia madaraka yake kuwafanyia uonevu wasio wa itakadi yake ujumbe huo umefika.
Mkuu uonevu gani?Jamaa achukue tu hatua coz hawa watu ni WAPUMBAVU. Huwezi mzushia Rais kifo ukataka msamaha tena kwa njia za kipumbavu pumbavu. Hatua yyt atakayochukua iwe invisible or visible NITAUNGA MKONO.
 
Naona metoka mafichoni mmeanza shobo zenu za kipuuzi, pigo lijalo ndo mwisho wenu
Kwa vile imeshajulikana zito ndio planer nitakata kichwa chake na kukitembeza mitaani....nipo tayari kumuua zito kwa panga..
 
Nyie wapuuzi wa lumumba what goes around comes around , huyo kenge muuaji ameauthorize mauaji ya Watu wengi wasio na hatia na unyanyasaji kibao , halafu mnatoa Ushuzi humu eti tumuombee . Kwa lipi Jema ? . Fools
Kenge baba yako
 
Nimefuatilia uvumi na mjadala mtandaoni kuhusu afya ya Mheshimiwa Rais wetu. Nina matatu ya kusema:

Mosi: Afya ya Rais wa nchi ni maslahi ya taifa na inapaswa kutofanyiwa soga. Afya ya Rais inahusika na maslahi ya nchi yetu ndani na nje. Tusiuendee uvumi huu kwa papara. Tuwe watulivu, tuipe nafasi Serikali na mamlaka zake zitupatie taarifa kamili na kwa wakati unaofaa.

Inawezekana kuwa katika hali hii ya sintofahamu baadhi yetu tumefanya mambo yanayotafsirika kuombea mabaya kutokea. Binafsi naomba radhi kwa tafsiri hizo hata kama haikuwa nia wala madhumuni.

Pili: Tuendeleze tunu yetu ya utu, umoja na mshikamano ambazo tumeachiwa na Mwalimu Nyerere ambaye tumetoka kuadhimisha miaka 20 ya kifo chake wiki iliyopita. Tusiruhusu chuki kuteka mijadala yetu. Chuki haiwezi kuwa jawabu la chuki. Utu ndio jawabu sahihi la chuki.

Tatu: Ni busara kwa Serikali kuwaondoa hofu wananchi juu ya uvumi huu maana kutofanya hivyo kunazua taharuki inayoweza kuepukika. Ikiwa kweli Rais wetu amepata dharura ya kiafya kama uvumi unavyosema basi haitakuwa mara ya kwanza kwa hilo kutokea nchini.

Watanzania ni waelewa na wenye mapenzi na wenye utu. Tumeona walivyowaombea marais wao Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete walipopata matatizo ya kiafya wakiwa madarakani. Naamini wataungana na kusimama pamoja kama taifa kumuombea Rais wetu na nchi yetu.

Zitto Kabwe, Mb
Kiongozi wa ACT Wazalendo
Kibingo, Mamlaka ya Mji Mdogo Mwandiga, Kigoma
20/10/2019
Yeriko Nyerere anasema wewe na wenzio watatu ndo Kigogo@2014
Jiteteee
 
Zitto ulivyo mnafiki hata hizi comments huna habari nazo! Unaturushia uzi unakimbia zako.

Nilikuhurumia ulivyofukuzwa chadema na hadi leo nikapoteza mapenzi na chadema na upinzani kwa ujumla. Lkn nazidi kujiridhisha wewe jamaa na mnafiki mkubwa!

Kwenye hili na kufurahia Rais afe umefanya uchuro sana. Umejitahidi kutumia busara kujiwahi kuomba radhi, hongera hilo.
 
Kaka ZITTO umefuatilia au Umeshiriki? Moja ya post yako ilikuwa na ujumbe sawa sawa na ule wa KIGOGO. Nilichogundua ulilishwa Tango Pori ukaamini, na gesture yako ulikuwa unafurahia Sana. Ila baada ya kujua ilikuwa tango pori, ukarudi kwa aibu kuandika tofauti kufuta aibu. Ni bora tukafanya siasa lakini tukatanguliza UTU, UNDUGU na Utanzania wetu.
Mwigulu
Huo wema uwe kwa pande zote mkuu. Kumbuka siasa zenu hazina wema
 
Wanatufundisha tuendelee kuchagua CCM milele Maana wao Ni wa hovyo kuliko hata hao CCM.
Pia wanatuonyesha walivyo na uchu na madaraka ,kwa vyovyote vile watakuwa wakuchumia matumbo tu.
Kiukweli kwa jinsi nisivyoipenda CCM halafu watu ambao nategemea ndio wawe mbadala wa ccm wanafanya upumbavu kiasi hiki, hapa jibu nnalolipata nijiweke mbali na siasa tu.
 
