Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Jmn[emoji22]Naam..nimeona updates BBC...amefariki baada ya kuokolewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jmn[emoji22]Naam..nimeona updates BBC...amefariki baada ya kuokolewa.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]Na maji ya kisima yangenyweka kama kawaida.... KULE KITAKUWA KISIMA CHA MAFUTA ILA HUKU KINGEKUWA CHA MAJI.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]Angetafutwa jirani mwenye ugomvi nae akasingiziwa kumsukuma
Aiseee Ni mbali
[emoji16][emoji16][emoji16]Au
Au chunusi. .
Yaani nilishangaa mpaka raisi aliposema iundwe tume dahh !! Wakati Kuna waziri wa wizara husika yupo amekaa kimya tuJamaa wanajari sana uhai wa mtu, huku kwatu polisi anakuua Ili akuibie kibunda Chako (Hadi anashiriki polisi ngazi za juu ***** bongo nchi ngumu hii)
Na waziri anakaa kimya Hadi amsikie raisi kasema (kamwagiza) ndo anashtuka. Waziri wa mambo ya ndani yupo tu hata ajui afanye nini?