Zitto: Ushauri wangu kuhusu Mlipuko wa Korona

Copy and paste hatua walizochukua USA na EU. Serikali wanayoisema haina hela itapata wapi pesa hizo?
 
Ni wanasiasa wachache sana wako smart kama wewe,unajua mambo mengi sana,lakini huwa nashangaa sana watu kama wewe mnashindwa kuelewa kwamba "corona" is a fabricated disease.

Wakati mwingine nawaza kwamba huwa mnatumwa.

Hivi kweli kitu kinachoua at a rate of 3% halafu wakati huohuo tunaambiwa hakina tiba wala kinga unaweza kukipa muda mwingi namna hii kwenye media zote duniani na kusababisha taharuki kiasi kwamba watu wanakosa kabisa uhuru wa kufanya mambo mengine ya kimaendeleo?

Kwani wewe hujui kwamba mafua hayahaya tuliyoyazoea yanaua almost at the same rate?

Je,unakumbuka kuhusu Ebola kule Africa ya magharibi?Tuliambiwa inaambukiza kwa urahisi sana na ni hatari sana na haina kinga wala tiba,sasa kwanini ebola haikupewa air time kwenye vyombo vya habari na kuzuia watu kusafiri,mikusanyiko na uhuru mwingine duniani kama inavyochukuliwa corona sasa?

Je,kama corona ni hatari kiasi hiko,unaweza kujua hiyo 97% wanaponaje wakati corona haina kinga wala tiba?
 
Endelea na siasa zako achana na haya mambo kwanza hao wafanyabiashara kutulipa huwa ni shida sasa hiyo stimulus package ni ya nini kama sio kuwatajirisha zaidi.Tuendelee na kujenga miundo mbinu yetu,,Huu ugonjwa kama upo kweli bongo ibaki kumuomba tu mungu kwani kubanana kwenye daladala, sokoni,kanisani ni kawaida kwetuhiyo mikono utaosha mara ngapi
 
Huu ugonjwa unahitaji comprehensive approach. Moja ya hizo ni hizi zinazokuwa advanced na mh. Zitto hapa.

Tuacheni mzaha. Serikali sikilizeni miito hii. Hawa ni wana wa nchi hii wakitoa mawazo yao bora kabisa for the best of our motherland.
 
Kwa sasa hatuna waziri makini wa utalii nchini. Tunaweza kusema tuna waziri mtalii wa wanyama pori.
Waziri huyu hajawahi kukutana hata siku moja na wafanya biashara wa Utalii, Mahoteli , tours na travel agents.

Kwake waziri hamisi ni kukutana na askari wanyama pori kupiga kwata na kupiga picha na wasanii wauza kuuza sura.

Wazo la Zitto ni la kitaalam zaidi wakati wa crisis lakini kwa awamu hii na type ya waziri waliopo yukubali kushindwa na corona .

Mimi nawashauri vyama bya upinzani wachukue leadership kwenye hili la corona kabla nchi haija angamia kiuchumi .



Sent from my iPad using JamiiForums
 
A kili za mchumi.upo vizuri kiongozi wa chama
 
ilipotaka kuletwa hoja bungeni waliokua wanawahi michepuko yao eakkataa pasijadiliwe jambo hilo
 
ilipotaka kuletwa hoja bungeni waliokua wanawahi michepuko yao eakkataa pasijadiliwe jambo hilo
Mavi ya kale hayanuki. Dondosha hoja hapa na ndiyo maana Mh. Zitto hajayaongelea hayo yeye kashusha hoja zenye nondo. Usiwe Nyonyoma!
 
Nasisi wazee wa kuweka mzigo wa kubeti serikali itukumbuke... mechi hakuna sasa hivi .wewe mwenyewe timu yako ubingwa uko pending..liverpool kitumbua kimeingia mchanga[emoji23][emoji23] Zitto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
what a fake post, ( Haya Moderator futa tena)
 
Mavi ya kale hayanuki. Dondosha hoja hapa na ndiyo maana Mh. Zitto hajayaongelea hayo yeye kashusha hoja zenye nondo. Usiwe Nyonyoma!
ndio muache upopoma wa kujali matumbo badala y mslah ya taifa jambo likisha tokea ndio mnakuja na vitambi vyenu kutoa matamko
 
Kwa hiyo hivyo ndivyo vipaumbele vya Kiongozi Mkuu wa chama juu ya mlipuko wa Corona?

Unajua kuwa tuna maabara moja tu yenye uwezo wa kupima COVID-19 nchi nzima halafu kipaumbele kinakuwa "stimulus package" tena sector moja tu ilhali sekta kibao zitaenda kuathirika.

Suala la chakula labda mijini tu na maeneo yaliyokumbwa na mafuriko kwa maeneo mengi hasa vijiji watu ndo wanavuna ama wanategemea kuvuna na msimu huu mvua zimekuwa za kutosha tu huwezi kutulinganisha na hao wakati sisi kilimo ndiyo sector iliyoajiri watu wengi zaidi.

Elimu bado inahitajika pamoja na upatikanaji wa hizo "sanitizers" na hizo mask "N95" na namna ya kuzitumia siyo watu wanajivalia gas/dust masks!
 
Deception,
Ni kweli mkuu inajulikana kuwa mafua yanaua sana huko wenzetu,lakini je kipi cha tofauti kwenye hili suala la corona kwa ukiangalia huko china ugonjwa ulipoanzia tunaona hadi shughuli nyingi zikisimama na idadi ya ripoti za vifo ambayo ndio inashtua watu?
 
Schiphol airport imefungwa? Check your facts klm mbona imeondoka Dar jana?
 
Kwanza nipende kumshukuru mwenyezi Mungu kwa kutupa zawadi ya uhai na kukuwezesha wewe mpaka unasomaa ujumbe huu.

Nimejaribu kutafakari kwa kina madhara ya coronavirus mpaka nimeingiwa na hofu. Mungu atuepushe tusifike kama Italy.

HAYA NI BAADHI YA MADHARA

Watanzania tulio wengi hatuna tabia ya saving. Nikipiga picha shughuli za kiuchumi zikisimama kwa muda wa miezi kadhaa, tutaishi vipi wale ambao mpaka tutoke ndio tupate mkate wa kila siku?

Vyakula vitapanda bei. Je, tutamudu vipi?

Je, tukiugua magonjwa mengine mbali na Corona tutaweza kujigharimia matibabu?

Mpaka muda huu fear & life insecurity imetawala.

Kuna watu wameanza kujitenga na watu tunao fanya shughuli zetu Kariakoo.
Binafsi mimi kuna watu wameanza kuniepuka.

Jana tu face mask zimepanda mara dufu kutoka shilingi elfu 5 mpaka kufika shilingi laki moja kwa kibox kimoja chenye 50 pieces.

Hand sanitizer nazo ndio zinazidi kupanda bei na hazipatikani.

Corona ni zaidi ya tunavyo fikiria.

Unaweza na wewe ukashusha nondo zako kwenye huu uzi nini kifanyike pia madhara gani ili tuweze chukua tahadhari.

MUNGU

#TANZANIA
#AFRICA
#All over the world

Tuepushe na hili balaa.
 
Serikali yenyewe sijui kama ina akiba ya kutosha fedha na hata hizo dhahabu zilizohifadhiwa huko BOT sijui kama zitauzika kwa bei nzuri kipindi hiki ambacho uchumi wa dunia unayumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…