Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Lakini maisha ni yake broo mbona unateseka sana na maisha ya watu?
Au sio mavoko alikuwa na wenge lake tuHata kwa Mavoko mlianza hivi ,mara ooo yeye ni msanii mkubwa hatakiwi kua chini ya lebel, Mkasema ye ni Messi wa bongo fleva anajiweza sana ,yaliyo endelea na yanayo endelea kwa Messi ndo haya, Msivyo na soni mkaanza tena alifanya haraka kutoka ilibidi abaki kidogo leo hata habari zake hamna, Mshaanza kwa Zuchu
Acheni ye mwenyewe aamue
Zuchu nidhamu hana hii ndio itamfelisha maana hapo Wasafi label imemsaidia hata akifanya utovu wa nidhamu bado anakuwa na jina but akitoka nje naakaendelea kufanya hivyo anakufa mazimaAu sio mavoko alikuwa na wenge lake tu
zuzu weweHata wewe ungeachwa na maisha yake usingejua hata kusoma
Jibu kichungaji usilete fujo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂Nijibu kama mama Mchungaji au au kama Mistres trial and Error🤣🤣 nakuskiliza Meku Lelo🤣🤣🤣