Kiukweli kwa jinsi nisivyoipenda CCM halafu watu ambao nategemea ndio wawe mbadala wa ccm wanafanya upumbavu kiasi hiki, hapa jibu nnalolipata nijiweke mbali na siasa tu.
Nakupenda kwa sababu unasimama katika ukweli..wewe Sio Kama bendera.

Mimi kura lazima nipige,na nitachagua CCM Hadi pale upinzani utakapojiimarisha
 
kumbuka yeye ni mtu ambaye inabidi asilete udaku kwa heshima aliyo nayo, je yeye ni mtu wa kusikia story ya kigogo na kuanza kuiaminisha umma?
Yalizungumzwa mengi mzee alipopata hiyo dharura. Yalizungumzwa mema na mabaya. Waliozungumza mabaya ni wengi mno na sababu ziko wazi. Katika waliozungumza ametoa kauli ya kuomba radhi na hiyo ndo hekima. Si wote watakaoomba radhi na sababu bado ni zile zile.
 
Nimefuatilia uvumi na mjadala mtandaoni kuhusu afya ya Mheshimiwa Rais wetu. Nina matatu ya kusema:

Mosi: Afya ya Rais wa nchi ni maslahi ya taifa na inapaswa kutofanyiwa soga. Afya ya Rais inahusika na maslahi ya nchi yetu ndani na nje. Tusiuendee uvumi huu kwa papara. Tuwe watulivu, tuipe nafasi Serikali na mamlaka zake zitupatie taarifa kamili na kwa wakati unaofaa.

Inawezekana kuwa katika hali hii ya sintofahamu baadhi yetu tumefanya mambo yanayotafsirika kuombea mabaya kutokea. Binafsi naomba radhi kwa tafsiri hizo hata kama haikuwa nia wala madhumuni.

Pili: Tuendeleze tunu yetu ya utu, umoja na mshikamano ambazo tumeachiwa na Mwalimu Nyerere ambaye tumetoka kuadhimisha miaka 20 ya kifo chake wiki iliyopita. Tusiruhusu chuki kuteka mijadala yetu. Chuki haiwezi kuwa jawabu la chuki. Utu ndio jawabu sahihi la chuki.

Tatu: Ni busara kwa Serikali kuwaondoa hofu wananchi juu ya uvumi huu maana kutofanya hivyo kunazua taharuki inayoweza kuepukika. Ikiwa kweli Rais wetu amepata dharura ya kiafya kama uvumi unavyosema basi haitakuwa mara ya kwanza kwa hilo kutokea nchini.

Watanzania ni waelewa na wenye mapenzi na wenye utu. Tumeona walivyowaombea marais wao Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete walipopata matatizo ya kiafya wakiwa madarakani. Naamini wataungana na kusimama pamoja kama taifa kumuombea Rais wetu na nchi yetu.

Zitto Kabwe, Mb
Kiongozi wa ACT Wazalendo
Kibingo, Mamlaka ya Mji Mdogo Mwandiga, Kigoma
20/10/2019
Mkuu na Mh. Zitto, ufuatao ni ushauri wangu kwako:

Jitambue, Jikubali, Jiandae kwamba uanguka vibaya sana Kijamii, Kisiasa na Kiuchumi.

Mitandao ya kijamii siyo uwanja/jukwaa (platform) sahihi la kujitafutia umaarufu. Jikite kwenye jimbo lako kusaidiana na viongozi wenzako, kichama na wa serikali, kutatua kero za maendeleo ya wapiga kura. Pia tumia nafasi yako ya Ubunge kuwasilisha hoja zenye mmashiko kijimboni kwako na hatimaye kitaifa.

Wahenga walinena "Charity begins at home".

Siku njema.
 
Hivi ukweli ni upi? Mnanichanganya. Dalili zote zinaonesha kweli alikuwa mgonjwa,.
Zitto ni mnafiki yeye naye ndio alikuwa ana eneza uvumi huo na uzushi hahahaha koma acha unafiki bora uendelee kuwa mchawi kuliko kuwa mnafiki!
 
Mkuu uonevu gani?Jamaa achukue tu hatua coz hawa watu ni WAPUMBAVU. Huwezi mzushia Rais kifo ukataka msamaha tena kwa njia za kipumbavu pumbavu. Hatua yyt atakayochukua iwe invisible or visible NITAUNGA MKONO.

