Zombe aachiwa huru, Mshirika wake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

TUNATAKA TUONE LIVE WAKINYONGWA ILI WENGINE WAOGOPE KUFANYA HUO UJINGA
 
Sawa kabisa.
Lakini Mkuu ukisikiliza mmoja wa mashahidi wakati kesi ilikuwa Mahakama kuu wakati wakiwa katika eneo la mauaji inaonyesha Bageni alikuwa akiongea kwa simu na Mtu mara kwa mara.

Inawezekana kuwa alikuwa Mkuu wake, bila shaka Zombe. Kama upande wa mashtaka wangedukua mawasiliano ya simu ya Bageni pengine Zombe angekuwa matatani
 
Katika vitu ambavyo sitavisahau ambavyo alifanya jk ni hili la kuunda tume ili kuchunguza hakika alinigusa ktk uvungu wa moyo vinginevyo tungeendelea kuaminishwa na polisikuwa hawa wafanyabiashara walikuwa majambazi, lakini swali la kujiuliza ni watanzania wangapi wamepoteza maisha ktk hali kama hiyo ya kusingiziwa na polisi......?
 

Unaweza kuwa unataka Zombe ashtakiwe kwa kosa la kusaidia kuua au kutoa ushauri wa kuficha ushahidi.

Haya yote ni maeneo ambayo majaji wamepitia na wameona hakukuwa na ushahidi wa kutosha.

Hata ikiwa nchi ingine ni yule askari aliefyatua risasi ndiye anafunguliwa kesi na labda iwe ksei ya kumhusu gaidi ndiyo inaweza kuwa haina mjadala sana lakini kwa kesi ya kuua kizembe kama hii huwezi kupona.
 
Hahahahaahah Hukumu hio itatekelezwa lini? Hakuna kitu kilichoniuma kama kile aiseee, ni wangapi wamekufa mikononi mwa hawa jamaa wanaojiita Polisi? Shame on them. Anyongwe hadi kufa tena haraka sana
Hili ni fundisho kwa wale wasio na uwezo wa kuchambua amri wanazopewa na mabwana zao. Huyo aliyetekeleza maagizo ya mkubwa wao anaenda kuwekwa kitanzi wakati aliyemuagiza kutekeleza mauwaji akiachiwa huru. HAHAHAHAHAHA
 
Richard I wish ningepata kitu kama hicho toka day 1.
 
ivi nyinyi polisi wanavyo uwawa mbona mnakuwa amchongi San domo lenu ilo dah yaan raia sijui mpew nn majuzi tu mbande askari watano wamekufa but watu wanacomment utumbo dah kwan unazan wao awaumii wanavyo kufa .yaan askari wanakazi kubwa San yaan kuwalinda watu wasio wapenda dah mm nashukuru kwa kuachiwa kiongoz zombe but mungu amtangulie uyo oc cid asant
 
Kujua ukweli, ni kaaz kwelikweli.
mkuu,ni kweli kujua ukweli ni kazi kweli kweli kama kujua signature yako kama sio msukuma..mkuu,litendee haki kabila hilo kwa kuweka mazuri yake..dah,nimesikitika sana mkuu..
 
BINAFSI NASUBIRI KUONA KAMA YULE JAMAA, ATAHIDHINISHA UTEKELEZAJI WA HUKUMU, SI MNASEMA NI MTU WA MAAMUZI MAGUMU, LET'S WAIT N SEE.
 
Kwenye matukio kama haya ndio nafasi ya kujua uhusiano kati ya polisi na wananchi usisubiri Twaweza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…