Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Acha kupanic Zitto ikiwa unaona wameenguliwa bila kufuata sheria za uchaguzi kata rufaa au nenda mahakamani.
Tatizo wagombea wenu wanauza mechi na wengine ni mbumbumbu hawategui mitego ya kisheria katika ujazaji fomu sasa wakikosea kujaza unataka wapokelewe na kupitishwa tu unavyotaka? Uchaguzi huanzia kujaza fomu.
Wapemba watu wengine kama hamuwajui wapemba subirini nchi mwaipeleka kubaya
Dogo, mbona hata nyie mnawapinga wapinzani kwa kila kitu??Watz bado wanamhitaji sana Rais Magufuli na CCM kwa ujumla na wala si wapinzani ambao hupinga kila kitu!
Yaani Zitto ndio kapelekwa ACT?. Au Zitto ndio mwenye ACT?.Nashaka na zitto amepelekwa ACT ku-Mcontain maalim na wapemba.
Pemba wagombea wengi wa upinzani hawajasoma elimu wengi Ni madrasa
Sasa mitego ya nini kwenye kutafuta kiongozi wa kuongoza wananchi?Acha kupanic Zitto ikiwa unaona wameenguliwa bila kufuata sheria za uchaguzi kata rufaa au nenda mahakamani.
Tatizo wagombea wenu wanauza mechi na wengine ni mbumbumbu hawategui mitego ya kisheria katika ujazaji fomu sasa wakikosea kujaza unataka wapokelewe na kupitishwa tu unavyotaka? Uchaguzi huanzia kujaza fomu.
Bado nima watoto wadogoDunia Ni Mimi na wewe,Kama unayaona haya chukua hatua
Watatunzwa tu na mwanaume mwenzakoBado nima watoto wadogo
Mambo ni mazito kidogo.
Zitto kasema kuwa Pemba hakuna mgombea wa ACT aliyeachwa . Wote 18 wameliwa vichwa.
View attachment 1549864
Aidha Zitto pia amesema jumla ya wagombea ubunge 44 wa ACT-Wazalendo Tanzania nzima wameenguliwa.
Hii ni hatari tupu.
View attachment 1549869
Mnawatia ujinga hao watu wenu mwishoni wao ndiyo wanaoumia.Nchi hii hawaipeleki kokote na wafanye fyokofyoko kwani serikali ipo makini.Wapemba watu wengine kama hamuwajui wapemba subirini nchi mwaipeleka kubaya
v-i-t-a! Endelea kuangalia First Blood za Rambo wewe, kuna vita za kutosha humo na sio Tanzania ya Magufuli...hahahaha!CCM inalazimisha vita kwa faida ya nani ?
Kwahio unaamini kwa akili zako nchi nzima ccm hakuna aliekosea kujaza form?. Na unaamini pia wagombea wote 18 huko Pemba wamekosea kujaza form?.Mnawatia ujinga hao watu wenu mwishoni wao ndiyo wanaoumia.Nchi hii hawaipeleki kokote na wafanye fyokofyoko kwani serikali ipo makini.Kama wamejaza fomu ovyo ovyo tuwasaidieje ? Zitto mngetoa elimu kwanza kwa hao watu jinsi ya kujaza fomu au mnataka hata hilo mfundishwe ? Ujanja wenu ni vitisho na kuporomosha matusi majukwaani ili wazungu tu wawaone lakini kwa ujumla hamna akili wala mipango.Mnalenga IKULU tu basi.Mjitathmini.Kuna mahali mnafeli.
Hawezi kukujibu huyo punguani wa LumumbaKwahio unaamini kwa akili zako nchi nzima ccm hakuna aliekosea kujaza form?. Na unaamini pia wagombea wote 18 huko Pemba wamekosea kujaza form?.