Kwani kabla hajazushiwa, hizo hatua za visible na invisible hajachukua? Au kuna hatua mpya atachukua sasa? Hatua yoyote ya sasa tafsiri yake ni muendelezo wa chuki dhidi ya wale wasiomsujudia. Hizo chuki kazipanda mwenyewe, iweje akimbie mrejesho wa alichokitengeneza? Ajitafakari kwa uonevu anaoufanya wa kiitikadi kama anataka tuwe pamoja, na kama hataki asikimbie majibu. Hata kilichomkuta Tundu Lissu uliunga mkono, hivyo usiopunga mkono hizo hatua unazopendekeza, nitakukumbusha uziunge mkono.
 
Mkuu heshma mbele!

Ulipokuwa waziri wa mambo ya ndani, ubinadamu wako ulionekana Ben Saanane alipotekwa? Tena ukizingatia ulisema kuwa ni rafiki yako?

Hivi shambulizi kwa Tundu Lissu haukuwa waziri wa mambo ya ndani?

Ukifanya mambo gani ili kuonyesha kwamba hukufurahia? Mbona wanachama wa ccm na wapenzi wa serikali walishangilia hadi nikajiuliza kuhusu hilo la utu. Tuacheni unafiki wabongo.
Wanasiasa unafiki unawafanya wawe vipofu. Kwake yeye UTU na UNDUGU au Uzalendo ni pale yalipo maslahi yake.
 
Kaka ZITTO umefuatilia au Umeshiriki? Moja ya post yako ilikuwa na ujumbe sawa sawa na ule wa KIG huuOGO. Nilichogundua ulilishwa Tango Pori ukaamini, na gesture yako ulikuwa unafurahia Sana. Ila baada ya kujua ilikuwa tango pori, ukarudi kwa aibu kuandika tofauti kufuta aibu. Ni bora tukafanya siasa lakini tukatanguliza UTU, UNDUGU na Utanzania wetu.
Mwigulu

Mwigulu kwanza karibu jukwaani kwani una muda huku hufiki mbali ya tuhuma mbalimbali unazotupiwa tena nyingi ni za msingi. Anyway hiyo sio mada leo, naona umerukia hii post ya Zitto ili uchukue point za mezani kwa rais na hatimaye akukumbuke. Haya unayodai yanataka utu bila siasa, yalimkuta Lissu lakini ulijiweka mbali na hukuchangia lolote humu jukwaani, simply ni kwakuwa Lissu sio rais na hawezi kukupa cheo. Ww binafsi huna taswira nzuri kwenye siasa za utu, ndio maana uliweza kuzunguka na kijana aliyejeruhiwa ukimtumia kama mtaji wa kisiasa.

Ni vyema ungekaa kimya tu kwani huna cha kupoteza, lakini huna rekodi ya utu kwenye nchi hii, na ww kwako cha kwanza ni maslahi binafsi na siasa za ccm. Umenyooshewa kidole mara nyingi kwenye mambo ya ukatili, na yote hayo ni uhusika wako wa siasa zisizo za utu.
 
Ndiyo Maana huwa nakwambia kwamba wapinzani Wana Safari ndefu Sana.
Hawana Sera imara, kazi Yao kusubiri matukio ili washabikie,wapinge na kukosoa.
Inasikitisha Sana kuona watu wanashabikia vifo.
Kwa siasa hizi bado sijaona mbadala wa CCM na ndiyo Maana niliamua kutokuwa mfuasi wa chama chochote Maana wapinzani wengi Ni wanafiki tu.

Hivi hawa watu hiyo Ruzuku wanayopata kutoka Serikalini, kama kweli ni wazalendo, hawawezi kujenga hata ki-Darasa kimoja tu cha Shule ya Msingi au hata kununua madawati 10 tu ya watoto wa shule za msingi? Mbali na Ruzuku, haya wanaweza kuyafanya hata kwa kuchangishana elfu tano tano tu! Lakini tunachoona ni maneno tu bila vitendo kisa wao hawako madarakani. Kuna vitu vingine vidogo tu lakni vya maana na vya thamani sana kwa wanachi ambavyo walitakiwa kuwa wanavifanya, pamoja na kuwa wao bado hawajaingia madarakani. Tatizo wao kufanya kitu inabdi mpaka wawe madarakani. Sasa wa-tanzania watawawezaje kuwaweka wao madarakani wakati hakuna wanachofanya zaidi ya kupiga domo na kuikwamisha serikali?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom