RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Copy and paste hatua walizochukua USA na EU. Serikali wanayoisema haina hela itapata wapi pesa hizo?Mmh, sijui hapo kwenye pay roll cost, maana kama mshahara haujawahi kupanda kwa wavuja jasho, halafu kufikiria kuwapa watu mshahara wasioufanyiakazi, unaweza ukasikia kuwa hata biblia imekataza, asiyefanyakazi na asile ikawa stop.
Sent using Jamii Forums mobile app