Wewe uliyewahi dai kuwa pale Billcanas ilipovunjwa na kichaa magufuli pakajengwa RITA Tower! Hiyo ndiyo kujua mambo from the ground!? Au sio!?Hakushinda.
Kaongo hako kajamaa.
Anyways siasa zina mambo mengi ikiwa ni pamoja na public sympathy.
Mimi huwezi nidanganya bwana mdogo maana huwa ninafahamu mambo from the ground.
Zito kabwe na ACT wazalendo ni waongo mno siku hizi,Tumejulishwa kuwa Mwenyekiti wa Vijana Taifa Ngome ya Vijana, Abdul Nondo amefichwa kituo cha polisi Gogoni, Kibamba Dar es Salaam.
Tumefika Kituoni, ingawa Polisi wamekataa, tumekuta Landcruiser iliyotumika kumteka Nondo ikiwa inabadilishwa number plates. (kutoka zile za IST zilizotangazwa na Msemaji wa polisi na kuwekwa zingine).
Soma Pia: Kuelekea 2025 - News Alert: - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli
Picha chini ndio gari iliyomteka Nondo ikiwa Kituo cha Polisi Gogoni, Kibamba.
View attachment 3166701
Polisi ni dhahiri mpo na Nondo, tafadhali mwacheni huru akiwa mzima wa afya BILA HATA MCHUBUKO! Tafadhali Tafadhali Tafadhali!
Shida ya hawa watu kila mtu anajifanya special code kama huyu eti Mimi huwezi ni danganya kituUsimshangae huyo jamaa. Ni mfuasi wa yule kichaa dikteta mwendakuzimu. Aliwalisha sumu mbaya sana Hawa wafuasi wake, kiasi cha kuona sawa watu wakiuawa TU kama mende wanaozurula ndani ya nyumba.
Wewe leta mzaha kwenye maisha ya watu .Father Kitima: Wazee wa kichaga mtoto wao Soka kapotea Wao wamejikalia tu
Ulale Unono
Ni mambo matano juu yako .mi nashauri vijana waachane na siasa tu maana wanageuzwa mbuzi wa kafara na wakuu wa vyama vyao,kwanza tanzania upinzani hakuna haiwezekani kinatawala chama kimoja miaka nenda rudi,hakuna cha demokrasia ni udikteta tu
Hawanaga akiliDuh so wanachunguza alifikaje gogoni kituo cha polisi kwa gari ya Polisi 😀
Kwamba intellegensia ya Zitto ni kali kuliko ya hao Polisi, waliofungua jarada tangu ahsubuhi saa mbili
Imefika time, ulinzi wa Mtanzania uwe juubyake mwenyewe
Tunahangaika Kawasaki Mapunga wakati mmejazana tu, mitaaZito kabwe na ACT wazalendo ni waongo mno siku hizi,
ndiyo maana wanamawenge kichizi.
wanaripoti hiki baada ya muda wanageuza tena,
.Yaan uongo kibao 🐒
Zittoooo hahaha 😂 tumkumbushe kuwa Dkt Magufuli hayupo je ana lakusema hahahaha mbona hamtaji Dkt Samia kama alivyokuwa anafanya kwa Dkt Magufuli??? Hahhaa eti anawataka polisi wamuachie hahaha huu mchezo wa siasa balaaTumejulishwa kuwa Mwenyekiti wa Vijana Taifa Ngome ya Vijana, Abdul Nondo amefichwa kituo cha polisi Gogoni, Kibamba Dar es Salaam.
Tumefika Kituoni, ingawa Polisi wamekataa, tumekuta Landcruiser iliyotumika kumteka Nondo ikiwa inabadilishwa number plates. (kutoka zile za IST zilizotangazwa na Msemaji wa polisi na kuwekwa zingine).
Soma Pia: Kuelekea 2025 - News Alert: - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli
Picha chini ndio gari iliyomteka Nondo ikiwa Kituo cha Polisi Gogoni, Kibamba.
View attachment 3166701
Polisi ni dhahiri mpo na Nondo, tafadhali mwacheni huru akiwa mzima wa afya BILA HATA MCHUBUKO! Tafadhali Tafadhali Tafadhali!
chezea tumbo wewe!Tanzania yetu....
Hivi mama,umeridhika na haya yote kweli?
Kama ni maagizo yako I swear mwisho wako waweza kuwa wa aibu.... naamini siyo wewe maana haiwezekani mwanamke mwenye utungu akawa katili kwa watoto wa wenzie namna hii...hapana haiwezekani ikawa ni maagizo yako mama.Daah
Ndio maana TEC na akina Shoo wapo kimya?Huyu si dini yao kama kibao tu. Sasa inakuaje?
Zingine ni takataka mkuu!Tanzania yetu....
Hivi mama,umeridhika na haya yote kweli?
Kama ni maagizo yako I swear mwisho wako waweza kuwa wa aibu.... naamini siyo wewe maana haiwezekani mwanamke mwenye utungu akawa katili kwa watoto wa wenzie namna hii...hapana haiwezekani ikawa ni maagizo yako mama.Daah
Ayatola Zitto hana akili kabisa, tena linapaswa likamatwe na polisi maana haini kabisa likipatikana na hatia lihukumiwe kunyongwa hadi kufa, alitutukania sana Dkt Magufuli wetu kwa dhihaka na kejeli na bado akome kabisaZito
Kama kipara au marope ndio anafadhili.chama chako na anampango wa kugombea 2025 halafu kule jimbo la mtama mlipokea wanachama kibao!!!
Jua kwamba ACT mtakua target coz mtakua kikwazo Kwa mtia Nia wa CCM hapo mwakani!!
Source -replies za britanicca kuhusu ufadhili wa.chama chako!!
Anaefuata kutekwa baada ya nondo labda ni wewe!!
Nondo anaenda kuulizwa kuhusu mikakati ya chama chako na urais wa.2025!!
Jiandae!
Mawazo huru!!
wasingemuua walidondosha nyaraka kama cm na aina yakeKama hawajamuua kama Ally Kibao tumshukuru Mungu
Cc mjingamimiTanzania yetu....
Hivi mama,umeridhika na haya yote kweli?
Kama ni maagizo yako I swear mwisho wako waweza kuwa wa aibu.... naamini siyo wewe maana haiwezekani mwanamke mwenye utungu akawa katili kwa watoto wa wenzie namna hii...hapana haiwezekani ikawa ni maagizo yako mama.Daah
Nyau de adrizNashukuru kwa kunijibu Mkuu!
Kwa bahati mbaya ama nzuri sina chama!
Nabaki kuwa mpenda haki na ukweli, ndiyo njia niliyoisimamia!
Cc ChoiceVariable Mkunazi NjiwaWamuachie huyo dogo Kwa nini wanatisha watu? Lengo ni lipi hasa?
By the way Kuna watu wanamuharibia Mama,bila shaka bond ya Chadema/ACT Wazalendo mwakani itakuwa kubwa sana maana maslahi ya pamoja ndio yatawaunganisha.